Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Huwezi kuangalia Mechi kwa dakika 90 halafu usisapoti upande mmoja kati ya Timu zinazopambana!

Mimi kwenye CL hii nasapoti PSG mpaka Kombe
Mimi nitawasapoti Bavarians huu ubingwa ni wao hakuna wa kumzuia
 
Nyie inatakiwa muwasapoti Leipzig kwa sababu kawatoleeni mbabe wenu aliewapiga nje ndani
 
Nikikumbuka kipindi cha Korona pale Simeone aliposema CL ikifutwa kombe apewe ATM kwasababu ndiye anayestahiki kwa kumtoa Bingwa Mtetezi (Liverpool), huwa ninacheka saaana 😂😂😂

Alizani CL anabeba kila Mtu!! Credit pekee atakayoipata ni kumtoa Liverpool ili waliokuwa hawajawahi kubeba Man City na PSG nao walinuse japo kwa kufika Fainali na huku Barca ajione kuwa kwa waliobakia hana mpinzani manake Bayern akikutana na Barca utadhanani ni kukundi cha Wapika Gongo wa Kilimatinde 😂😂
 
Adjustments.jpg
 
Psg atacheza fainali ipi mkuu mpaka abebe hilo kombe? psg hiyo mechi na Leipzig ndio mwisho wa Safari yao kurudi ureno.

Kama uliiona game ya PSG vizuri, Mbappe ni game changer, nina uhakika kama Mbappe atacheza kwa hata 80% tu ya kiwango chake, PSG wanaingia fainali.

Leizpig wataishia hapo. Bado kombe nawapa wakongwe, Barca au Bayern. Atakayepita leo.
 
Kama uliiona game ya PSG vizuri, Mbappe ni game changer, nina uhakika kama Mbappe atacheza kwa hata 80% tu ya kiwango chake, PSG wanaingia fainali.

Leizpig wataishia hapo. Bado kombe nawapa wakongwe, Barca au Bayern. Atakayepita leo.
Bayern anapita leo na kwa City pia
City angechukua ubingwa kilaini iwapo Bavarians angetolewa leo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom