Tatizo lako unamuattack jamaa sijui kwa nini roho yako inakuuma ukiona post zake huongei point kama mwanaume unakuwa kama mwanamkeTatizo lako hujui mpira kaka, unafatisha sana numbers, anord kazi yake ni kukaba, kufunga na assist hizo ni nyongeza tu kwenye kiwango chake, kwenye jukumu lake kama beki kafanya nn???
Usimlaumu sana mkuu jamaa sio rizikiTatizo lako ni muhemko, unatumia hisia zaidi ya akili.
Siwezi kukulaumu, watu wa aina yenu wenye hormones nyingi za upande wa pili ndivyo mlivyo.
Tatizo lako hujui mpira kaka, unafatisha sana numbers, anord kazi yake ni kukaba, kufunga na assist hizo ni nyongeza tu kwenye kiwango chake, kwenye jukumu lake kama beki kafanya nn???
Henderson alitamka wazi kabisa kuwa anajua Mashabiki hatumtakiKwani majadiliano yako wewe hapa yana impact gani kule Anfield??? Acha kuchekesha bro, [emoji23][emoji23][emoji23] ndio hivyohivyo kule Gunners, toka watu waanze kulalamikia wamiliki wamekiwa wabahili wanatakiwa waweke fungu la maana ili kucompete na timu nyingine kubwa kufanya usajili kuna impact gani?
Hapa ni kupiga soga tu, tangu mlivyoanza kumponda Hendorson na kumuita takataka mara kibao lipi lililotokeaa tofauti kwa Klopp?
Sanasana mnajipanikisha na kujijaza chuki zisizo na sababu na kila siku jamaa yupo katika 1st 11 na makombe kabeba yeye akiwa kiongozi[emoji123]
Na mapovu mnaendelea kutoa kama yote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaa na Tunzo kabeba[emoji91][emoji91]
Maisha ni mafupi sana haya, hivyo ni vyema kuepuka kujijaza chuki zisizo na sababu ili kuepuka magonjwa yasiyo ya lazima.
Timu yangu haiwezi kushuka daraja kwa sasa na hata ikishuka nitashuka nayo na kupanda nayo tena, sababu haitokuwa timu ya kwanza kushuka,
COYG[emoji123][emoji123][emoji123]
Sad kiwango chake kilishuka
Liverpool imefungwa magoli mangapi unayoweza kusema ni makosa ya TAA?
Nikwambie kitu kimoja, wewe jamaa uko so inferior kwa mshikaji, jitahidi, maisha hayako hivyo.
Njoo na uchambuzi wako, na siyo ku attack mtu aliyetoa points.
Hakuna aliyekulazimisha umsifu, kizuri chajiuza[emoji23][emoji23]Kama umejaliwa kuwa na roho ya kusifu na kuabudu kila kitu, huyo ni wewe.
Ukimsifu wewe inatosha. Siyo lazima wote tufanye kazi sawa.
Sawa kabisaHapo kwenye kulinda nakuunga mkono
Mquote hapa mkuu,Henderson alitamka wazi kabisa kuwa anajua Mashabiki hatumtaki
Hapo kwenye kulinda nakuunga mkono
Yani mpaka nashangaa! Jamaa tokea nianze kumuona hapa JF basi anaonekana kwenye Posts zangu tu! Humuoni kupost kitu as him, bali anasubiri nipost kitu ndiyo aibuke.
Tena nakumbuka niliwahi kumuignore na mpaka sasahivi yupo kwenye ignore list yangu lakini posts zangu anaziona na kureply! Sijui JF inani.
Dully ni shabik wa LIVERPOOL HALISNadhani ni muda Dullyjr tumpe jezi, maana kaamua kuhamia Liverpool kabisa.
Dully ni shabik wa LIVERPOOL HALIS
Dah, usinikumbushe huo mpunga wa Ozil unaniumiza sanaKuondoka kwa Lovren na Lallana kumenipa faraja sana kwani hapo tumesevu jumla ya £220K per week ambayo ni mishahara yao waliyokuwa wanakula bure kwenye benchi kama Ozil anavyolamba Minoti ya bure ya Arsenal! Hii inanipa moyo kuwa tutasajili msimu huu.
Klopp na Jordan Brian Henderson ndio siri ya mafanikio ya Liverpool.Hapo kwenyekulinda tulishajadili zamani kuwa nje ya mfumo wa Klopp jamaa ataonekana kama Shomari Kapombe tu, hata Mtoto mdogo anajuwa TAA si mkabaji, Lakini hili mimi simlaumu kwasababu TAA katika maisha yake yote ya Academy amekulia kama Defensive Midfielder na sio Fullback.
Amegeuzwa kuwa Fullback baada ya kuumia Clyne na tukawa hatuna mbadala.
Lakini kuhusu mchango wake wa ushambuliaji kama sio huyu dogo basi haya makombe 4 tungeyasikia tu kuwa yapo.
Unaweza kura Assist katoa Salah au Mane lakini building ni ya huyu Dogo.
Barcelona tuliwatoa kwa sababu ya huyu dogo then pongezi zikaenda kwa Captain kuwa ndiye Mchezaji wetu bora.
Sikumbuki kuiona game ambayo TAA na Robbo wapo kwenye kiwango chao tukapoteza game hiyo.
Mkuu kwanini unajificha kwenye kichaka cha Henderson kila siku, Sema tu wazi usione Aibu kwamba Mimi DullyJr nimehamia kwa Mabingwa wa Dunia Liverpool fc it's simple tu.Klopp na Jordan Brian Henderson ndio siri ya mafanikio ya Liverpool.
Hii haina mjadala
Mkuu ule uzi wa Liverpool sio masihara kabisa yaani unahitaji zaidi ya kupaji ku shine pale Anfield...Sad kiwango chake kilishuka
But no way our team has to get the quality it deserves
Bye bye Maestro Lallana
FA tumechukua tunaenda kukamilisha ratiba..Ngao ya jamii ucheze na nani? Ivi unadhani Arsenal atakuwacha wewe?
[emoji23][emoji23]Labda iwe Mars,Mkuu kwanini unajificha kwenye kichaka cha Henderson kila siku, Sema tu wazi usione Aibu kwamba Mimi DullyJr nimehamia kwa Mabingwa wa Dunia Liverpool fc it's simple tu.
Tutakukaribisha vizuri Mkuu.