zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 11,322
- 9,771
Kumbe umekubali position aliyopo Mane? Sasa mbona hawakumpa Player of the Year kama ndo namba 1 kwenye contribution ya Ubingwa na badala yake wakampa Le Captain?Wajina namuona Le capitain ktk top3, yah ingawa bado naamini huyo wa pili alistahili kuwa wa 3 na wa 3 awe wa 2




