Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Man, hii ishu ni very serious.


nilikuwa najiandaa na league kuwa scrapped, ingeuma sana, especially kisaikolojia, but furaha ya kweli isingekuwepo kutokana na vifo vinavyotokea kila mahali, life is more important, maana majanga hayachagui kwa kuingilia, leo inaweza ikawa kwa ndugu/rafiki/adui yako, kesho ikaja kwako..

Ni kuendelea kuwa makini tu, na kuombeana uzima na usalama wa afya zetu.


i'm glad we will the league kama kawaida but nafurahi zaidi kuona Club ilikuwa tayari kwa outcome yeyote ile kutoka ngazi za juu, as waliamua kujali zaidi afya na usalama wa watu/fans kuliko kitu kingine, very good gesture.


Corona Virus ni very sensitive issue, we need take care of ourselves.

Sent using Jamii Forums mobile app
It's scary disease man, nothing of this magnitude has been seen in recent years..

Well as Klopp said in this kind of scenarios football becomes the less important thing in our daily lives, and what a statement that is..being disease free means more and if cancelling the league to keep our fans and other safe so be its...

To be honest am bit pessimistic for the EPL resuming this May or June man...UK Pm says the country is heading for the worse just like Italy... The rate of spreading or new cases is overwhelming even the best health care like Italy and am sure even UK will have to suffer same route...

Whatever the outcome I stand with club stance, showing life is worth more than anything..

YNWA
 
Summer we should go for an attacking winger, CM, CB and a backup LB/RB..

i dont think Klopp will go for a typical number 9, he will still use Bobby there.

Sent using Jamii Forums mobile app
For the LB have seen some rumours about Ndicka from Franfurt, at 20 still young and fit our plan.. Sijamuona akicheza though but being understudy wa Robbo will do us good in the long term...

With Lovren living and that a must , Gomez and Matip ni mapancha thus makes sense signing another able flexible young dynamic CB whom can play pia VVD or the entire back line... Klopp should do a Fabinho..

Have seen some gossip saying Fabian wa Napoli that we keep our tabs on him...

Well nabbing Havertz, Timo will make us damn competitive...

Most likely our poaching ground this time to get new players will be German, France, Italy... Hapo UK currently we can't get another Mane in that price tag with Manchester City, Chelsea, Manchester United, Arsenal, Spurs rebuilding will raise the prices of local guys there...

Well as long as we get Timo no problem he will produce those goals Bobby don't when he is dropping back to bring the attacks and he is more lethal and accurate..

YNWA
 
2008/09 and 2019/20 combined first team..

Alisson

Trent
Agger
VVD
Aurelio

Fabinho
Alonso
SG

Mane
Salah
Torres


I love Masch, but reason ya kumchagua Fabinho ahead of ni on-ball ability & intellegence (Passing technique, calmness on/off the ball, progressive plays/switches etc)..Masch was more of a monster (kwasasa unaweza kufananisha na DMs kama Casemiro/Fernandinho/Ndidi/Partey etc, aina ya DMs ambao wanafanya dirty works kwaajili ya kuwa-free two attacking Mids mbele yao, Masch had to do all the dirty works for Alonso & SG, ambapo kuna kipindi his lack of progression ilikuwa inaleta tabu kidogo especially SG or Alonso wakiwa na off-day)..

Faby with Alonso & SG under Klopp ingekuwa ni MOTO, but pia Masch+Alonso and SG under Klopp ingekuwa ni MOTO pia..depends na mfumo wa Klopp.


BUT, Faby+Alonso+SG under Benitez isinge-work as Faby siyo type ya Benitez kwa upande wa DMs.

so kama Coach ni Benitez, Faby & Trent watatoka..

kama Coach ni Klopp, Faby na Trent watakuwepo..


kama nikiulizwa mimi kwa maoni yangu, Faby & Trent nitawaweka in place of Masch & Arbeloa..

Alisson for Reina, VVD for Carragher.

Mane for Benayoun, Salah for Kuyt & El nino anabaki kama number 9.

Formation 4231/433, coach ni Jurgen Klopp.

Sent using Jamii Forums mobile app
Allison for Reina, eeeerrrrr debatable!....,,,,, Fab for Masch, maelezo yako yanalogic thou kama Klop sio kocha Fab hawezi kumtoa Masch!...
 
Man, i just hope, Club pia inafatilia his recent atitudes, we MUST give him a good deal, because he deserves it, but lazima club i-manage his atitude.


You know, we know, the Club knows and yeye binafsi anajua kuwa ni the most in-demand CB in the world now, he wont struggle to get in kwenye team yeyote kwasasa duniani, na ni uhakika kuwa simu ya his Agency itakuwa busy sana kupokea/kusikiliza offers za Elite clubs around europe kuhusiana na VVD, so kwa mchezaji wa namna hii, lazima a-struggle kwenye suala la ku-manage his atitude because amechelewa kuwa used na suala la kuwa on top kwenye food chain, kina Ramos/Pique/Silva etc wamekuwepo on top ya food chain tangu wakiwa youngsters, it took VVD 27 years kuingia kwenye food chain ya juu, and mpaka sasa amewapita wote hao interms of individual success/recognation, so lazima aji-feel now, the truth is he's bigger than them, he's viewed as one of the greatest CBs of all time, and his individual accolades are backing that..

We need to restore the order in the team, we had SG, who was bigger than the Club, but hakuwa na hizi atitudes, so VVD can excuse us man, anahitaji kujua his place, i wont cry if he leaves, but surely that will be the end of our good run (lol), so ninachoombea tu ajitambue zaidi, 90% of LFC fans are looking at him kama Leader (new SG), na wanachukua chochote anachosema kama ni sheria vile, hata reaction ya ile interview yake juu ya Adrian, watu waliipokea kwa kumponda Adrian zaidi, but kama angekuwa ni mchezaji mwingine kasema hivyo, kibao chote kingemgeukia (excluding the untouchables Salah/Mane/Fabinho, Trent and Alisson, man kosoa hawa wachezaji and the entire fanbase will come at you, hahahah, Aisee hata mimi lazima nikuvae)


Man, i respect Adrian, he was just another footballer without a single trophy on his name, but he won his first trophy with us, and that was so special, as a human being i was so happy for him & his entire family.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sure Klopp is very good at managing this one on one situation and we just hope for the best that there is way to address his reactions to disappointment.. He is a top top player and fans will react to anything that he say or tweets... Keeping him in his place is utmost for Klopp otherwise its will demean other players morale... Hopefully his great achievement with us in this short time won't cost us rather than more accomplishments to come...he just need to embrace his partners for the better of the club... Nobody is bigger than the club..

New contract for VVD should be on the table now and to be honest without him man we are back to 2016 era, he has made us more solid and compact.. We concede less goals in the league since he joined and as if great Fergie said solid Defence will win you trophies and that a proven statement...

Perhaps as you have said its took him a bit late to join the elite names in the game and this pressure of being counted up there must be getting to his skin, how he manage this and overcome his negative reactions will be crucial to us..

In this current times when there are few VVD out there I just wish that he do remain with us, we have seen how devastating a CB loss can do to team case study Laporte at Manchester City this season, that was a massive loss, hopefully we won't go that route.. VVD has clocked almost any EPL game this season and the results do tell he is damn vital and irreplaceable in the team.. We are lucky to have him and may he continue being us as we reconquer EPL again and again...

Adrian man he even "slept" with the Super cup in his room, being his major big big trophy he won at 32 wow dream come trues... Well he has made mistakes just like any other players do he ain't the first to do.
Adrian is proper blessing rather than a curse, the fans will remember him for the good times..

YNWA
 
Ila Barca na Real Madrid wanatuonea sana aisee , yaani hispanic akiwika tu Anfield wanamkomba Xabi Alonso Real walichukua Suarez Barca walichukua Mascherano nae Barca wakachukua
Kwa sasa labda Real ndio hao kumnyemelea Mane ila Barcelona hawawezi kuna kipengele fulani kinabana na kinaisha June 2021 ndio watakuja mazima tena...

YNWA
 
Man, i just hope, Club pia inafatilia his recent atitudes, we MUST give him a good deal, because he deserves it, but lazima club i-manage his atitude.


You know, we know, the Club knows and yeye binafsi anajua kuwa ni the most in-demand CB in the world now, he wont struggle to get in kwenye team yeyote kwasasa duniani, na ni uhakika kuwa simu ya his Agency itakuwa busy sana kupokea/kusikiliza offers za Elite clubs around europe kuhusiana na VVD, so kwa mchezaji wa namna hii, lazima a-struggle kwenye suala la ku-manage his atitude because amechelewa kuwa used na suala la kuwa on top kwenye food chain, kina Ramos/Pique/Silva etc wamekuwepo on top ya food chain tangu wakiwa youngsters, it took VVD 27 years kuingia kwenye food chain ya juu, and mpaka sasa amewapita wote hao interms of individual success/recognation, so lazima aji-feel now, the truth is he's bigger than them, he's viewed as one of the greatest CBs of all time, and his individual accolades are backing that..

We need to restore the order in the team, we had SG, who was bigger than the Club, but hakuwa na hizi atitudes, so VVD can excuse us man, anahitaji kujua his place, i wont cry if he leaves, but surely that will be the end of our good run (lol), so ninachoombea tu ajitambue zaidi, 90% of LFC fans are looking at him kama Leader (new SG), na wanachukua chochote anachosema kama ni sheria vile, hata reaction ya ile interview yake juu ya Adrian, watu waliipokea kwa kumponda Adrian zaidi, but kama angekuwa ni mchezaji mwingine kasema hivyo, kibao chote kingemgeukia (excluding the untouchables Salah/Mane/Fabinho, Trent and Alisson, man kosoa hawa wachezaji and the entire fanbase will come at you, hahahah, Aisee hata mimi lazima nikuvae)


Man, i respect Adrian, he was just another footballer without a single trophy on his name, but he won his first trophy with us, and that was so special, as a human being i was so happy for him & his entire family.

Sent using Jamii Forums mobile app
@MosDef ni mtu na nusu

Congratulation Bro , unajua sana Ku explain kitu
 
Klopp used Coutinho as an inside winger (false 10) in a 442/4231 formations.


Then akambadilisha na kuwa LCM alipohamia kwenye 433, as an 8 (creating/moving the ball from wide areas)..na ndiyo sababu kubwa ya Barca's board kumnunua as waliona atakuwa perfect Iniesta replacement. but Valverde had another plans.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana MosDef umenielezea vizuri sana
 
Allison for Reina, eeeerrrrr debatable!....,,,,, Fab for Masch, maelezo yako yanalogic thou kama Klop sio kocha Fab hawezi kumtoa Masch!...
Fab hawezi chukua namba kwa yule muhuni Masch
 
Kweli nasikia kuna kipengere mliwawekea

Kikiisha watawajia kwa fujo
Bwana wee wabaki huko huko na mihela yao sisi tuna uchu na mataji kwa sasa kurudisha heshima yetu mazima...

Hata hivyo kila mchezaji ana bei yake kwa sasa wakihitaji kununua kabla ya mazungumzo nadhani wanaweka mezani £70m + release clause ya mchezaji husika.. Kuanzia June 2021 kina expire..

YNWA
 
IMG_8049.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Dominating Europe?? This shitty fan should be reminded.......
ES3LfL4U4AIau0b.jpg


Btw why would Sterling go back to LFC? City wapo UCL huku Liver katoka, Man City imedominate ligi back to back na ina kikombe msimu huu pia.

Muache kutafuta kiki, Sterling is in a far better place. Liver timu average sana sema mnaona kma ni world class team eti sterling aitamani!!?

To hell
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom