Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Front 3 yetu imepungua makali

Ndio mkuu imepungua ila me navyoona kutoka na malengo tuliokuwanayo msimu huu kwenye kuakikisha tunachukua Epl,tulifocus kwenye ushindi tu sio nani amefunga.tulicheza zaidi kitimu,ndio maana mpaka Henderson amekuwa mchezaji bora.

Wengine wameshindwa kuonekana licha ya kufanya vizuri.

Ligi imeisha tumeshinda mechi 32 ushindi.draw 3 lose 3.
 
Ndio nani?

Screenshot_20200727-121719_Chrome.jpg
Screenshot_20200727-121732_Chrome.jpg
 
Hahahahaha Ngwaba alitoa angalizo lakini kuwa ni kikosi chake

Na wewe panga chako mtie Bruno kwenye mbao ndefu au jukwaani kabisa, maana mimi huyu hata jukwaani hawezi kukaa...

Mane Auba Mahrez


Neves Rodri KDB Trent


Soyuncu VVD Laporte



Ederson



Subs:

D. Henderson
Robertson
Aaron
Mings
Chilwel
Ndidi
Cantwely
Madson
Jordan Brien Henderson
Vardy
Stearing

Jahazi langu linaongozwa na Africans

Nina uhakika akija mshabiki wa Chelsea atasema toa Auba ni takataka hiyo halafu watamueka Abraham 😂😂😂

Enewey! Umetuekea kikosi cha Carabao hicho 😁

Umenasa kwenye Mtego mdogo sana yani Le Captaino Henderson umemueka sub? 😂😂
 
Mkuu yani huyo Bruno na Kante waanze mbele ya Fabihno? Aiseeeee hii mm nakuwa tofauti kabisa na wewe, Bruno na Kante wanaweza kuanza mbele ya Keita anayeumwaumwa mara kwa mara lakini si mbele ya mwamba Fabby

Kwa kudefend Kikosi changu ni kwamba Bruno kwenye kikosi changu hachezi position moja na Fabinho, Hapo Fabinho vs Kante ndiyo mjadala sahihi.
Kwamimi Kante yupo ahead of Fabinho.
 
Hahahahaha Ngwaba alitoa angalizo lakini kuwa ni kikosi chake

Na wewe panga chako mtie Bruno kwenye mbao ndefu au jukwaani kabisa, maana mimi huyu hata jukwaani hawezi kukaa...

Mane Auba Mahrez


Neves Rodri KDB Trent


Soyuncu VVD Laporte



Ederson



Subs:

D. Henderson
Robertson
Aaron
Mings
Chilwel
Ndidi
Cantwely
Madson
Jordan Brien Henderson
Vardy
Stearing

Jahazi langu linaongozwa na Africans

Bruno Penaltyndez ni bonge la mchezaji
 
Kwenye Mitandao mengi kuanzia JF, FB, Twitter na Insta ukikuta kikosi basi lazima AUBAMYANG utamuona tu frontline, hii ni kuthibitisha kuwa Auba ni most consistent centre foward in the World since yupo Germany mpaka sasa EPL.

Mimi nilikuwa ni miongoni mwa Watu tuliokuwa tunalialia Klopp amsajili huyu mwamba lakini mwisho wa siku FSG wakapiga U-turn kwenye kutoa Minoti.

Hapo ndiyo wazee post - comments aka "Klopp's type of player" wakaibuka kutoka mafichoni kuwa "Auba si aina ya Wachezaji Klopp anaowahitaji" but at the sametime tuna Minamino anasifiwa ndiye aina ya wachezaji wa Klopp.

Ukweli ni kwamba hakuna Kocha hata mmoja Duniani asiyetaka kufanya kazi na Auba.

Tukiwa na mchezaji aina ya Auba akikutana na Miassists ya TAA na Robbo next season tunaibeba EPL ndani ya Mzunguko wa kwanza.
 
Nina uhakika akija mshabiki wa Chelsea atasema toa Auba ni takataka hiyo halafu watamueka Abraham

Enewey! Umetuekea kikosi cha Carabao hicho

Umenasa kwenye Mtego mdogo sana yani Le Captaino Henderson umemueka sub?
Sasa wewe hujui kama Le capitain ni majeruhi au kusudi????
Angekuwa fit lazma aanze
 
Kwenye Mitandao mengi kuanzia JF, FB, Twitter na Insta ukikuta kikosi basi lazima AUBAMYANG utamuona tu frontline, hii ni kuthibitisha kuwa Auba ni most consistent centre foward in the World since yupo Germany mpaka sasa EPL.

Mimi nilikuwa ni miongoni mwa Watu tuliokuwa tunalialia Klopp amsajili huyu mwamba lakini mwisho wa siku FSG wakapiga U-turn kwenye kutoa Minoti.

Hapo ndiyo wazee post - comments aka "Klopp's type of player" wakaibuka kutoka mafichoni kuwa "Auba si aina ya Wachezaji Klopp anaowahitaji" but at the sametime tuna Minamino anasifiwa ndiye aina ya wachezaji wa Klopp.

Ukweli ni kwamba hakuna Kocha hata mmoja Duniani asiyetaka kufanya kazi na Auba.

Tukiwa na mchezaji aina ya Auba akikutana na Miassists ya TAA na Robbo next season tunaibeba EPL ndani ya Mzunguko wa kwanza.
Mkuu unaonaje mkatupa huyo Jordan Henderson ili tuwape AUBAMEYANG,
 
Kikosi changu cha msimu 19/20

AUBAMEYANG

MANE KDB SALAH

FABINHO KOVACIC

ROBBO VVD SOYUNCU TAA

EDERSON

Substitute
Allison
Laporte
Fernandes
Sterling
Vardy
Chilwell
Pulsic
Henderson
Son
Conor Coady

Formation 4 2 3 1.
 
Another Liverpool legend who leaves the club, because he was absolutely a very, very important part of this team from the first day since I was in," Klopp said.

"When he was fit, he was very, very, very often in the team. A great player and a great person. Really good, in the air a machine, and I really liked working together with him. Said Klopp

Where we are now after departure of Lovren.. 👇👇👇
In addition to Van Dijk, Matip and Gomez, Liverpool currently have Dutch 18-year-olds Ki-Jana Hoever and Sepp van den Berg as options in the position.

YNWA
 
Another Liverpool legend who leaves the club, because he was absolutely a very, very important part of this team from the first day since I was in," Klopp said.

"When he was fit, he was very, very, very often in the team. A great player and a great person. Really good, in the air a machine, and I really liked working together with him. Said Klopp

Where we are now after departure of Lovren.. 👇👇👇
In addition to Van Dijk, Matip and Gomez, Liverpool currently have Dutch 18-year-olds Ki-Jana Hoever and Sepp van den Berg as options in the position.

YNWA

I would be happy if we replace him with the proven CB.

Gomez and Matip are always sidelined due to injuries, and as I see it, next season will be so demanding and tough.

We are going for 2 peat and compete for all that will be available, which is FA, Carabao and UEFA. So we need an upgrade in that area.
 
I would be happy if we replace him with the proven CB.

Gomez and Matip are always sidelined due to injuries, and as I see it, next season will be so demanding and tough.

We are going for 2 peat and compete for all that will be available, which is FA, Carabao and UEFA. So we need an upgrade in that area.
True brother...

Well the rumour mill says we have officially enquired the availability of Kalidou so if that can happen its will be a proper upgrade...

In any way you can't trust Gomez and Matip to give you a full season competing in all the mentioned cups..

Klopp should make this area his priority...

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom