mmangO
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,025
- 1,623
3 points banked.
1 game done, 37 to go unbeaten.

bro pumzi kisoda3 points banked.
1 game done, 37 to go unbeaten.

bro pumzi kisodaHakuna game tunaenda kushinda kwa ulaini kama game ijayo na Chelsea yaani kila mtu atashangaaSawasawa na nilikuwa naimani siku moja hiyo ya Gini JK atamchezesha kama unavyosema hapo
Kweli ila yote hayo yangerekebishwa kama tungekuwa na benchi lenye wachezaji wa uhakikabwa kubadili matokeo .
Tuendelee kupambana labda tutaendelea kushinda kwa zali hivyo hivyo mpaka msimu uishe .
Bora Jana tumeshinda maana tusingeamka leo mi Manure ingetutesa kwa presha za mtaani.
Presha kubwa tutaendelea kuimiliki aisee..
Next game against Chelsea (A).
Lampard ana uchu na sisi, mpaka unatamani game zingehairishwa kwanza, tutapigana tu tushaingia vitani ngoja tuendeleze imani.
#inklopwetrust
#YNWA
you got a point there, boss.Most likely he fail to tweak the system as he lack the squad depths for such change to bring immediate impact and Klopp is no magician he will go and stick for what has won him more trophies and that 4 3 3....
Fergie even after winning the title he used to add his squad and bring in hungrier players to supplement his squad that why he was winner oftenly...
YNWA
Yes inawezakana pia maana football ndio ilivyoHakuna game tunaenda kushinda kwa ulaini kama game ijayo na Chelsea yaani kila mtu atashangaa
Najiuliza kama angefungwa Andrian humu dahOur defense was very bad, mido ilikua Kama inaumwa kwashiorkor
Firmino kawa Kama diouf, vvd la.sakho, trent Kama.moreno, Gomez Kama Lovren
Allison kawa karius
Very crappy
Huyu jamaa tangu abatizane na firmino wamekua Kama aki na ukwaNajiuliza kama angefungwa Andrian humu dah
Gini akiwa timu ya Taifa hucheze nyuma ya washambuliaji na ukitazama goli ratio yake ni kali sana... Hilo pekee linamfanya Koeman ajaribu kumpeleka kule Catalan..Sawasawa na nilikuwa naimani siku moja hiyo ya Gini JK atamchezesha kama unavyosema hapo
Kweli ila yote hayo yangerekebishwa kama tungekuwa na benchi lenye wachezaji wa uhakikabwa kubadili matokeo .
Tuendelee kupambana labda tutaendelea kushinda kwa zali hivyo hivyo mpaka msimu uishe .
Bora Jana tumeshinda maana tusingeamka leo mi Manure ingetutesa kwa presha za mtaani.
Presha kubwa tutaendelea kuimiliki aisee..
Next game against Chelsea (A).
Lampard ana uchu na sisi, mpaka unatamani game zingehairishwa kwanza, tutapigana tu tushaingia vitani ngoja tuendeleze imani.
#inklopwetrust
#YNWA
Patience is damn rare virtue as Klopp said if he finds "right player" for the right price he will buy🤔🤔🤔....you got a point there, boss.
Huu msimu Anfield mtashinda kwa tabu sana.Anfield hapo mkuu,tunawakalisha
Angalia huyu takataka ..unatolewa jasho na timu iliyopanda daraja. Arsenal alikupiga utamweza Chelsea?Hakuna game tunaenda kushinda kwa ulaini kama game ijayo na Chelsea yaani kila mtu atashangaa
Najiuliza kama angefungwa Andrian humu dah
Angalia huyu takataka ..unatolewa jasho na timu iliyopanda daraja. Arsenal alikupiga utamweza Chelsea?
Atapata goli ila Chelsea atashinda.Leeds wewe atakuja kukufunga
Allison hadeserve Kucheza championship are you serious ??Sidhani kama Alison jana alifanya kosa lolote lililosababisha goli labda niwe nimeangalia game tofauti.
Adrian halumiwi kwasababu ya jina lake bali analaumiwa kwasababu ya uzembe wake uliokithiri! Ukweli ni kwamba Alison ni kipa wa Daraja la pili, hata Championship hadesrve kucheza.
Itazame backup ya Arsenal aliyekaa kipa kwenye game ya ngao ndiyo utajua kama FSG linapokuja suala la Kitonga hata Kindoki watamchukua.
Uwezo huonekana pale mambo yanapokua magumu beki zimekatika na yeye kakatikaSidhani kama Alison jana alifanya kosa lolote lililosababisha goli labda niwe nimeangalia game tofauti.
Adrian halumiwi kwasababu ya jina lake bali analaumiwa kwasababu ya uzembe wake uliokithiri! Ukweli ni kwamba Alison ni kipa wa Daraja la pili, hata Championship hadesrve kucheza.
Itazame backup ya Arsenal aliyekaa kipa kwenye game ya ngao ndiyo utajua kama FSG linapokuja suala la Kitonga hata Kindoki watamchukua.