Hawa FSG na Glazer family inaonekana wanawaza tu faida kwao tu tangu mwaka 2017 kimya kimya wanafanya mipango kuwashawishi timu zingine kupunguza idadi ya klabu za ligi kuu kutoka 20 mpaka 18..
Pia wanafanya lobbying kufuta Community Cup na Carabao..
Pia wanafanya lobbying kupunguza kubadili upagaji wa kura EPL kutoka ilivyo sasa ambapo mamuuzi yote lazima timu 14 zipige kura ya ndio ili kufanya mabadiliko..one team one vote ndio ilivyo sasa...
Sasa FSG na Glazer family wana lobby maamuzi yawe yanafanywa kwa endapo kura za timu 6 kati ya hizi ambazo ni Liverpool, Manchester United, Manchester City, Chelsea, Arsenal, West Ham, Southampton, Everton na Tottenham watasema ndio..
Wana lobby pia waruhusiwe kuuza game right za kuonyesha mechi 6 kwa msimu nje ya Uingereza tofauti ni ilivyo sasa ambapo ni collective bargaining ya TV right mechi zote EPL.. Kwa hali hii usije shangaa tukaikosa EPL wenye kifurushi cha Compact...
Rick Parry naona anawasapoti..
Na mengine mengi..
Walianza na kuwapiga wafanya kazi furlough mashabiki wakaja juu wakanywea sasa naona full throttle kutala kubadili EPL mazima..
YNWA