Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

salaam kops wote.
First half 3-2. Wachezaji wetu ni wale wale ila timu sio ile ya msimu ulioisha. Kuna shida kweye backline yetu. Kuna kutokuelewa kwingi haswa wale wa kati. VvD na Gomez.
Kukosekana kwa Fabby ndio chanzo cha kupoteana kwa beki zetu.
So far tunaongoza. Klopp aangalie haya mapungufu na yafanyiwe kazi.
Salah bado ni moto mkali. Bobby leo hayupo vizuri.
Chupuchupu ndugu hali tete sana msimu huu...

Same old story hatuna jipya hapa...

Hawa wachezaji ni kama wameishiwa mbinu...

Wanahitaji motisha ambayo ni usajili mpya pale nyuma, kati na mbele mmoja...

Tupo nyumbani na tumekatamatika vile sio mwanzo mzuri hata kidogo...


YNWA
 
Vitoto vya Leeds vinawapa pressure aisee

Hii timu imeshajifia


Inaenda kushuka daraja
 
Hahahah Ndo imeanza hivyo hakunaBkuwa na uhakika na point 3 ..tujiandae kisaikolojia tu...sijui game za FA ,UCL na Carabao zikianza tutakuaje
Tuishi kiimani
#YNWA
Kwa vile tupo tayari kwa matokeo matatu tutakua powa tu ndugu yangu hatuna namna...

Salah leo ukiacha ubinafsi fulani naona dalili powa kama vile msimu huu atakua moto..

Firmino huyu anatakiwa awe super sub atulie kwanza benchi shinda ni pale hatuna namba 9 wa uhakika na hapo usjili unatakiwa..

VVD sijui ni mimi naona ni kama vile kila gemu anazidi kupwaya..

TAA na Robbo hawa leo haikua siku yao klosi zao zile tamu tamu hatujaziona..

Keita amekua mzito mno ajiangalie hizi nafasi za starter haziji kila gemu kwa Klopp..

Hendo ni yule yule wa siku zote...

Gini alitakiwa atoke na goli na ni kama vile akicheza nyuma ya washambuliaji panamfaa sana tatizo mfumo wa Klopp haumruhusu...

Mane leo walishamjua huyu ni tishio hawajafanya makosa kwenda nae sawa..

Gomez ajitazame kama ile form ya Matip enzi zile basi aanze Matip...

Allison lol naona golden gloves 🧤 aisahaua..

YNWA
 
Kwa vile tupo tayari kwa matokeo matatu tutakua powa tu ndugu yangu hatuna namna...

Salah leo ukiacha ubinafsi fulani naona dalili powa kama vile msimu huu atakua moto..

Firmino huyu anatakiwa awe super sub atulie kwanza benchi shinda ni pale hatuna namba 9 wa uhakika na hapo usjili unatakiwa..

VVD sijui ni mimi naona ni kama vile kila gemu anazidi kupwaya..

TAA na Robbo hawa leo haikua siku yao klosi zao zile tamu tamu hatujaziona..

Keita amekua mzito mno ajiangalie hizi nafasi za starter haziji kila gemu kwa Klopp..

Hendo ni yule yule wa siku zote...

Gini alitakiwa atoke na goli na ni kama vile akicheza nyuma ya washambuliaji panamfaa sana tatizo mfumo wa Klopp haumruhusu...

Mane leo walishamjua huyu ni tishio hawajafanya makosa kwenda nae sawa..

Gomez ajitazame kama ile form ya Matip enzi zile basi aanze Matip...

Allison lol naona golden gloves aisahaua..

YNWA
Gomez hapana yule maana anasababisha VvD aonekane anachuja

Matip walau

All in all tusajili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom