Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hii timu mkitaka msipotee basi fanyeni yafuatayo:
1.uza firmino chukua striker wa maana achana na huyu mtu kashapoteza targets za goli
2. Tafuta mbadala wa origi hakuna mtu humu mchezaji wa timu ndogo
3. acheni kusajili wachezaji wa mchangani kama minamino na shaqir punguzeni ubahili chukueni wachezaji wa maana
4.mtemeni chamberlain mapema ikibidi uza kabla ajapata pancha nyingine
5.tafuteni kiungo mbunifu hata mmoja dizaini ya pogba au bruno
Wewe timu yako iliyokamilika imechukuwa kombe gani tangu msimu ulioisha
 
Hii timu mkitaka msipotee basi fanyeni yafuatayo:
1.uza firmino chukua striker wa maana achana na huyu mtu kashapoteza targets za goli
2. Tafuta mbadala wa origi hakuna mtu humu mchezaji wa timu ndogo
3. acheni kusajili wachezaji wa mchangani kama minamino na shaqir punguzeni ubahili chukueni wachezaji wa maana
4.mtemeni chamberlain mapema ikibidi uza kabla ajapata pancha nyingine
5.tafuteni kiungo mbunifu hata mmoja dizaini ya pogba au bruno
hahhahaaaa umepiga cha arusha nini jomba?
 
Hii timu mkitaka msipotee basi fanyeni yafuatayo:
1.uza firmino chukua striker wa maana achana na huyu mtu kashapoteza targets za goli
2. Tafuta mbadala wa origi hakuna mtu humu mchezaji wa timu ndogo
3. acheni kusajili wachezaji wa mchangani kama minamino na shaqir punguzeni ubahili chukueni wachezaji wa maana
4.mtemeni chamberlain mapema ikibidi uza kabla ajapata pancha nyingine
5.tafuteni kiungo mbunifu hata mmoja dizaini ya pogba au bruno
Professor kupewa ushauri na ngumbaru sijawahi kuona aisee!
 
Adjustments.jpg
 
Hii timu mkitaka msipotee basi fanyeni yafuatayo:
1.uza firmino chukua striker wa maana achana na huyu mtu kashapoteza targets za goli
2. Tafuta mbadala wa origi hakuna mtu humu mchezaji wa timu ndogo
3. acheni kusajili wachezaji wa mchangani kama minamino na shaqir punguzeni ubahili chukueni wachezaji wa maana
4.mtemeni chamberlain mapema ikibidi uza kabla ajapata pancha nyingine
5.tafuteni kiungo mbunifu hata mmoja dizaini ya pogba au bruno
In klopp we trust. Hata akasajili wa matope sawa.
Maguire Bissaka na Pogba wamewapa nini mpaka sasa?
James vipi huko kwenu.

Ninyi si mlisema vvd sio wa bei hiyo ni ghali mno? Salah mlisema ataflop maana alishacheza epl na akaflop.

Sana sana AMF naweza kukuunga mkono ila sio aina ya bruno. Mchezaji bila penalty haonekani. Kwa mpira wa klopp anapaswa mtu mwenye attribute za pogba na alcantara.
 
In klopp we trust. Hata akasajili wa matope sawa.
Maguire Bissaka na Pogba wamewapa nini mpaka sasa?
James vipi huko kwenu.

Ninyi si mlisema vvd sio wa bei hiyo ni ghali mno? Salah mlisema ataflop maana alishacheza epl na akaflop.

Sana sana AMF naweza kukuunga mkono ila sio aina ya bruno. Mchezaji bila penalty haonekani. Kwa mpira wa klopp anapaswa mtu mwenye attribute za pogba na alcantara.
Nitajie kiungo yeyote hapo kwenu anayemkaribia Bruno kimpira
 
Hii timu mkitaka msipotee basi fanyeni yafuatayo:
1.uza firmino chukua striker wa maana achana na huyu mtu kashapoteza targets za goli
2. Tafuta mbadala wa origi hakuna mtu humu mchezaji wa timu ndogo
3. acheni kusajili wachezaji wa mchangani kama minamino na shaqir punguzeni ubahili chukueni wachezaji wa maana
4.mtemeni chamberlain mapema ikibidi uza kabla ajapata pancha nyingine
5.tafuteni kiungo mbunifu hata mmoja dizaini ya pogba au bruno
Hapo namba mbili nakuunga mikono yote miwili na miguu yote miwili.
 
Sasa we ndo mtu wa mpira unaelewa nini timu yako inahitaji
Kuna watu wanadai eti kwa kuwa aliifunga FCB basi aendelee kuwepo na kuenziwa
Anaperform mechi moja tu nyingine zote chali mchezaji wa aina hiyo simtaki mimi nataka aina ya Stevie G alichokifanya 2005 aliendelea kukifanya mpaka anastaafu
 
Hii timu mkitaka msipotee basi fanyeni yafuatayo:
1.uza firmino chukua striker wa maana achana na huyu mtu kashapoteza targets za goli
2. Tafuta mbadala wa origi hakuna mtu humu mchezaji wa timu ndogo
3. acheni kusajili wachezaji wa mchangani kama minamino na shaqir punguzeni ubahili chukueni wachezaji wa maana
4.mtemeni chamberlain mapema ikibidi uza kabla ajapata pancha nyingine
5.tafuteni kiungo mbunifu hata mmoja dizaini ya pogba au bruno

Yani tumekuacha gap la zaid ya points 25-30, pia sisi ni mabingwa wa dunia, England na Ulaya leo hii unataka kuwa mshauri wetu mkuu? NIlifikir utakuwa na adabu mabingwa tukupe mbinu za namna angalau ya kubaki ndani ya top6 anagalau hata europa usikose msimu ujao.
 
Nitajie kiungo yeyote hapo kwenu anayemkaribia Bruno kimpira

Kwa mzigo unaopigwa na Gini Fabhino Hendo, bruno ni mchumba level zake labda tumlinganishe na mtt wetu wa academy curtis jones au kwa kumpendelea labda Chamberlin.
 
Kuna watu wanadai eti kwa kuwa aliifunga FCB basi aendelee kuwepo na kuenziwa
Anaperform mechi moja tu nyingine zote chali mchezaji wa aina hiyo simtaki mimi nataka aina ya Stevie G alichokifanya 2005 aliendelea kukifanya mpaka anastaafu
Mkuu una hakika na unachokisema!!?hivi unaweza kusema origi mchango wake Ni kuifunga FCB tu!!?Kama hujui mchango wa origi kwa Liverpool napata Shaka na ufuatiliaji wako kwa LFC...itoshe kusema tukipata mchezaji mwenye uwezo zaidi ya origi atasaidia sababu origi sio kila wakati anakuwa vizur Kama back up sahihi Ila mchango wa origi ktk mafanikio ya misimu miwili ya lFC sio kitu cha kubeza hata kidogo...BINAFSI HATA AKIBAKI ORIGI SINA SHIDA.
 
Kwa mzigo unaopigwa na Gini Fabhino Hendo, bruno ni mchumba level zake labda tumlinganishe na mtt wetu wa academy curtis jones au kwa kumpendelea labda Chamberlin.
Hao wote uliowataja unganusha assist zao hawamkaribii Bruno hata robo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom