koncho77
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 7,791
- 10,415
Mimi nitawasapoti Bavarians huu ubingwa ni wao hakuna wa kumzuiaHuwezi kuangalia Mechi kwa dakika 90 halafu usisapoti upande mmoja kati ya Timu zinazopambana!
Mimi kwenye CL hii nasapoti PSG mpaka Kombe