Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Adjustments.jpg
 
Fabinho hamkaribii Bruno hata robo nyie wenyewe mnalijua hilo
Mkuu acha ushabiki utoto huwez fananisha liver na man u! Hv unajielewa kwel unaitwa mna world class players umewah hata kuchez mashindano ya mpira ligi za wilayan.. inaonesha mpira wako ni ule wa vibandani
 
Hii timu mkitaka msipotee basi fanyeni yafuatayo:
1.uza firmino chukua striker wa maana achana na huyu mtu kashapoteza targets za goli
2. Tafuta mbadala wa origi hakuna mtu humu mchezaji wa timu ndogo
3. acheni kusajili wachezaji wa mchangani kama minamino na shaqir punguzeni ubahili chukueni wachezaji wa maana
4.mtemeni chamberlain mapema ikibidi uza kabla ajapata pancha nyingine
5.tafuteni kiungo mbunifu hata mmoja dizaini ya pogba au bruno
Jamaa kumbe unamahaba na hii tea ushauli mzuri.
Hem taja majina ya wanaofaa kuziba nafasi zao.
 
Hii timu mkitaka msipotee basi fanyeni yafuatayo:
1.uza firmino chukua striker wa maana achana na huyu mtu kashapoteza targets za goli
2. Tafuta mbadala wa origi hakuna mtu humu mchezaji wa timu ndogo
3. acheni kusajili wachezaji wa mchangani kama minamino na shaqir punguzeni ubahili chukueni wachezaji wa maana
4.mtemeni chamberlain mapema ikibidi uza kabla ajapata pancha nyingine
5.tafuteni kiungo mbunifu hata mmoja dizaini ya pogba au bruno
Team yako ni IPI boss
 
Kuna watu wanadai eti kwa kuwa aliifunga FCB basi aendelee kuwepo na kuenziwa
Anaperform mechi moja tu nyingine zote chali mchezaji wa aina hiyo simtaki mimi nataka aina ya Stevie G alichokifanya 2005 aliendelea kukifanya mpaka anastaafu
Mkuu hamna team inayokosa magalasa mana huuwezi lipa mshahala sawa kwa wachezaji wote kweli Origi hafai nafasi yake unaziba na nani?

Au ndo Minamino?
 
Mkuu una hakika na unachokisema!!?hivi unaweza kusema origi mchango wake Ni kuifunga FCB tu!!?Kama hujui mchango wa origi kwa Liverpool napata Shaka na ufuatiliaji wako kwa LFC...itoshe kusema tukipata mchezaji mwenye uwezo zaidi ya origi atasaidia sababu origi sio kila wakati anakuwa vizur Kama back up sahihi Ila mchango wa origi ktk mafanikio ya misimu miwili ya lFC sio kitu cha kubeza hata kidogo...BINAFSI HATA AKIBAKI ORIGI SINA SHIDA.
Amesahau ndo alikua fowadi yetu mpaka tukafika fainal ya europ tumesahau alipata wastan wa kila mechi goli kabla hajaumia.

Eti anabahatisha dah

Kuna watu waliwasapot wazungu humu kua Brewster mzuri kuliko Origi twende uwanjani sasa kituko.
Naona asaivi wameweka maneno ya akiba japo wazungu wesha sema kwa sasa keaha iva kwa nafasi ya Origi.

Lazio kungemfaa sana
 
Si mnaona nawaambia mido Imejaa mbele kumejaa. Nyuma ni kama kamaliza. Unless atake kuziba nafasi ya lovren
JPEG_20200812_120154_5913520400249767391.jpg
 
Hii timu mkitaka msipotee basi fanyeni yafuatayo:
1.uza firmino chukua striker wa maana achana na huyu mtu kashapoteza targets za goli
2. Tafuta mbadala wa origi hakuna mtu humu mchezaji wa timu ndogo
3. acheni kusajili wachezaji wa mchangani kama minamino na shaqir punguzeni ubahili chukueni wachezaji wa maana
4.mtemeni chamberlain mapema ikibidi uza kabla ajapata pancha nyingine
5.tafuteni kiungo mbunifu hata mmoja dizaini ya pogba au bruno

Hii post ni Nzuri lakini haijatoka kwa Mtu sahihi! Mshabiki wa Manure hata aseme King Ngwaba una macho mawili basi lazima nikatafute Kioo nijihakikishe.
 
Nakumbusha tu kuwa Wachezaji wa Liverpool pale Wameajiriwa na wala hawapo kwa hisani.

Hivyo wanachokifanya chochote pale wanakifanya kama Waajiriwa wanaolipwa ili wakifanye! Kama wakitupa makombe hile ni kazi yao wamelipwa wayalete na wala hawayaleti kwa hisani au mapenzi. Pale kila mchezaji anamapenzi na Timu yake! Wengine ni washabiki wa Manure, Arsenal, Leeds, Man City and co. Lakini wanafanya kazi Liverpool.

Hivyo mchezaji kama aliifunga Barcelona akatupa Kombe hivyo ilikuwa ndiyo kazi aliyoajiriwa na wala hakufanya kwa mapenzi au hisani. Hivyo ukifika muda anaweza kuondoka au kuondoshwa bila ya kufikiria chochote alichowahi kukifanya! Tutakachokiweka kwenye kumbukumbu zetu ni Legacy yake tu aliyoiwacha.

Ni wachezani wachache sana waliowahi kuchanganya Ajira na Mapenzi ya Timu! Mfano ni Agger, Carragher na Kidogo Gerrard!! Kwanini nimesema kidogo Gerrard? Rejea mwaka 2005 sakata la Gerrard alipotaka kujiunga Chelsea, aliyoyasema sisi wengine mpaka leo hatuyasahau jambo lililonifanya mpaka leo siamini kuwa kila Scourser ni mshabiki lialia wa Liverpool.
 
Nakumbusha tu kuwa Wachezaji wa Liverpool pale Wameajiriwa na wala hawapo kwa hisani.

Hivyo wanachokifanya chochote pale wanakifanya kama Waajiriwa wanaolipwa ili wakifanye! Kama wakitupa makombe hile ni kazi yao wamelipwa wayalete na wala hawayaleti kwa hisani au mapenzi. Pale kila mchezaji anamapenzi na Timu yake! Wengine ni washabiki wa Manure, Arsenal, Leeds, Man City and co. Lakini wanafanya kazi Liverpool.

Hivyo mchezaji kama aliifunga Barcelona akatupa Kombe hivyo ilikuwa ndiyo kazi aliyoajiriwa na wala hakufanya kwa mapenzi au hisani. Hivyo ukifika muda anaweza kuondoka au kuondoshwa bila ya kufikiria chochote alichowahi kukifanya! Tutakachokiweka kwenye kumbukumbu zetu ni Legacy yake tu aliyoiwacha.

Ni wachezani wachache sana waliowahi kuchanganya Ajira na Mapenzi ya Timu! Mfano ni Agger, Carragher na Kidogo Gerrard!! Kwanini nimesema kidogo Gerrard? Rejea mwaka 2005 sakata la Gerrard alipotaka kujiunga Chelsea, aliyoyasema sisi wengine mpaka leo hatuyasahau jambo lililonifanya mpaka leo siamini kuwa kila Scourser ni mshabiki lialia wa Liverpool.
Proffesional footballer wote wapo hivyo, and they are enjoying bila kujali timu wazishabikiazo na wanazozichezea. Hivyo sio liverpool tu. Malengo yao ni mafanikio yao ya timu na binafsi.

Jambo la pili kwa mimi Gerrard anabaki among top top top scoursers. Pamoja na yote alibaki na kuchezea team kwa moyo wote bila kujibakiza. Moyo wake ulijaa uliverpool.

Djibril Cisse, who came off the bench in the final and scored in the shootout, has revealed what the talismanic Liverpudlian said during the interval: “He said that he is a Liverpool kid.
“It has always been his club, he didn’t want to see his club like this, being humiliated. And he said if we scored in the first 15 minutes we would win the game and he’s the guy who scored the first goal.
“He gave the best captain’s speech I ever heard in my career.
“He asked everyone to leave, including Rafa [Benitez], he just asked to be with the players.
“That’s what gave us the power to go and win the game. You need to have some balls to do this.”

Ohh Steven Gerrerd "Stevie G" kwangu anabaki among top top scoursers...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom