Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ikiwa hivi ndo vigezo si bora wamlete Cantwell
Bwana wee kwanza kwa taarifa zilizopo ni kwamba Klopp na jopo lake mpaka sasa endapo watamfuata basi iwe ni £20m kurudi chini na vile vile mpaka sasa kelele zote hizi zinatoka ujeremani pengine kambi ya Thiago huku Liverpool wapo kimyaa kabisa... Ndio maana utasikia hata PSG wanamtaka na sasa leo wanasema Pep anamhitaji na kutoa ofa nono na mshahara wa mkubwa kuliko sisi sasa unajiuliza lini alipewa ofa ama mshahara na Edwards lol...

Mpaka dirisha lifungwe tutaona na kusikia mengi..

YNWA
 
Mkuu hivi kweli tunauhitaji sana wa huyu midfield maestro kiasi cha kutoa huo mpunga woteee...

Unless atakua sio wa mwisho kusajiliwa kuna CB mmoja na forward mmoja basi we take the risk...

YNWA
Naam.
100% we need him.

Mkuu unajua kukosa mid ya aina yake imesababisha wakat mwingine ile front three kurudi chini sana kutafuta mipira. Huyu ni mzuri kwenye kukaba na kusambaza mipira.

Kama atapiga no. 8 utaiona timu iliyobadilika. Chukulia bruno alivyofunika madhaifu ya united.

Kwa kitambo kidogo tumekosa plan B pale flanks zikibanwa huyu anaweza kutupa option ya kupita katikati.

So for me tunamuhitaji. Tukipata one striker one cb one AMF baasi itabaki klopp kujipanga.
 
Thiago ingekuwa free transfer sio mbaya lakini kulipa hiyo ela ndefu kwake siungi mkono umri wake umeenda
Ni ndefu ndio ila uwepo wake unaweza izalisha mara 10 yake. Kuanzia uefa epl broadcasting earnings kama timu itafanya vyema. Ila ikienda kinyume ndio tutakumbuka bei kubwa.
 
Naam.
100% we need him.

Mkuu unajua kukosa mid ya aina yake imesababisha wakat mwingine ile front three kurudi chini sana kutafuta mipira. Huyu ni mzuri kwenye kukaba na kusambaza mipira.

Kama atapiga no. 8 utaiona timu iliyobadilika. Chukulia bruno alivyofunika madhaifu ya united.

Kwa kitambo kidogo tumekosa plan B pale flanks zikibanwa huyu anaweza kutupa option ya kupita katikati.

So for me tunamuhitaji. Tukipata one striker one cb one AMF baasi itabaki klopp kujipanga.
Japo stat zake hazilizishi kwangu na hazitoi picha halisi endapo akija kwetu atatumika aje kutupa mbadala tulionao..

bado kwangu naona hapana waangaliwe na wengine kama vile Nabir Fekir, Isco nk..

YNWA
 
Liverpool have made Official contact with Bayern munich over a deal for THIAGO AĹCANTARA.
We taahira level zenu ni kusajili wachezaji ambao team zao zimeshuka daraja au uende ukasajili farmers league huko
 
Adjustments.jpg
 
Kama Chelsea tulimuuza Salah tukauza De brune tukauza Lukaku tukauza Hazard tukauza Luiz na sasa Willian sisi ni timu kubwa sana..
#CFC

Niny liverpool ukimuondoa Torres, Coutinho na Suarez ni mchezaji gani mkubwa mumeuza?
 
Kama Chelsea tulimuuza Salah tukauza De brune tukauza Lukaku tukauza Hazard tukauza Luiz na sasa Willian sisi ni timu kubwa sana..
#CFC

Niny liverpool ukimuondoa Torres, Coutinho na Suarez ni mchezaji gani mkubwa mumeuza?

Tumeuza Balotelli, Tumeuza Alhaj Diof, Tumeuza Bellamy, Tumeuza Anelka (Kama uliwahi kusikia alikuwa Mchezaji wa Liverpool), Tumeuza Sinama Pongole, Tumeuza Voronin, Tumeuza Lambert wote hao ni Wachezaji wakubwa kuliko hao uliowataja wewe.
 
Tumeuza Balotelli, Tumeuza Alhaj Diof, Tumeuza Bellamy, Tumeuza Anelka (Kama uliwahi kusikia alikuwa Mchezaji wa Liverpool), Tumeuza Sinama Pongole, Tumeuza Voronin, Tumeuza Lambert wote hao ni Wachezaji wakubwa kuliko hao uliowataja wewe.
Sisi tumeuza wachezaji ambao hadi sasa wanasumbua Kwenye game. Ukiondoa Balloteli ambaye bado anakipiga nan mwingine apo anakipiga? Suarez na Coutinho bado wanakipiga.

Sisi ndo Chelsea. Tuna hazina kubwa..

#CFC
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom