45 kwa jota mmepigwa !!! Namuona minamino mwingine tu hapa, anaenda kukaa bench !!!!
Mtu alikuwa Hana namba kwenye kikosi cha nuno, liva mnashangilia kumpata ? Takwimu zake Ni za kawaida Sana, pengine umri wake bado (23), ana uwezo wa kudevelop zaidi ! Anaenda kumweka Nan bench pale ????? Huyu Ni back up player tu !!!
Mnashangilia eti 45 inalipwa kwa instalment, yes hata kama lakini si mtailipa ?? Hata ingelipwa ndani ya 20 yrs!!
Mngesajili walau mtu anaeingia kwenye kikosi direct Kama THiago !!! Wacha tusubiri ,,, jota sio mtu anaeweza kuwapa 20 goals na walau 8 assists per season !!
Thiago mmelamba dume, hapo shida Ni injury tu! Hawez cheza mechi Saba mfululizo , ila akiwa fit anakiwasha haswa !!