Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

FSG wagumu balaa Kilichobaki ni kuwa wavumilivu na kuendelea kuipa support timu yetu matumaini yangu we will do just fine this season. No need to panic. YNWA
Mechi moja tu naona vijana mnalalama Sana.
Mkubaliane na hali ya sell and buy ya hawa matajiri maana ndio itaifanya miaka 100.klabu isije filisika kama kipindi kile bado kidogo tushushwe daraja.
Uzuri ni kuwa tuna wachezaji wa kupata pesa. Sio kama klabu nyingine. Ndo maana wanawekeza snaa kwa vijana ambao utaweza kuwauza baadae.
Matokeo ya Leeds wala hayanipi hofu mama wengine.
Gomez huyu huyu alicheza mechi KIBAO na vvd na kuruhusu magoli machache Leo mnamuona hafai. Eti na vvd mnasema nawazingua serious?? Huyu aliyeibadili kabisa Liverpool mnataka mumkatae Leo.
Kwa firminho ni a mechoka mwili tu na wala sio Kwamba hana form vizuri. Klopp anatakiwa ampe off ya hata mechi 3 bench amuweke minamino au origi.
Wengine eti thiago angekuwepo Leeds wasingepata magoli. Hata huko Germany Kuna timu zinaivurugaga bayern na thiago akiwepo.
Yaliyotokea ni makosa ya kimpira na kocha atayafanyia kazi. Walete Chelsea tujipigie Lampard alielie tena. YNWA


Sent from my LDN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Nakuhakikishia hapa hatuna timu ya kumfunga Chelsea, na tukicheza kama tulivyocheza na Leeds kama walevi wa Gongo tunakufa si chini ya Goli 3 mpaka 4.
Kwa sasa ndugu niseme tu ninachotaka ni pointi 3 kila gemu kosa kosa basi draw 👻👻👻....

Vs Blues na vs Ganaz pointi 3 japo ngumu kutokana na wameshatujulia tayari..

Klopp ana wiki nzima kuja na mfumo wa kuwabana hawa matajiri wa London...

YNWA
 
Mechi moja tu naona vijana mnalalama Sana.

Tokea muanze kuzisema hizi kauli za 'Mechi Moja tu' zimeshapita mechi ngapi?
Hata game ninavyojua Mimi kwenye football hakuna two matches at once! Lazima tutacheza mechi 1 tu kwa wakati mmoja! So, hata zipite Games 100 kauli itakuwa ni hiihii 'Mechi Moja tu munalalamika?' But the reality zimeshapita zaidi ya mechi 70 tukea tulalamikie usajili last Four Windows.

Mkubaliane na hali ya sell and buy ya hawa matajiri maana ndio itaifanya miaka 100.klabu isije filisika kama kipindi kile bado kidogo tushushwe daraja.
Uzuri ni kuwa tuna wachezaji wa kupata pesa. Sio kama klabu nyingine. Ndo maana wanawekeza snaa kwa vijana ambao utaweza kuwauza baadae.
Liverpool ilipotaka kufilisika si kwasababu ya usajili Kwani kipindi hicho haikiwahi kusajili mchezaji wa bei ghali hata mmoja.
Kama kisajili ni kufilisika EPL angebaki Liverpool pekeyake wengine wote wangekwisha filisika Kwani kina Everton wanamwaga mihela ya usajili bila ya Mapato makubwa ya TV kama Liverpool, Bila Mikataba minono kama ya Liverpool na bila ya hela za Trophies kama Liverpool.

Matokeo ya Leeds wala hayanipi hofu mama wengine.

Yah! That's loser mentality haamini kama Kenge mpaka aone damu zinamtoka masikioni. Even ya Ngao vs Arsenal hayakukustua.
But for me even one Mistake I've to question how it was happened.

Gomez huyu huyu alicheza mechi KIBAO na vvd na kuruhusu magoli machache Leo mnamuona hafai. na vvd mnasema nawazingua serious??

Ivi unajua maana ya Fall and Rise? Consistency? Unadhani wanaosema Ramosi ni best Centre Back at his generation ni wajinga? Kwa sababu ni Most Consistent Centre back in the World.
Gomez ni kweli alikuwa Mzuri lakini ni msimu wa 2018/19. Kuanzia msimu uliopita anafanya makosa mengi sana ya kutugharimu! Je tufumbie macho anayoyafanya kwa kuwa tuyaone kama ni fadhila anatulipa kwasababu aliwahi kucheza uzuri?

Kwa firminho ni a mechoka mwili tu na wala sio Kwamba hana form vizuri. Klopp anatakiwa ampe off ya hata mechi 3 bench amuweke minamino au origi.
Msimu mzima uliopita our Centre Forward hakucheza vizuri kabisa sasa kwa point ipi amechoka? Ivi Mchezaji alichoka msimu mzima kweli? Miezi 3 ya Corona bila Football hakuwahi kupumzika leo unasema atapumzika kwa mechi 3?????????

Yanayozungumzwa leo yalizungumzwa tokea msimu uliopita, Yakazungumzwa Preseason, Yakazungumzwa baada ya Mechi ya Ngao na Yanaendelea kuzungumzwa hata leo, But kila mukipost munakuja na kauli za "MECHI MOJA TU" badilikeni.
 
Hivi hii timu ilivo na brand kubwa haiwezi kupata mmiliki muarabu kweli au mrusi aifanye itawale 10 seasoz hawa takataka wa kimarekani waiache hii timu

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
Hawa wa marekani ndo wametuletea Klopp wamgeweza kumleta hata rednapp.
Hawa wa marekani wametupa karibu kila kombe ndani ya 4 years. Tulieni wale ndo mabosi na ndo wanajua nini wa nafanya. Inabidi mkubali tu kuwa Klopp Ana first 11 yake na hawezi kubadili hata aje nani. Na ndo maana haangaiki na mchezaji mwingine unless auze kama sera ya wadosi inavyosema.
Man City mwaka jana kasajili lakini akaishia na capital Cup.
Man u amesajili kishenzi tangu fergie aondoke lakini patupu.
Klopp anasjili kwa mpango na mahitaji yake. Tusimpigie kelele.
Tulieni angalieni soka tamu makosa yatakuwepo na yatarekebishwa.
Next Chelsea then arsenal tupige hawa watoto wa London then tusonge mbele.

Sent from my LDN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Hawa wa marekani ndo wametuletea Klopp wamgeweza kumleta hata rednapp.
Hawa wa marekani wametupa karibu kila kombe ndani ya 4 years. Tulieni wale ndo mabosi na ndo wanajua nini wa nafanya. Inabidi mkubali tu kuwa Klopp Ana first 11 yake na hawezi kubadili hata aje nani. Na ndo maana haangaiki na mchezaji mwingine unless auze kama sera ya wadosi inavyosema.
Man City mwaka jana kasajili lakini akaishia na capital Cup.
Man u amesajili kishenzi tangu fergie aondoke lakini patupu.
Klopp anasjili kwa mpango na mahitaji yake. Tusimpigie kelele.
Tulieni angalieni soka tamu makosa yatakuwepo na yatarekebishwa.
Next Chelsea then arsenal tupige hawa watoto wa London then tusonge mbele.

Sent from my LDN-L21 using JamiiForums mobile app
Hahahahahahahahah Eti Tupige hawa watoto Juzi tu hapa Arteta ametupangia watoto wake tumewashindwa Umeshasahau Mkuu....Rekodi
 
there's definitely something wrong with our defensive set up (both the defensive midfield & the backline itself) since that humiliating defeat vs Watford.

or is it me?

I think for now Klopp should just revert to the conventional defending and do away with this highline defending nonsense which other teams appear to have now figured out how to play against.

we have conceded 6 goals at Anfield in the last 2 leagues only, which should be a big worry in the context of the season's outlook.

if we are solid defensively, we won't have to worry too much about the mediocrity of the likes of Bobby in attack because one nil victories should still be getting us over the line.
the EPL legend - Gooner Ian Wright - appears to share my concern above.

if we won't be bringing in any new faces this window to beef up our squad depth, then a tactical tweak in our defence structure is no longer a mere need but one hell of a biggie must.

am still on us doing away with the highline defending as an alternative route in case of no new signings because we cannot play "heavy metal" for 3 consecutive seasons with the same personnel on the pitch.
will never work!

20200914_235614.jpg
 
Another kid wa ngapi huyu wa nne ama dirisha hili... Aafu wakishakomaa nafasi hawapewi wanaodoka bure ama kwa ela kiduchu.. Suso, Camacho, Chirvela, binamu wa Steve nk

Hopefully Grujic nae angalau msimu huu apewe nafasi tuone kazi kazi...

YNWA
Mi naona sahiv wanafanya biashara kama za nyanya wapate hela ndogo ndogo za chap chap.
Naona huku hatupo tena.
_IMG_15712312425184487.jpg
 
Wanangu nini maana ya FSG

Fenway Sports Group - Wikipedia
Fenway Sports Group, LLC (FSG), is an American sports company. It is the parent company of Major League Baseball's Boston Red Sox and Liverpool F.C., a Premier League soccer team.
Founder: John W. Henry; Thomas C. Werner
Headquarters: Boston, United States
Industry: Sports investment
Founded: Delaware (2001)
 
Mi naona sahiv wanafanya biashara kama za nyanya wapate hela ndogo ndogo za chap chap.
Naona huku hatupo tena. View attachment 1570167
Bwana wee kwa sasa tunakwenda na mfumo wa sell now to buy later usishangae Salah akauzwa ili tununue huyo MF na Beki 🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️.....

Kazi ipo kwa kweli...

YNWA
 
Kwa ile Chelsea ya kina kai lingard havertz ,Liverpool next week anaenda kujibebea point 3 kiulaini

Dah mnaenda kujiokotea Point 3 ,

Jana Brighton walikosa umaliziaji kipindi cha kwanza walicheza vizuri sana.. Nilikua najiuliza ilikua aje yule kocha wao wakampa mkataba mpaka 2025 vile duh jana nimemwelewa regardless ya matokeo yao but kocha amei change ile timu kabisa...

Sasa Wekedi wala sina maneno mengi hata kama ni winning ugly nahitaji pointi 3 murwa kabisa pale darajani...

YNWA
 
Jana Brighton walikosa umaliziaji kipindi cha kwanza walicheza vizuri sana.. Nilikua najiuliza ilikua aje yule kocha wao wakampa mkataba mpaka 2025 vile duh jana nimemwelewa regardless ya matokeo yao but kocha amei change ile timu kabisa...

Sasa Wekedi wala sina maneno mengi hata kama ni winning ugly nahitaji pointi 3 murwa kabisa pale darajani...

YNWA
Kumbuka walicheza na Brighton ambayo imezoea mikiki ya ligi na sisi tumecheza na Leeds ambao ndio wamepanda ligi kuu na wametutoa makamasi
 
Hahahahahahahahah Eti Tupige hawa watoto Juzi tu hapa Arteta ametupangia watoto wake tumewashindwa Umeshasahau Mkuu....Rekodi
Kama. Ni record angalia head to head uone tunavyowapiga hawa.
TUSIMFOKEE KLOPP. A najua anachofanya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom