Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Pepe Reina: Huwezi kuikatalia Barcelona.

Suarez: Ni ngumu sana kuikatalia klabu kama Barcelona.

Daniel Agger: Nitaikatalia klabu yoyote kama Liverpool haitaki niondoke.

Daniel Agger akaikatalia Barcelona, Real Madrid, Man City na Ac Milan ili aendelee kubaki Liverpool.
 
Hapa Sasa ndio umuhimu wa Heddo unapohitajika. Kuna kitu sisi washabiki hatukioni kwa le captain,. Inajua captain Mara nyingi huwa anacontrol Ile tempo ya game, Haswa kwa zile back n wide passes zake. Amini tu mkuu angekuwepo Heddo tusingepigwa 7.
Kuna member atakuja kukuambia Henderson hafai kwakua hatoi assisst. Labda leo aone aibu kubisha
 
Hapa Sasa ndio umuhimu wa Heddo unapohitajika. Kuna kitu sisi washabiki hatukioni kwa le captain,. Inajua captain Mara nyingi huwa anacontrol Ile tempo ya game, Haswa kwa zile back n wide passes zake. Amini tu mkuu angekuwepo Heddo tusingepigwa 7.
Ngoja waje na mihasira yao, ila umetema fact tupu

Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Adjustments.jpg
 
18 shoots Vs Villa...... tuendelee kumlaumu Adrian mkuu!
UCL tulicheza vs ATM on target alipigiwa shots 3 na zote zikawa goals, kwa kwel Adrian ni bonge la golikipa hastahili lawama kabisa, Kwanzaa alitupa UCL super cup
 
Jumamos kilio kitakacho kuwa humu ni zaidi ya msiba

Yaan Aston Villa anawanyonyoa hadharani gori saba

Unafikiki everton atawafanya nn Kama sio kuchinja kabisa
Aise mpira hauko hivyo. Msimu uliopita tulifungwa 3- 0 na Watford lakini unajua mwishoni bingwa alikuwa nani
 
Tunae Klopp,super tactian
Everton hawezi tufunga
Sijui James sijui upuuzi gani ndiyo nn sasa?
Klopp anajua wapi team ili collapse na atarekebisha!
Kipa Adrian sio sababu ya kufungwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom