Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Maisha yako speed. Leo liva anaomba maelezo juu ya VAR!!!

Bado yule mwingine yule
 
IMG_9646.jpg
 
Baada ya aston villa kuwa bonda kipigo cha mbwa koko, kasha gain confidence anachalaza tu

Anapiga tu

Mkuu aston villa kacheza mechi nne kashinda zote 4 clean sheet 3 .mechi na Liverpool ndio karuhusu goli 2 tu.Tofauti na hapo wavu wao ujaguswa.

Sio kwasababu kamfunga liverpool ndio ka gain confidence .inaonekana wako vizuri toka zamani.
 
Reds Thiago kaumia Tena ?

Tulisema sana wakati wa usajili wake,,, jamaa yupo vzr tatizo Ni hizo pancha ! Akiwa fit anadeliver vyema!

Anyway gari ya mkaa, trip shamba, trip gereji !

Ati miezi Saba VVD ? !!! Matip nae pancha, uchochoro Gomez atacheza na fabi !
Plancha zimeanza kwenye hii timu, sasa ni mwendo wa vipigo na kutoa draw tu..
#CFC 💙💙💙
 
Matip injured again??
Ukuta imara umetupa makombe ya nguvu sana hivi karibuni..

VVD alicheza mechi zote EPL msimu uliopita...

Allison na VVD ndio sajili zilizokuja kutukamilisha na hatimae kushinda UCL, EPL nk..

Chemistry ya Matip Gomez sijui muujiza upi ufanyike kwanza kuwaokoa kuumia mara kwa mara na pia kuufanya ule ukuta iwe imara...

Kuumia kwa Allison na VVD ki ukweli kunatuweka mbali kimtindo na kutetea ubingwa wetu naona hali itakua ngumu sana na vile vitimu vindogo vimejiimarisha lol..

YNWA
 
Ukuta imara umetupa makombe ya nguvu sana hivi karibuni..

VVD alicheza mechi zote EPL msimu uliopita...

Allison na VVD ndio sajili zilizokuja kutukamilisha na hatimae kushinda UCL, EPL nk..

Chemistry ya Matip Gomez sijui muujiza upi ufanyike kwanza kuwaokoa kuumia mara kwa mara na pia kuufanya ule ukuta iwe imara...

Kuumia kwa Allison na VVD ki ukweli kunatuweka mbali kimtindo na kutetea ubingwa wetu naona hali itakua ngumu sana na vile vitimu vindogo vimejiimarisha lol..

YNWA
Joe Gomez such an awful Center back

Hata sio wa kumtegemea

Mtakuja kufukua makaburi

If possible I think they have to consider Robertson for CB spots that is alongside Either Matip or Fabinho
 
Joe Gomez such an awful Center back

Hata sio wa kumtegemea

Mtakuja kufukua makaburi

If possible I think they have to consider Robertson for CB spots that is alongside Either Matip or Fabinho
Robertson ishu ni urefu...

He is damn short one for that spot..

CB msimu huu mpaka January 2021 tegemea kuona mpaka Hendo akicheza ndugu...

We have been caught pants down this time and we have no one to blame.. Lovren departed yet no major push to sign a new one yet Klopp knew all along Gomez and Matip are prone to frequent injuries...

TAA nae akiumia we are done damn maana Neco aint in his level yet..

We are good when we are a complete unit..

Yajayo yanatisha..

YNWA
 
Robertson ishu ni urefu...

He is damn short one for that spot..

CB msimu huu mpaka January 2021 tegemea kuona mpaka Hendo akicheza ndugu...

We have been caught pants down this time and we have no one to blame.. Lovren departed yet no major push to sign a new one yet Klopp knew all along Gomez and Matip are prone to frequent injuries...

TAA nae akiumia we are done damn maana Neco aint in his level yet..

We are good when we are a complete unit..

Yajayo yanatisha..

YNWA
Man don't even count on Neco at all.
The young lad bado sana
 
Man don't even count on Neco at all.
The young lad bado sana
Some good news at last Allison ameanza mazoezi leo hivyo upo uwezekano rehab yake ikakamilike kabla ya muda...

Kukosa VVD pale nyuma sio tu ni pigo mbali alikua kiongozi wao aliwapa maelekezo wapi wasimamie na kadhalika.. Sasa unajiuliza kiongozi nani sasa Gomez? Matip mhmh kazi ipo..

Fabby kucheza CB nako japo ndio suluhisho la muda kwa vile amecheza mechi 3 na hatujapoteza hata moja lakini nafasi yake mbele ya beki kuzuia mashambulizi ni muhimu sana....

Ili kwenda sawa itabidi Midfield wetu wa step up kuwalinda mabeki haswa kama walivyokua wanafanya msimu uliopita na hatimae ubingwa ukatua.. Walifanya kazi yao safi kabisa kusaidia kupoza mashambulizi...

Neco bado mno aisee hatuna namna ndio like for like sub ya TAA sasa kwa vile sasa Gomez atacheza zaidi CB...

January ifike mapema kwa kweli tukamchukua CB popote pale ili kuokoa msimu huu..

YNWA
 
Joel Matip and Thiago missed training on Tuesday and are doubts for Liverpool's Champions League opener against Ajax on Wednesday night.

Thiago and Matip both suffered injuries towards the end of Saturday's 2-2 draw in the Merseyside derby.

Same old same old same old.... 🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️

YNWA
 
Where we are now guys..

Joel Matip and VVD injured the most immediate cover ni hawa 👇👇👇
Rhys Williams, Sepp van den Berg, Nathaniel Phillips, and Billy Koumetio are among the leading young centre-backs at Liverpool who Jurgen Klopp could play.

Fabby have deputised but we need him where he play best and effective that is HM or DM.

Or who knows Milner or Hendo😀😀 might be used in CB spot..

Yajayo yanatisha..

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom