Hapo sijaona wa kutuzuia kushinda, twende hivi Salah tunamkabizi kwa mkata umeme Zouma, apo atembei, uyo Thiago haoana shaka Kante yupo, Mane kina dogo Christensen atafanya kazi yake vizuri, Bob tunajua kachoka uyo tunamwacha aruke ruke uwanjani ..mbele tayari. Kwa Fabihno app kuna Kovavic mzee wa viatu hakuna shaka hapo. Nyuma kabisa tunajua VVDna Allison nj vitobo ivyo Werner na Giroud wataleta tabu ya kutosha na kusababisha penati za kutosha japo sisi tutapenda kuwapiga goli za uwakika hatutaki mbeleko.
Mpira utaisha hivi
Chelsea 3 - Liverpool 1 au 2 kama Salah atapata penati.
#CFC💙💙💙