Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mwenye bahati habaatishi hili la liver n wape pole tuu na msimu ujao unavyoonekana utakuwa mgumu niwape pole Majogoo wa sokoni Yan n kuliwa tuu

Jogoo limekupanda msimu huu, limekupanda msimu uliopita. Acha msimu ujao lipumzike kukupanda, maana huna utamu tena. Linaacha wengine nao wakule.
 
Just imagine wachezaji tuliokuwa tunawaita mentality monsters, wamepigana wakiwa na Uhakika wa kutimiza ndoto ya miaka 30, then unawaambia juhudi zenu ni useless.. Yani Sisi ndio tutakuwa timu isiyokuwa na hari kuliko zote kama option ya kufuta msimu itakuwepo
Nyie liverkuku mna gundu mkaoge bahari ya hindi, alhamisi wakuu wa FA/Club wanakutana kupiga kura mapendekezo kadhaa either ligi ifutwe pasiwe na bingwa au nini kifanyike, sasa mnafikiri kwenye kura si jogoo atachinjwa nani anawataka ninyi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie liverkuku mna gundu mkaoge bahari ya hindi, alhamisi wakuu wa FA/Club wanakutana kupiga kura mapendekezo kadhaa either ligi ifutwe pasiwe na bingwa au nini kifanyike, sasa mnafikiri kwenye kura si jogoo atachinjwa nani anawataka ninyi?

Sent using Jamii Forums mobile app


Hapo jogoo lazima aliwe sema ndo hatujaamua tumle Kama supu, tumkaange na mafuta yake mwenyewe au ya kitimoto au numuunge na Nazi tumle usiku na wali.

Ndo najiuliza
 
Yesterday I saw Manure Fanboy n he told me the FA must declare EPL null and void! Si ninajuwa kuwa jamaa ni Fan wa Simba SC kuna Fanboy wa Vyura FC akamwambia VPL must be cancelled and next season tuanze upya!
Ah jamaa wa Manure alitaka kupigana huyo 😀😀
Anasema Ligi lazima iendelee ili Simba awe bingwa kwani Simba yupo karibu na kutwaa ubingwa 😀😀

But at the sametime mshabiki huyu anaetaka Ligi ya Tanzania iendelee ili Simba awe bingwa! Ndiye huyuhuyu anayetaka EPL ifutwe kwasababu ya Corona 😀😀

Ujinga ni kitu kibaya sana!
 
Yesterday I saw Manure Fanboy n he told me the FA must declare EPL null and void! Si ninajuwa kuwa jamaa ni Fan wa Simba SC kuna Fanboy wa Vyura FC akamwambia VPL must be cancelled and next season tuanze upya!
Ah jamaa wa Manure alitaka kupigana huyo 😀😀
Anasema Ligi lazima iendelee ili Simba awe bingwa kwani Simba yupo karibu na kutwaa ubingwa 😀😀

But at the sametime mshabiki huyu anaetaka Ligi ya Tanzania iendelee ili Simba awe bingwa! Ndiye huyuhuyu anayetaka EPL ifutwe kwasababu ya Corona 😀😀

Ujinga ni kitu kibaya sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Arsenal wanataka Ligi ifutwe kabisa
Arsenal wanataka Wacheze UEFA next season kwa position ya msimu uliopita.

Hapo ndiyo kituko cha Arsenal Fanboys kinapoanzia.

Umeona wapi kusiwepo na Ligi lakini kuwe na UEFA?

UEFA si wajinga kiasi hicho! Unadhani hao Manure wanaoshabikia Ligi ifutwe wakija wakiioona Arsenal inacheza Uefa wakati Ligi haikumaliza watakubali? Watakata Rufaa FIFA.
Sheffield na Spurs pia hawatokubali kwani Watalalamika Ligi haikuisha na Nafasi walikuwanayo ya kuweza kupambania kucheza Uefa.

Kiufupi Ligi ikufutwa Mataifa yote yaliyokamilisha Ligi zao basi watacheza CL na Uropa lakini Timu za EPL hazotoshiriki michuano ya UCL wala Uropa kwa msimu unaokuja.

Sote tutaungana na Man City kutumikia Ban
mbona kama povu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yesterday I saw Manure Fanboy n he told me the FA must declare EPL null and void! Si ninajuwa kuwa jamaa ni Fan wa Simba SC kuna Fanboy wa Vyura FC akamwambia VPL must be cancelled and next season tuanze upya!
Ah jamaa wa Manure alitaka kupigana huyo 😀😀
Anasema Ligi lazima iendelee ili Simba awe bingwa kwani Simba yupo karibu na kutwaa ubingwa 😀😀

But at the sametime mshabiki huyu anaetaka Ligi ya Tanzania iendelee ili Simba awe bingwa! Ndiye huyuhuyu anayetaka EPL ifutwe kwasababu ya Corona 😀😀

Ujinga ni kitu kibaya sana!
huku bongo hakuna Corona mzee, taja hapa kocha au mchezaji wa kibongo mwenye Corona????

ila EPL ifutwe tu maana wachezaji na makocha wanayo Corona,
haha


Sent using Jamii Forums mobile app
 
huu ni ushabiki tu mzee na utani wa hapa na pale ila kiuhalisia yawapasa mpewe kombe lenu hakika hiyo wala haina ubishi,
.
Na hongereni kwa kukaribia kuchukua hili taji kwa mara ya kwanza tangu lianzishwe....

Sent using Jamii Forums mobile app

Shukrani bro, mimi nakwelewa mwana HALISI, sina wasiwasi na u-HALISI wako kabisa.

Ushabiki bila utani hainogi.
 
huu ni ushabiki tu mzee na utani wa hapa na pale ila kiuhalisia yawapasa mpewe kombe lenu hakika hiyo wala haina ubishi,
.
Na hongereni kwa kukaribia kuchukua hili taji kwa mara ya kwanza tangu lianzishwe....

Sent using Jamii Forums mobile app
"Mara ya kwanza tangu lianzishwe." - hapa unamaanisha nini? Sema mara ya kwanza tangu libadilishwe jina sio lianzishwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Origin ya neno Povu ni msamiati wa watu wa aina flani kudhoofisha wengine pale wanapoona post wasiyoweza kuijibu kwa kutumia hoja. 😀😀

Eneywey Ligi isipofutwa sijui Arsenal Fans mutakimbilia wapi coz hata Uropa msimu ujao hamitocheza 😀
sasa kwa maneno yako ya khanga yale hata kama unatumia akili ya kawaida tu yanahitaji hoja gani kujibu?

sasa kama ligi isipofutwa inamaana mechi zitaendelea kuchezwa,sasa kwa kuangalia tu msimamo ulivyo una haja gani ya kuandika hicho ulichoandika?maana mkanganyiko haupo katika nafasi ya kwanza/anayeongoza ligi,kwasababu kawaacha mbali sana wale wanaomfata nyuma,mkanganyiko upo katika timu zilizopo katika nafasi za kati na zille ambazo zipo katika ukanda wa kushuka daraja maana lolote laweza kutokea.....na hilo limekuja kwasababu hawajaachana kwa alama nyingi kila mmoja anaweza kumfikia mwingine,

chukua table ya ligi tuliza kichwa na uiangalie kwa makini uone kama Arsenal haina nafasi hiyo unayosema .....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom