DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
kisicho riziki hakiliki.kama hil swala la kuiskip hii EPL2019/2020 litafanikiwa basi hii itakuwa ni dhambi hata kwa mungu na yatakuwa maamuzi magumu sanaa.lkn pia hili litapelekea matatizo kwa baadhi ya fan wa lfc na binafsi mimi kama mimi litanidestroy hata mentality ya kuifuatilia EPL kwa morali,maana itakuwa haina maana kama tumefikia ndoto yetu within a 30 yr afuu uje utuletee hoja nyepec kbs .
Kwann isiwe UEFA,LA LIGA,SERIE A,LEAGUE 1???
Sent using Jamii Forums mobile app

