Hizo hela unatoa wewe?Thiago ingekuwa free transfer sio mbaya lakini kulipa hiyo ela ndefu kwake siungi mkono umri wake umeenda
Hizo hela unatoa wewe?Thiago ingekuwa free transfer sio mbaya lakini kulipa hiyo ela ndefu kwake siungi mkono umri wake umeenda
Serious Mkuu unataka kulinganisha mauzo ya hao wachezaji wenu na Liverpool walivyo smart kwenye biashara.. Willian hamuuzi kakataa kuongeza mkataba anaodoka bure huyo..Kama Chelsea tulimuuza Salah tukauza De brune tukauza Lukaku tukauza Hazard tukauza Luiz na sasa Willian sisi ni timu kubwa sana..
#CFC
Niny liverpool ukimuondoa Torres, Coutinho na Suarez ni mchezaji gani mkubwa mumeuza?
Mkuu hii ngumu ndogo aka the Rock kaongeza mkataba juzi tu..huyu dogo Dayot Upamecano.. centre back wa RB Leipzig - I think I like the look of him.
he's some beast - calm, elegant, strong and quick. probably a slight upgrade on Joe Gomez.
sitashangaa vultures kama Man City, Manure, Chelsea, etc wakaanza kumuwania.
if Klopp decides to go for Dayot, he's got my vote!
Hahahahahahahahah.......u can never win if you style of playing is Defending and waiting for counter attackYule. Jamaa wa atl Madrid aliyekuwa a napiga kelele huku yuko wapi.
Hawa wamshukuru Adrian aliwapa magoli ya bure
Ukweli ni kwamba kuna Watu humu JF wanaangalia nani anapost ili wao waandike kinyume na yule aliyepost tu!
Mfano mdogo kabisa!
√ Klopp alimtaka Auba in and out lakini FSG hawakumsapoti kwa pesa.
√ Klopp alimtaka Goretzka lakini FSG hawakumsapoti.
√ Klopp alimtaka Pulisic lakini FSG hawakumsapoti.
√ Klopp alimtaka Coutinho lakini FSG hawakumsapoti
√ Klopp alimtaka Werner lakini FSG hawakumsapoti.
√ Klopp anamtaka Kai lakini FSG wanagoma kumsapoti.
Mwisho wa siku anatokea Anasema Klopp hakuwataka hao eti hawaendani na mfumo wake.
Ukweli ni kwamba FSG sasahivi wanaangalia wachezaji wale ambao ni Cheap ndiyo wanawasajili that's why wamekimbilia kutuletea Minamino, Liverpool haikuwa na uhitaji wa Minamino tuache kujidanganya.
Huyu wa sasahivi nawezasema Fine coz kasajiliwa kama backup ya Robbo! Lakini Je ndiyo priority area kwa sasa?
Hivi hatujifunzi kwa walichotufanyia ATM nje ndani?
Watu watafahamu baadae! Tunarudi zama za kina Downing na Lambert.
Makombe 6 atletico alitusaidia vipi?Watafuteni Leipzig wawafundishe mbinu
Mnauza kwa bei gani na sisi tunauza kwa bei gani? Ni mchezaji gani mliuza akafikia bei ya Philipe Coutinho?Sisi tumeuza wachezaji ambao hadi sasa wanasumbua Kwenye game. Ukiondoa Balloteli ambaye bado anakipiga nan mwingine apo anakipiga? Suarez na Coutinho bado wanakipiga.
Sisi ndo Chelsea. Tuna hazina kubwa..
#CFC![]()
Huwezi kuangalia Mechi kwa dakika 90 halafu usisapoti upande mmoja kati ya Timu zinazopambana!
Mimi kwenye CL hii nasapoti PSG mpaka Kombe
Ndo muwatafute wawafundishe mbinuKazi iliyotushinda sisi Leipzig kaifanya mapema sana
Walijifanya wajuaji wakakutana na muhuni wa keko magurumbasiHivi
ATM aliwezaje kuwapiga nje ndani???
Mbona anampira wa hovyo, anazidiwa hata MA arsenal
Watafuteni Leipzig wawafundishe mbinu
Mbona mmetolewa sasaMbinu za kuchukuwa makombe tunazo