Liverpool FC (The Reds) | Special Thread


Of course sina shida na Adrian kwa game ya Jana coz nilikwisha uona uwezo wake since mwanzo wa msimu that's why ninakosoa kiujumla na sio only one game.

But hiyo paragraph yako ya mwisho [emoji120] [emoji120][emoji120][emoji120]
 

KLAPP IS A SORE LOSER!!! He should say that again without crying 😢
 
Of course sina shida na Adrian kwa game ya Jana coz nilikwisha uona uwezo wake since mwanzo wa msimu that's why ninakosoa kiujumla na sio only one game.

But hiyo paragraph yako ya mwisho [emoji120] [emoji120][emoji120][emoji120]
hivi nyinyi watu kwanini mna roho mbaya na ya uonevu kiasi hicho???
kwanini mnapenda kuwaangushia watu jumba bovu ilimradi kulinda muwapendao?
magoli yote matatu ni uzembe wa mabeki wakiongozwa na untouchable VVD jamaa limeflop limebakia nywele tu, yaani afadhali ya Said Juma Makapu...
magoli yote mfungaji anapiga katika msitu wa mabeki, mabeki watatu wanageuzwa kama bigmachapati anavyogeuza chapati zake.
poor you loser

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Allison hakwenda likizo yeye alikua anajifua.
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…