Chelsea ni master technicians wa haya mavitu hata liva wanalijua iliChelsea ni mtaalamu wa kuwapa Ubingwa watu wakiwa Nyumbani.
Kumbuka alichofanywa Spurs wakati Leicester City wanabeba EPL.


Uo ubingwa utarudi kwetu next season..View attachment 1489009
Chap Chap malizeni kuweka jina letu na mwaka wa ubingwa ni 2019-2020...
The great Reds back to the summit..
YNWA


Ollachuga Oc nikupe taarifa mapema ni kwamba sasa wewe ubingwa labda tena ni 2029 2030....Uo ubingwa utarudi kwetu next season..
CFC![]()
Tunahitaji msaidizi wa Alison Becker zaidi ya Maelezo yaani!Neco William nilisema ndo mbadala wa Alex anord. Lovren lallana shaqiri wakisepa
Elliot Jones minamino na van berg wataziba. Sioni usajili msimu huu
View attachment 1489015
Hahahaha kama vile hawapooooo.... So far tumeshinda game 28, tumedraw 2 na kupoteza 1..just wooow...
Yaliyopita ni
Kwa hiyo ligi ya England ilianza 1992?Kumbe huu ndio ubingwa wa kwanza wa Premier League kwa Liverpool! HONGERENI sana