Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Jota for £45m?
nadhan bei imekua kubwa hivo kwa sababu ya style ya malipo..........

kwenye acc books huwa wana-spread bei yake throughout miaka ya mkataba ila kiuhalisia malipo yanaweza fanywa at once kama timo,...... ila huyu naona actual pay italipwa ndani ya 5 yrs, wakianza na 4.1 or less ndani ya miez 12


usishangae kusikia kiasi halisi kilichotolewa kwa thiago na jota ni less than 10 wote wawili
 
Lakini kwa £45M dah!
Nimesoma humu Klopp anamtazama kwa misimu miwili hivyo sio wa kumchukulia powa...

Huyu sasa ndio anakuja kuwapa competition Salah, Mane, Firmino...

Kwa miaka 23 na £45m ambayo hailipwa cash cash ni biashara nzuri..

ndugu huyu ndio future wetu...

Na dirisha bado mbichi usishangae Mane ama Salah wakatamani new project La Liga ama PSG hivyo ni vyema kua na huyu ana uzoefu wa EPL na ni fighter..

YNWA
 
Screenshot_20200919_150057_com.android.gallery3d.jpg


Bring the Lamps Boys

YNWA
 
View attachment 1574247

Bring the Lamps Boys

YNWA
Hapo sijaona wa kutuzuia kushinda, twende hivi Salah tunamkabizi kwa mkata umeme Zouma, apo atembei, uyo Thiago haoana shaka Kante yupo, Mane kina dogo Christensen atafanya kazi yake vizuri, Bob tunajua kachoka uyo tunamwacha aruke ruke uwanjani ..mbele tayari. Kwa Fabihno app kuna Kovavic mzee wa viatu hakuna shaka hapo. Nyuma kabisa tunajua VVDna Allison nj vitobo ivyo Werner na Giroud wataleta tabu ya kutosha na kusababisha penati za kutosha japo sisi tutapenda kuwapiga goli za uwakika hatutaki mbeleko.

Mpira utaisha hivi
Chelsea 3 - Liverpool 1 au 2 kama Salah atapata penati.

#CFC💙💙💙
 
Mkuu, naõna umepata nguvu,


Hongereni sana, kwa kumpata huyu fundi mpiga vibao mpìra, najua tutapata tabu ila na burudani pia tutaipata
Napênda anavyotema kushoto na kufukia kulia, NYIE..

Welcome fundi Thiago
🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Tunashukuru Mkuu.. Ila ndugu yule fundi Houssem mkimpata mtakua juu mno..

Kwa sasa mie kama sio aletwe Andy ama Super Mario😀😀 naona ni sawa kwa vile Klopp habahatisha anafanya extensive homework kabla haja sanctions mchezaji anunuliwe hivyo sina budi zaidi ya kusema in Klopp i trust...

Kwa namna usajili unavyokwenda msimu huu ligi itanoga sanaaa

YNWA
 
Hapo sijaona wa kutuzuia kushinda, twende hivi Salah tunamkabizi kwa mkata umeme Zouma, apo atembei, uyo Thiago haoana shaka Kante yupo, Mane kina dogo Christensen atafanya kazi yake vizuri, Bob tunajua kachoka uyo tunamwacha aruke ruke uwanjani ..mbele tayari. Kwa Fabihno app kuna Kovavic mzee wa viatu hakuna shaka hapo. Nyuma kabisa tunajua VVDna Allison nj vitobo ivyo Werner na Giroud wataleta tabu ya kutosha na kusababisha penati za kutosha japo sisi tutapenda kuwapiga goli za uwakika hatutaki mbeleko.

Mpira utaisha hivi
Chelsea 3 - Liverpool 1 au 2 kama Salah atapata penati.

#CFC💙💙💙
Hahaha lol kweli mkaskazini upo makini namna ya kunichapa...

Tunapokutana ndugu mambo hubadilika mno hivyo kesho hao unaowasema usije shangaa wakawa njia...

Ni kesho mkuu..

YNWA
 
Hapo sijaona wa kutuzuia kushinda, twende hivi Salah tunamkabizi kwa mkata umeme Zouma, apo atembei, uyo Thiago haoana shaka Kante yupo, Mane kina dogo Christensen atafanya kazi yake vizuri, Bob tunajua kachoka uyo tunamwacha aruke ruke uwanjani ..mbele tayari. Kwa Fabihno app kuna Kovavic mzee wa viatu hakuna shaka hapo. Nyuma kabisa tunajua VVDna Allison nj vitobo ivyo Werner na Giroud wataleta tabu ya kutosha na kusababisha penati za kutosha japo sisi tutapenda kuwapiga goli za uwakika hatutaki mbeleko.

Mpira utaisha hivi
Chelsea 3 - Liverpool 1 au 2 kama Salah atapata penati.

#CFC
Hapą umejikakamua kweli kuandika hivi yaani kama mtu anayekula msosi anaoupenda alafu una pilipili nyingi
 
Umeongea sana kwa moyo mwanzo mwisho, but all i can see ni utumwa wako na ujinga wako kwenye ushabiki, sometimes mapenzi yanaweza kukufanya uwe mtumwa na usijijue kabisa, kama moyo huo ungeuweka katika kutengeneza your career na pia kujitengenezea mashabiki na wateja ungefika mbali, ndo maana naachana na ushabiki sahvi japo najua itanichukua mda wa kujijenga katika njia mpya,
Nachojiuliza kila siku ni kwann binadamu wanakuwa na ushabiki wa kipumbavu kiasi iki uku wakishabikia kijina tu na sio location wala watu walioko kwenye ilo jina, is it because of history????, We make our only history
You are just a stupid person

Hakuna haja ya kumu attack mtu out of nowhere uonekane unajua

Rubbish
 
Umeongea sana kwa moyo mwanzo mwisho, but all i can see ni utumwa wako na ujinga wako kwenye ushabiki, sometimes mapenzi yanaweza kukufanya uwe mtumwa na usijijue kabisa, kama moyo huo ungeuweka katika kutengeneza your career na pia kujitengenezea mashabiki na wateja ungefika mbali, ndo maana naachana na ushabiki sahvi japo najua itanichukua mda wa kujijenga katika njia mpya,
Nachojiuliza kila siku ni kwann binadamu wanakuwa na ushabiki wa kipumbavu kiasi iki uku wakishabikia kijina tu na sio location wala watu walioko kwenye ilo jina, is it because of history????, We make our only history
Wee jamaa umeandika nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom