Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hii uefa kuahirishwa kwake ndio kutakatotuharibia sisi timu wapenda haki. Ilitakiwa ligi ifutwe tu tuanze upya!
 
IMG_7995.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hii uefa kuahirishwa kwake ndio kutakatotuharibia sisi timu wapenda haki. Ilitakiwa ligi ifutwe tu tuanze upya!

Pole sana!
Najuwa maneno haya ↓↓ Hukuyapenda hata kidogo lakini ndiyo wenye Ligi washaamua.

"Are committed to finding ways of resuming the 2019/20 football season as soon as it is safe and possible to do so"

 
Liverpool should do all they can to ensure Sadio Mane remains at the club this summer but could afford to lose Mohamed Salah, according to Don Hutchison - who says he would swap the Egyptian for Jadon Sancho.
 
Mashabiki wa Liverpool naombeni mnisaidie ,eti klopp alimtumia Coutinho sana nafas gani na namba ngapi ?

Katika 4-3-3
 
Hapa ni baada ya Rivals kuona EPL haijafutwa kama walivyokuwa wanalialia kuwa Ligi ifutwe

View attachment 1393797
Habari yako Mfalme ngwaba

Naomba nisaidie Cou10 alipokuwa Liverpool ametumika kama namba ngapi na nafas gani , na ni nafasi ipi alileta sana impact , nipo kijiweni kuna watu wanadanganyana , nataka wana Liverpool mnijulishe kiundani zaidi
 
Mashabiki wa Liverpool naombeni mnisaidie ,eti klopp alimtumia Coutinho sana nafas gani na namba ngapi ?

Katika 4-3-3
Nakumbuka continho alikuwa anatokea pemben kipind lallana yuko fresh lkn pia kipind ambacho firminho alikuwa kama no10, baad ya lallana kuwa floper countinho alikuwa anatumika kama number10 mbele ya emre can na hendo
 
Nakumbuka continho alikuwa anatokea pemben kipind lallana yuko fresh lkn pia kipind ambacho firminho alikuwa kama no10, baad ya lallana kuwa floper countinho alikuwa anatumika kama number10 mbele ya emre can na hendo
Asante , vipi kutumika kama namba 8

Maana klopp aliwahi kusema huyu ni typical no.10 ,ila ni mzuri sana akicheza kama great no.8



Klopp explained that he was used as a No. 10 “relatively rarely,” and instead focused on how “he can play [as] a great No. 8 and a really great left winger,” because he is “strong in small spaces, but also fast enough for large spaces.”

“[He has] an outstanding eye for the situation,” he continued.

“Not since Alessandro del Piero have I seen any [player] who finishes moves from the left to the inside with the same frequency [as Coutinho].”
 
UEFA are winners kwenye hii crisis ya Corona, football wise..

they've agree to move Euros mpaka next year, ili kupisha leagues za ndani (around europe) kumalizika kwa nafasi..

but, moving the dates, kumekuja na costs, Clubs (around europe), will have to pay them millions kwa wao kui-move competition mpaka 2021 ili tu kupisha leagues..

at one point, clubs nyingine zilikubaliana ku-push dates mpaka early April/kucheza behind doors ili kwenda sawa na tarehe za Euros, but Corona imeonekana kuendelea kuwa tishio zaidi nchi za Ulaya, so kwa mfano kwa EPL kuamua kui-move league mpaka April 30, ambapo kuna games zaidi ya 90 zimebaki, inamaanisha kuwa league itaisha/kamilika June, same kwa UEFA champions league as nayo itakuwa ina-move kulingana na dates za leagues zote zinazoshiriki CL.

Yes, UEFA watapata profit nzuri, but again clubs (especially PL clubs), had to take risks, suala la kukatiza league, either kwa kuipa LFC trophy or ku-declare void, isingewezekana as smaller clubs zingekuwa affected sana kwenye ishu za TV money (rights), na pia Clubs kubwa zingepata hasara kwenye ku-pay off Tv moneys kwa broadcasters around the globe kwa kukatisha matangazo (under thr licence of Premier league corporate)..meaning PL broadcasters (ESPN/NBC/Mult-Choice/ITV-Uk/Skysports etc) zingedai the remaining rights kwa kukatisha matangazo, ambayo yangepelekea kuharibu mikataba ya sponsers kwa msimu husika, so chain ya pesa ni kubwa sana..

so, kwa club yetu, ingekuwa ni worse zaidi, as msimu huu tunategemea zaidi pesa ya PL, TV money & merchandises ili ku-complete our financial year as tumetolewa CL/FA na EFL, so source ya pesa kubwa sana this season ni TV money, which will be huge kwasababu ya our popularity this season, so season ingekuwa scrapped, sidhani kama tungefanya big signings, (well even now, tunategemea ku-generate money kutoka kwa kina Origi, Shaqiri, Grujic, Wilson, Lovren etc ili kuweza kununua the likes of Werner)...so imagine kama season ingekuwa scrapped..


Then, clubs will pay-off UEFA kwa hili, but pia kusogeza league mpaka june, it means kuna players ambao mikataba yao inaisha may (at LFC, kuna kina Lallana, Clyne etc), so kwa kusogezwa league mbele, it means they will stay mpaka league itakapoisha, as Lallana is eligible for PL medal (kacheza mechi si chini ya Tano)..so he'll be getting an extra cheque kabla ya kuondoka in June (he's on 130k+)..so we'll be forced to close our books on early July, and kuanza upya..


Chaos.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sio Liverpool lakini nakumbuka alicheza kama attacking midfielder wa kushoto kwenye 4-3-3 au attacking midfielder wa katikati kwenye 4-2-3-1
Huyu Attacking mid wa kushoto ni namba ngapi kwenye 4-3-3 ni no.8 au no.10 ?

Naomba nisaidie
 
Curse Corona kuingilia msimu wetu..

Nwa fellow Kops tuwe tunajazana any info kutuweka kubaki salama...


My fellow reds and visitors some shocking news coming from Italy... Well its most likely that some human beings are now corona carriers meaning they test positive and yet they don't show any sign whatsoever, well this is shocking news maana certain village in Italy among 3,000 people tested some 6 people results showed they were carriers thus they were spreading the deadly virus bila kujijua ni wagonjwa...

That some really shocking news..

As per all the advice we have been getting just don't trust anyone out there just because he or she ain't coughing nk.. Let's adhere to proper hygiene washing our hands for at least 1 minutes with running water and soap, keep at least 1 meter distance when in public places... Don't get tempted to touch your eyes, mouth or nose...

Now shinda ni your phones, laptops nk maana hizo zina sahaulika mno, unakuta simu ipo mfukoni, mara kwenye meza na kwingine ambapo hiki kirusi kinaweza kuishi, hivyo simu nayo itakua kwenye hatari ya kusambaza hiki kirusi, jiulize simu yako kwa siku unakua nayo muda gani, unanawa huku simu haijafutwa..

Simu msitumie hand sanitizers ama spirits kuziosha ni hatari kuua display na sensors, kila simu hua wanatoa ushauri namna ya kuifanyia usafi, hivyo mzingatie hayo.

YNWA
 
UEFA are winners kwenye hii crisis ya Corona, football wise..

they've agree to move Euros mpaka next year, ili kupisha leagues za ndani (around europe) kumalizika kwa nafasi..

but, moving the dates, kumekuja na costs, Clubs (around europe), will have to pay them millions kwa wao kui-move competition mpaka 2021 ili tu kupisha leagues..

at one point, clubs nyingine zilikubaliana ku-push dates mpaka early April/kucheza behind doors ili kwenda sawa na tarehe za Euros, but Corona imeonekana kuendelea kuwa tishio zaidi nchi za Ulaya, so kwa mfano kwa EPL kuamua kui-move league mpaka April 30, ambapo kuna games zaidi ya 90 zimebaki, inamaanisha kuwa league itaisha/kamilika June, same kwa UEFA champions league as nayo itakuwa ina-move kulingana na dates za leagues zote zinazoshiriki CL.

Yes, UEFA watapata profit nzuri, but again clubs (especially PL clubs), had to take risks, suala la kukatiza league, either kwa kuipa LFC trophy or ku-declare void, isingewezekana as smaller clubs zingekuwa affected sana kwenye ishu za TV money (rights), na pia Clubs kubwa zingepata hasara kwenye ku-pay off Tv moneys kwa broadcasters around the globe kwa kukatisha matangazo (under thr licence of Premier league corporate)..meaning PL broadcasters (ESPN/NBC/Mult-Choice/ITV-Uk/Skysports etc) zingedai the remaining rights kwa kukatisha matangazo, ambayo yangepelekea kuharibu mikataba ya sponsers kwa msimu husika, so chain ya pesa ni kubwa sana..

so, kwa club yetu, ingekuwa ni worse zaidi, as msimu huu tunategemea zaidi pesa ya PL, TV money & merchandises ili ku-complete our financial year as tumetolewa CL/FA na EFL, so source ya pesa kubwa sana this season ni TV money, which will be huge kwasababu ya our popularity this season, so season ingekuwa scrapped, sidhani kama tungefanya big signings, (well even now, tunategemea ku-generate money kutoka kwa kina Origi, Shaqiri, Grujic, Wilson, Lovren etc ili kuweza kununua the likes of Werner)...so imagine kama season ingekuwa scrapped..


Then, clubs will pay-off UEFA kwa hili, but pia kusogeza league mpaka june, it means kuna players ambao mikataba yao inaisha may (at LFC, kuna kina Lallana, Clyne etc), so kwa kusogezwa league mbele, it means they will stay mpaka league itakapoisha, as Lallana is eligible for PL medal (kacheza mechi si chini ya Tano)..so he'll be getting an extra cheque kabla ya kuondoka in June (he's on 130k+)..so we'll be forced to close our books on early July, and kuanza upya..


Chaos.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hey dude hope you are fine...

Suspending the season is already sending jitters all over especially mpaka supporting workers..

Players nao especially EFL I don't think they can pay the salaries tena if the league don't resume come end April...

So mathematically small teams will continue to feel the heat of this season if its doesn't get better...

Refunding pesa ya pesa TV even for a big club like Liverpool will be catastrophic in any way... We need the season to finish whether its through live streaming when games are played behind closed day or whatevers...

Well to be honest if the situation can't be contained I can see a very bad end to the target we are dreaming to sign... And now even when things are this confused Real are damn courting Mane as the next galatico...

Hopefully NHS can contain this damn weird virus and the football can at last be played...

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom