Captain Marvelous
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 15,313
- 32,605
Hivi hii imekaa aje ndugu maana kimshahara kwa wiki Sterling, Pogba, KDB, Ozil, Degea nk wapo juu ya Salah..
YNWA
Hivi hii imekaa aje ndugu maana kimshahara kwa wiki Sterling, Pogba, KDB, Ozil, Degea nk wapo juu ya Salah..
Mkuu Leeds ni bingwa wa Championship sio ligi nyepesi ki hivyo na pia wana moja wa kocha ambae ni very influential kwa wachezaji wake in modern coaching methods...Kumbuka walicheza na Brighton ambayo imezoea mikiki ya ligi na sisi tumecheza na Leeds ambao ndio wamepanda ligi kuu na wametutoa makamasi
Hivi hii imekaa aje ndugu maana kimshahara kwa wiki Sterling, Pogba, KDB, Ozil, Degea nk wapo juu ya Salah..
YNWA
Dah ! Watatuua SasaBwana wee kwa sasa tunakwenda na mfumo wa sell now to buy later usishangae Salah akauzwa ili tununue huyo MF na Beki.....
Kazi ipo kwa kweli...
YNWA

Na Kwa kuwa ni Klopp Gomez utamuona tena uwanjani.Mkuu Leeds ni bingwa wa Championship sio ligi nyepesi ki hivyo na pia wana moja wa kocha ambae ni very influential kwa wachezaji wake in modern coaching methods...
Ukiona mpaka Pep na Pochettino wakisema kocha Marcelo ni thier idol ndio ujue sio wa kuwachukulia powa Leeds ki vile...
All in all we won ugly and as far as 3 points zipo kwetu am at peace...
We aint the force we were last 3 seasons hivyo sitegemei tushinde kirahisi.. We will have to sweat and get the results the hard way..
Defence need to be settled.. Gomez/VVD has become big time leaky mpaka viti vinakua vya motooo... Klopp should have Matip partner VVD vs the Blues...
YNWA
Tulia ndugu hatukufa enzi za akina Jerry Spering na akina Mario Super B ndio tufe sasa hahaha no way tupo sana tuuuu...Dah ! Watatuua Sasa![]()
Do we ask a club benefit fron the so called endorsement hahaha thinking the FSG way... no wonder Barcelona have interest maana Spain players are less taxed in those endorsement deals...Hiyo ni salary plus endorsements.
Yaani Gomez na VVD kuna shinda imekua vice versa hii combo yao...Na Kwa kuwa ni Klopp Gomez utamuona tena uwanjani.
Ni kweli wametuletea Klop, lakini ukiangalia mafanikio 90% yaliyopatikana ni u genius wa klop, ndio maana jamaa hawa chini ya Rogers namba 7 ilikua ni halali yetu kwa uwekezaji wao, tofauti na City ambao hata chini ya Pellegrin tuu wamebeba EPL ssbabu ya uwekezaji,Hawa wa marekani ndo wametuletea Klopp wamgeweza kumleta hata rednapp.
Hawa wa marekani wametupa karibu kila kombe ndani ya 4 years. Tulieni wale ndo mabosi na ndo wanajua nini wa nafanya. Inabidi mkubali tu kuwa Klopp Ana first 11 yake na hawezi kubadili hata aje nani. Na ndo maana haangaiki na mchezaji mwingine unless auze kama sera ya wadosi inavyosema.
Man City mwaka jana kasajili lakini akaishia na capital Cup.
Man u amesajili kishenzi tangu fergie aondoke lakini patupu.
Klopp anasjili kwa mpango na mahitaji yake. Tusimpigie kelele.
Tulieni angalieni soka tamu makosa yatakuwepo na yatarekebishwa.
Next Chelsea then arsenal tupige hawa watoto wa London then tusonge mbele.
Sent from my LDN-L21 using JamiiForums mobile app
Salah tunamkabidhi kwa James mbeleko la two penalties hatopata tena. Jumla ya game mbili mlizocheza anfield mumeruhusu magoli sita. Huu ni udhaifu mkubwa sana. Mbele ya Zouma Bob Firmino sioni atatokea wapi..
Karibu Darajani
Endorsements unamaana gani hapa mkuu?? naomba ufafanuzi kidogoHiyo ni salary plus endorsements.
Ya zouma nae unamuona beki kweli?Salah tunamkabidhi kwa James mbeleko la two penalties hatopata tena. Jumla ya game mbili mlizocheza anfield mumeruhusu magoli sita. Huu ni udhaifu mkubwa sana. Mbele ya Zouma Bob Firmino sioni atatokea wapi..
Karibu Darajani
Endorsements unamaana gani hapa mkuu?? naomba ufafanuzi kidogo