Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Huyu Neco Williams ni mapema ndio, kwan kila mafanikio si huanza na hiyo mapema?? Huu ubingwa si ulianza ni bado ni mapema??

Neco williams he has potential. My new man.
Maamuzi ya haraka, he like to shot and have that ability to do so.

Stay fit for the next season.
Gomez.
Keita.
Chamberlain.
Matip.

Kisha tumuongeze coutinho na traore tutapata katimu kasicho na majina makubwa ila ukali wake hautaelezeka.
Sioni tukienda for CB & LB.
Neco William nilisema ndo mbadala wa Alex anord. Lovren lallana shaqiri wakisepa
Elliot Jones minamino na van berg wataziba. Sioni usajili msimu huu
 
Good Bado point ngap? Tutangaze uchampion? Wetu?

Bado unahesabu za ubingwa? Mbona tumeshabeba zamani tu bali Corona ilituchelewesha.

Mimi sasahivi nimeshaacha habari za kukaa kwenye TV nikaangalia Liverpool kutafuta ushindi, Ninachoangalia kwasasa ni Performance ya Timu tu na wala sio habari za kuweweseka na ubingwa.
 
Moments
1593105010391.jpg
 
Bado unahesabu za ubingwa? Mbona tumeshabeba zamani tu bali Corona ilituchelewesha.

Mimi sasahivi nimeshaacha habari za kukaa kwenye TV nikaangalia Liverpool kutafuta ushindi, Ninachoangalia kwasasa ni Performance ya Timu tu na wala sio habari za kuweweseka na ubingwa.
Mimi leo niko zangu nafuatilia LIvescore Chelsick Vs Man Shit huku nikiwatakia kila la kheri Chelsick... Yaani wakiwatwanga hawa majamaa au hata wakitoa droo tu....vijana wangu wanatwaa ndoo wakiwa hotelini...

Natamani nimwone msaliti Raheem Sterling anavyoumia anavyowapa vijana ubingwa wakiwa hotelini wanakunywa wine...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom