Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Unafikiri kutajataja hayo ma DTV kila wakati na kuita watu washamba,ndio tutakuona unajua?lete takwimu kutoka 1955-2005,usikurupuke soma kwanza uelewe kisha tafakari ndio utoe jibu,usiendeshwe na mihemko!huwezi kufit kila eneo ,halafu usiwe unakakamaza sana fuvu katika mambo madogomadogo.
Relax
 
Duh we jamaa wewe mbona unashindwa kuelewa mambo madogo madogo sana?
Kwani mtu akisema kuwa timu zenye mashabiki Tanzania ni Simba na Yanga kwani Villa squad ya huku magomeni haina mashabiki?
Narudia kusema tena hakuna timu duniani isiyo na mashabiki,Ila Villa squad haiwezi fanana na Yanga.
 
Kila kitu ni process mdogo wangu. Vunja timu bakisha mtu mzima mwenye experience anajua lolote laweza tokea.

Unahitaji ukue kifikra zaidi.

Wewe wakushindana nae kwa sasahivi ni Kakayangu Everton, Mimi mdogo Liverpool mdogo wake Everton sio Class yako kabisa.
 
Huyu jamaa amekuwa kama yule tajiri msomi,
Haelewi kuwa kila sehemu na lugha zake, ni wa kupuuza tu.

Shida yote ni kwamba tulibishana kwenye Uzi wa issue za Simba na Yanga Kuhusu uwekezaji wa 20B za Dewj, basi jamaa kaamua kaamua kuniwekea Bifu mpaka huku.

Watu wengine ukiwachellenge basi inakuwa Ugomvi usiokwisha kwao hawajui kama huu ni mpira tu.

Sikutegemea Mtu kama yeye anaweza kuwa na Visasi kiasi hichi kwasababu tu nilimbishia kuhusu kumwita Dewj ni Tapeli.

Haya bhana! Yote maisha haya.
 
Hizo battle's zenu nazifuatilia hahahaaa... Maana kila mmoja wenu hapo anajiona father. Cha kuchekesha zaidi kila mmoja wenu ana utemi wa aina flani za threads, mada na uchangiaji wake. The Boss kwenye siasa namuona yupo upstairs sana, wewe kwenye football upo vizuri sana King Ngwaba, tena na hivi mmebeba EPL ndiyo hatusemi. Twende kazi
 
Hii battle niliifuatilia halafu jamaa hoja zake kituko
 
TOT+CHELSEA=ARSENAL

Tukae humu
 
Kinacho angaliwa ni currently unafanya nini? Record ipo ili ivunjwe sasa wewe endelea kukaza kaza na porojo zako.View attachment 1548803

Msimu uliopita mulikuwa na vijisababu tele kuhusu Lampard kusaini.

Sasa Msimu huu sijui mwisho wa Msimu mutasemaje? πŸ˜‚πŸ˜‚

Pulisic
Ziyech
Werner
Thiago Silva soon
Chillwel soon

Lakini hapo kwa Chillwel jiandaeni kipigwa kama Manure walivyopigwa kwa Bondia πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mess akitua etihad

Hakuna timu itakayotoka salama, ikiingiza miguu yake pale

Hasa hizi kuku
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…