Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hichi ndiyo kikosi kwisha cha England? Serious?
Wacha tutukanwe kuwa Hendo hakosi namba Timu ya Taifa 😁😁

THREE LIONS.jpg
 
Kikosi kizima Cha Liverpool (Senior Squad) msimu wa 2020/21 kina Wachezaji 19 tu.

Makipa:
Alisson
Adrian

Mabeki:
TAA
Gomez
Matip
VVD
Robbo
Tsimikas

Midos:
Hendo
Gini
Keita
Milner
Ox
Fabinho

Washambuliaji:
Salah
Mane
Bobby
Minamino
Original

Wachezaji ambao Msaada wao ni Mdogo kabisa (Prone injuries):
Matip
Keita
OX

Wachezaji ambao Msaada wao ni wa kubahatisha:
Origi
Milner
Adrian

Wachezaji ambao bado hawajawa proved viwango vyao:
Tsimikas
Minamino

Mpaka hapa ukweli ni kwamba tuna wachezaji 11 tu ambao ni Proved kwa kuwatumia msimu mzima wa 2020/21

1) Alison
2) TAA
3) GOMEZ
4) VVD
5) ROBBO
6) FABINHO
7) HENDERSON
8) GINI
9) SALAH
10) MANE
11) BOBBY

Yah! Klopp is not Fan wa Big squad, hence Lampard, OGS and Pep are stupids.
Umemsahau na Alpine Messi kwenye prone to injuries ....

Swali ambalo sijaona majibu yake kutoka kwa wenye timu ni je covid imetuadhiri sisi zaidi ya wengine ama walikua wanatafuta sababu ya kutotumia ela....

Tazama Everton ambao hawana ela ya UCL, EPL winner na kadhalika wanavyowekeza huku sisi tukiaminishwa hatuna uwezo wa kununua mpaka tuuze..



YNWA
 
Umemsahau na Alpine Messi kwenye prone to injuries ....

Swali ambalo sijaona majibu yake kutoka kwa wenye timu ni je covid imetuadhiri sisi zaidi ya wengine ama walikua wanatafuta sababu ya kutotumia ela....

Tazama Everton ambao hawana ela ya UCL, EPL winner na kadhalika wanavyowekeza huku sisi tukiaminishwa hatuna uwezo wa kununua mpaka tuuze..



YNWA

Kwa Hili FSG wamefanikiwa sana kuwabrain wash baadhi ya Mashabiki.
 
Usajili wa liverpool msimu huu ni

1.Jones
2.Minamino
3.Tsimikas

Naona ongezeko moja tu mpaka kufikia October.
Na kuna vitoto majina hata kukumbuka shinda vimesajiliwa vipo vitatu...

Sijui wenzetu wanaamini vipi hiki kikosi kitaleta tena ule ushindani wa misimu mitatu iliyopita.. Maana hakika wanaangalia na kusema kikosi hiki kimecheza fainali Europa, Fainali UCL mara 2 na EPL pointi 196 kwa misimu miwili mfululizo basi wanajiaminisha kua kipo vizuri sielewi sisi mashabiki tunaona kimechoka hoi wenzetu wanaona bado kitaleta matokeo safi kabisaaaa...

Muda utasema ila ki ukweli kwa hii kamali itawagharimu...

Eti wanasubiri Barca walete ela ya Gini ndio wamnunue Thiago lol hawa wamiliki watatupa presha si bure.. Huyu Gini sio wa kumwachia kisa tunampata Thiago.. Kikosi kizima Ukiachana na Firmino tangu Klopp kachukua hii timu Gini ni wa pili kucheza dakika nyingi uwanjani na hii inaonyesha anajua kujiweka sawa na kujilinda tofauti na ma pacha wetu Keita, Ox, Shaqir hivyo kwangu wangempa mkataba kuliko kumuuza..

YNWA
 
Kwa Hili FSG wamefanikiwa sana kuwabrain wash baadhi ya Mashabiki.
Ni aibu kubwa sana eti tumemshindwa Timo kwa sababu ya Covid yaani huu ni usanii kabisaaaa hawa jamaa wanajali zaidi ela inayoingia kwao kuliko kuboresha kikosi...

Msimu uliopita EPL timu nyingi zilipoteana na sisi tukawa angalau ndio maana tukawa vizuri kujikusanyia pointi za kutosha...

Msimu huu kila timu inajapanga kwanza kujiweka sawa ili kutushusha pale juu hivyo tutegemee mambo kwetu yatakua tight mnoo...

Msimu huu tukipata nafasi ya tatu itakua kwa baraka za Mola..

YNWA
 
Binafsi sioni haja ya kufanya usajili mkubwa zaidi ya kuongeza mchezaji mmoja ( Striker) ama wawili. Ukiangalia vizuri timu, karibu kila idara imekamilika. Beki wapo wa kutosha, viungo wapo wa kutosha na bora. Kimsingi mashabiki wa Liverpool tuondoe hofu na timu, bado tupo katika nafasi nzuri ya kuchukua ubingwa. T
 
Man Utd wameshaingilia biashara ya Alcantara according to rumours

Kwa bangi za pale Liverpool hii dili tunaweza kuwa tushaliwa hivyo kama ni kweli bei ya euro 30 million tunalia kuwa ni kubwa
 
Binafsi sioni haja ya kufanya usajili mkubwa zaidi ya kuongeza mchezaji mmoja ( Striker) ama wawili. Ukiangalia vizuri timu, karibu kila idara imekamilika. Beki wapo wa kutosha, viungo wapo wa kutosha na bora. Kimsingi mashabiki wa Liverpool tuondoe hofu na timu, bado tupo katika nafasi nzuri ya kuchukua ubingwa. T

Unaweza uliza Nyerere alikufa mwaka gani?

Wa kwanza akajibu: ni mwaka 1999
Wa pili akajibu kumpinga wa kwanza: Ni mwaka mmoja kabla ya uchaguzi wa 2000.

Ndiyo sawa na hichi ulichokiandika hapa 👉 "Binafsi sioni haja ya kufanya usajili mkubwa zaidi ya kuongeza mchezaji mmoja ( Striker) ama wawili".

Mkuu hatujasema tusajili Timu nzima kama Chelsea! Usajili tunaoulilia ndiyo huo wa mchezaji mmoja au wawili! Je wamesajiliwa?
 
Man Utd wameshaingilia biashara ya Alcantara according to rumours

Kwa bangi za pale Liverpool hii dili tunaweza kuwa tushaliwa hivyo kama ni kweli bei ya euro 30 million tunalia kuwa ni kubwa
Kuna yule mchezaji MF wa Lyon bwana mipango Houssem Aouar ki ukweli huyu ndio wangemkomalia wasije sema ooh Thiago hajafit kwenye umri wa project yetu...japo Arsenal walikua wanamkomalia huyu Houssem but naona Dani karudi kwao kwa mkopo tena..

Hawa wamiliki wana imani na kikosi kwa vile wame deliver since 2018 beyond thier thier expectation ila sasa wachezaji wapo hoi mno wamechoka wanahitaji support new blood ili ku manage wear and tear...

Muda utasema..

YNWA
 
Mashabiki wa liver bwana awe nanyi kwenye kipindi hiki !

Usajili wa Nini ? Ndani ya two seasons !

2 Uefa finals
1 EPL tittle

fgs wajanja Sana !

Tuonane msimu ujao, maji mtaita mma !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom