Penison
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 6,372
- 12,529
Champions league 2005 ,Kwa sababu ndio decade ambapo timu ilipaa anyway hata tukimix na kuanza 21st century bado wanawazidi makombe kwa mbali sana.
Haya liverpool tukitaka kuongelea mafanikio yenu inatupasa tujadili miaka ya 70 na 80 ambapo ndio mlikuwa timu haswaa kabla hamjaporomoka na kuwa mediocre kwa miaka 30 sasa.
UEFA cup 2001
European super cup 2001,2005,
Fa cup 2001,2006
League cup 2001,2003
Haya yalikuwa mafanikio ya miaka 70
