Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Uwezo huonekana pale mambo yanapokua magumu beki zimekatika na yeye kakatika

Kwa hili unaweza kuwa sahihi na vilevile unaweza usiwe sahihi.

Kwa Jana Alisona ukiangalia magoli yote 3 basi hakuwa na nafasi yoyote ya kuweza kuyazuia.

Sijaona hata goli moja walilofunga kilelemama! Jama walikuwa wanapiga Michi ya nguvu au hukuangalia game.

Hebu tazama lile goli la kwanza kama alijiandaa hasa kupiga ule mpira na ukajaa mguuni unadhani pale AB angefanyaje? Ukija goli la 3 ndiyo nduki ya kufa Mtu.

Kwa Jana Alison hahusiki kabisa.
 
Nadhani tunahitaji kitu kimoja kati ya hivi viwili;
1. Kama tunataka kuendelea na mfumo wetu ule wa 4-3-3 basi tunahitaji kusajili wachezaji zaidi ili kuweza kuwa na backup ya kutosha in case ile startup itakua imechemka, Otherwise

2. Inabidi kubadili aina ya mfumo tunaotumia, it looks like wapinzani wetu washaufahamu vema huu mfumo na washaona weakness yetu iko wapi.

Full back zetu ziko vema ku-attack na mostly muda wote wapo nusu ya pili ya wapinzani wetu inapokuja suala la counter attack tunajikuta tumebaki na mabeki wa kati wawili.

Nadhani tungetumia hata 3-4-3 wakati wa kushambulia labda kidogo inaweza kutusaidia yani gomezi/matip, vvd na fabinho/hendo wawe wanasimama pale nyuma muda wote wakushambulia na wakushambuliwa.

Pale kati left na right wingers wawepo robbo plus TAA na pale ndani kama kawaida gini na keita.

Frontlinie ibaki kama ilivyo.

Wakati wa kuzuia wataongezeka robbo na TAA nakufanya formation kuwa 5-2-3
 
dah....

20200913_160459.jpg
 
Liverpool are on the cusp of signing young Brazilian goalkeeper Marcelo Pitaluga (left)

around initial fee is £700,000. Medical this week. Club had been tracking him since last November. Alisson involved in assessing his qualities and gave him a ringing endorsement
Screenshot_20200913-181218~2.jpg
 
Liverpool are still in the market for a couple more signings. Another senior centre-back and a wide attacker are the two main priorities.

A lot will depend in the amount of cash they can generate from sales 💴

Source: James Pearce

Hiyo aya ya mwisho ndiyo point muhimu ya kushika.
 
Liverpool are on the cusp of signing young Brazilian goalkeeper Marcelo Pitaluga (left)

around initial fee is £700,000. Medical this week. Club had been tracking him since last November. Alisson involved in assessing his qualities and gave him a ringing endorsementView attachment 1568843
Another kid wa ngapi huyu wa nne ama dirisha hili... Aafu wakishakomaa nafasi hawapewi wanaodoka bure ama kwa ela kiduchu.. Suso, Camacho, Chirvela, binamu wa Steve nk

Hopefully Grujic nae angalau msimu huu apewe nafasi tuone kazi kazi...

YNWA
 
Liverpool are still in the market for a couple more signings. Another senior centre-back and a wide attacker are the two main priorities.

A lot will depend in the amount of cash they can generate from sales 💴

Source: James Pearce

Hiyo aya ya mwisho ndiyo point muhimu ya kushika.
Hahaha hawa FSG walikosea njia kuja kuwekeza UK na hio method yao ya US..

Lucky wana maestro German guru in Klopp....

Koeman asipofanikiwa Barcelona am positive Catalan Giants will come for Klopp nwa hope he stays mpaka 2024..

YNWA
 
Mechi moja tu naona vijana mnalalama Sana.
Mkubaliane na hali ya sell and buy ya hawa matajiri maana ndio itaifanya miaka 100.klabu isije filisika kama kipindi kile bado kidogo tushushwe daraja.
Uzuri ni kuwa tuna wachezaji wa kupata pesa. Sio kama klabu nyingine. Ndo maana wanawekeza snaa kwa vijana ambao utaweza kuwauza baadae.
Matokeo ya Leeds wala hayanipi hofu mama wengine.
Gomez huyu huyu alicheza mechi KIBAO na vvd na kuruhusu magoli machache Leo mnamuona hafai. Eti na vvd mnasema nawazingua serious?? Huyu aliyeibadili kabisa Liverpool mnataka mumkatae Leo.
Kwa firminho ni a mechoka mwili tu na wala sio Kwamba hana form vizuri. Klopp anatakiwa ampe off ya hata mechi 3 bench amuweke minamino au origi.
Wengine eti thiago angekuwepo Leeds wasingepata magoli. Hata huko Germany Kuna timu zinaivurugaga bayern na thiago akiwepo.
Yaliyotokea ni makosa ya kimpira na kocha atayafanyia kazi. Walete Chelsea tujipigie Lampard alielie tena. YNWA


Sent from my LDN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Mechi moja tu naona vijana mnalalama Sana.
Mkubaliane na hali ya sell and buy ya hawa matajiri maana ndio itaifanya miaka 100.klabu isije filisika kama kipindi kile bado kidogo tushushwe daraja.
Uzuri ni kuwa tuna wachezaji wa kupata pesa. Sio kama klabu nyingine. Ndo maana wanawekeza snaa kwa vijana ambao utaweza kuwauza baadae.
Matokeo ya Leeds wala hayanipi hofu mama wengine.
Gomez huyu huyu alicheza mechi KIBAO na vvd na kuruhusu magoli machache Leo mnamuona hafai. Eti na vvd mnasema nawazingua serious?? Huyu aliyeibadili kabisa Liverpool mnataka mumkatae Leo.
Kwa firminho ni a mechoka mwili tu na wala sio Kwamba hana form vizuri. Klopp anatakiwa ampe off ya hata mechi 3 bench amuweke minamino au origi.
Wengine eti thiago angekuwepo Leeds wasingepata magoli. Hata huko Germany Kuna timu zinaivurugaga bayern na thiago akiwepo.
Yaliyotokea ni makosa ya kimpira na kocha atayafanyia kazi. Walete Chelsea tujipigie Lampard alielie tena. YNWA


Sent from my LDN-L21 using JamiiForums mobile app
Nakuhakikishia hapa hatuna timu ya kumfunga Chelsea, na tukicheza kama tulivyocheza na Leeds kama walevi wa Gongo tunakufa si chini ya Goli 3 mpaka 4.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom