Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

IMG_8358.jpg
 
Baada ya Invincible ya Arsenal 2003/4 na kumalizika kwa Timu yao Completely 2006 na Arsen Wenger akaanzisha project ya kuwekeza kwa Vijana ambapo alianza kuibuka na kina Welcot, Clichy, OX, Gibs n.k. nadhani unajua kilichotokea mpaka kufikia leo.

Barcelona kizazi cha LAMACIA ni Messi peke yake ndiye aliyejihakikishia Ustaa akiwa Mdogo! Hao kina XAVI, INIESTA, BISQUET, PIQUE walisubiri kina DECO, YAYA TOURE, MARQUEZ, RONALDINHO kuwapokea Wakongwe hao wakiwa tayari wameshapevuka.

Kwahiyo MAKOMBE yanahitaji Watu waliokomaa na siyo Vitoto vya U23
Mmmhhh,

Kwani vijana wenye umri mdogo na ambao wanaweza kupambania mataji hawapo ?
Ukiniambia suala la bajeti sawa, maana kwa mchezaji mwenye umri wa u23 ambaye ameiva mfano Kai Halvert huezi beba kwa pesa ya chumvi kama hiyo ya Thiago, usijifiche katika kichaka cha ukongwe.

Unataka kusema Yaya,Dinho,Decco de souza hawa wote walienda Camp Nou wakiwa wapo 30's yo? Au ukongwe gani unaouzungumzia wewe?
 
mkuu, unaonaje wachezaji rika la wener, harvetz, na wenye uwezo kama huo wakaongezwa walau wawili..... utakua na mashaka kuhusu future yetu?


mimi ninavo elewa unapokua peak ndio wakati wa kuongeza promising talents ili uweze kuwa intergrate na wale ambao umri wao unakimbia!.......


mistakes za wenger, technically hata Saf alifanya hizo hizo misimu yake ya mwisho, matokeo yake tunaona utd wakalazimika kujenga upya timu, same kwa asernal...... na sisi tukitegemea wachezaji wa umri ule wa thiago aisee i'm afraid tutakua hatarini
Timu ya vikongwe ni juve tu
Uwekezaji katika vijana ndio mpango ,wanapata muda wa kunywa maji ya bendera.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom