Siwezi kumkataa na wala sijamkataa, nisome vizuri utanielewa hoja yangu mkuu.Wewe kama LIVERPOOL HALISI unaanzaje kumkataa Henderson?
Kweli kabisa Mfalme wa Liver Chipolopolo hanaga unafki, yeye akiona jambo lipo tofauti lazma atapike nyongo kwa makala zake[emoji38] sisi wadau wa humu tunamwelewa vema,Nimemjibu huyo jamaa anayesema kwamba Ngwaba analalamika hivyo kwa sababu ya kufungwa jana.
Ngwaba hajawahi kukaa kimya akiona mapungufu ya timu, tuwe tumeshinda, draw au kufungwa.
Sina uhakika kama Klopp atafanya usajili wowote mkubwa, sioni akimwondosha Bobby (ambaye kwangu ni garasha kwa sasa).
Binafsi ukiacha Fabinho, kwenye kiungo tuna wakati mgumu sana, sana. Mana Gini, Hendo hawana creativity kabisa, Milner kazeeka, Keita ni injury prone. Sasa kazi hapo ni ngumu.
Ukija kwenye defense, pembeni sina wasiwasi, ingawa Robertson anahitaji backup haraka, Matip majeruhi, Gomez ni mzuri kwenye one on one lakini siyo mzuri kwenye zoning kama Matip, kwa hiyo tunahitaji kuingia sokoni kwa nafasi ya beki wa kati.
Sina uhakika kama kuna kitachofanyika cha maana kwenye usajili ukichukulia mentality ya kocha wetu ya akishamkubali mchezaji hambadilishi mpaka alete majanga mengi.
Next season ni ya City vs Man Utd. Top 4 tutakuwepo.
mkuu mimi nakuelewa sana, nadhani tuliongea hapa mwezi wa 2 kama sikosei kwamba pale mbele panahitajika watu wapya!Jinsi nilivyo ukubali ukweli wa udhaifu wa wachezaji wetu kupitia Namba (Stats) kwa kufanya Comparison between Two last seasons na season hii:
Andy Robertson ukiangalia performance yake msimu huu siye kabisa yule wa kupiga 10+ assists per season! Tumaini letu kwasasa ni TAA pekee! Na kwa wengine kama kina Bobby, Gini pia hawana performance nzuri msimu huu.
Tukikubali weakness zetu, titaweza kufanya Maamuzi na kufanya marekebisho ya kikosi chetu.
But iwapo tutaendelea Mentality za kuwa Salah is irreplaceable, No one like Origi, Milner is a Monster, Bobby is best no 10 in the world football, Timo Werner is not Klopp's type of player, Hakuna mchezaji wa kuweza kupata namba kwenye kikosi cha Liverpool kilichopo, Tupandishe U23 wachukue nafasi!!!! Tujiandae kutafuta visingizio next season.
Kiukweli Bobby ananisikitisha ka-drop ghafla sana
Kiungo kina hali mbaya kinahitaji ukarabati wa haja kunahitajika kiungo mpya mzoefu
Tukiacha stats za mchezaji mmoja mmoja kwa upande flani naamini tuta-challenge tittle up to first 15 games kwa nafasi 1 - 2 tutakuwa humo
City & united? Vipi Chelsea huioni humo?
mkuu hapo hajakukosoa ila kuna msg ameituma...... wenye liverpool yetu tumemwelewa sana!Siwezi kumkataa na wala sijamkataa, nisome vizuri utanielewa hoja yangu mkuu.
Sisi Wengine sio wazuri sana kujenga hoja kwa maandishi kutokana na uvivu wa kutype,
JF wangetuwekea sehemu ya kuweka michango yetu kwa maneno kupitia audio recording kama whatsapp,telegram n.k ili twende sawa[emoji848]
Wewe ndio hujaelewa,Don ameona huo mstari nilioandika kuwa hawana hata nusu ya uwezo wa kina SG,mkuu hapo hajakukosoa ila kuna msg ameituma...... wenye liverpool yetu tumemwelewa sana!
hiyo aya ya mwisho nimecheka sana,..... sawa mkuu a.k.a liver halisi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ndio hujaelewa,Don ameona huo mstari nilioandika kuwa hawana hata nusu ya uwezo wa kina SG,
mimi sijawahi kumponda JH ,mimi namjudge mchezaji kwa uwezo wake na anachochangia uwanjani, tatizo la anti-Hendo wengi wanakosoa kwa kutumia ulinganifu wa uwezo na mtu aliyepita! Na ndio maana nimemsifia JK kwa kuwaprove wrong wengi wenu Le capitaino kamwamini na kaongoza jahazi na chama limepiga mafanikio makubwa...
Alafu acha kusema wewe mwenye Liverpool yako wakati ni Liver Chipolopolo tu, "unajiitaje liverpool wakata hata kuta za Anfield hujawahi gusa" in voice of my bro MosDef [emoji23][emoji23][emoji23]
Halisi hapa.
Weed
Bingwa feki kacharazwa vinne
mimi Man U ila najua katika maisha ukishapata ulichokua unakitafuta basi motivation inaisha kabisa. Liver hawana tena morali ya kukaza kama walivyokua wanakaza mwanzoni mwa msimu sababu ubingwa wameshaupata.Bingwa feki kacharazwa vinne