Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Kilichobakia kwa sasa ni kuaccept defeat na kujipanga Kisaikolojia kuwa Ligi inaweza kufutwa muda wowote na kulipokea hilo kwa Mikono miwili
Exactly bro, hii kitu kwa kweli ilikofikia lolote linawezekana.
Very poor timing.