Happycuit
JF-Expert Member
- Aug 18, 2013
- 646
- 542
livapunga kafaWewe umezaliwa kwenye mbio za mwenge? Mbona lugha ya wakeshao kwenye mwenge!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
livapunga kafaWewe umezaliwa kwenye mbio za mwenge? Mbona lugha ya wakeshao kwenye mwenge!!?
tulia uingizwe sindanoWewe umezaliwa kwenye mbio za mwenge? Mbona lugha ya wakeshao kwenye mwenge!!?
muddy kisamvu?OOOH KLOP YUPO KAONEKANA BUZA KASHIKA CHUPI INASEMEKANA ALIKUWA GHETTO KWA MUDY
Sent using Jamii Forums mobile app
utabiri mujarabuWewe umezaliwa kwenye mbio za mwenge? Mbona lugha ya wakeshao kwenye mwenge!!?
Kaa kimya kwa hisani ya cholloWewe umezaliwa kwenye mbio za mwenge? Mbona lugha ya wakeshao kwenye mwenge!!?
Nimeielewa ile kauli ya Ngwaba kwamba Karius ni bora kuliko adrian
ongea tu Kiswahili mkuu unajua asaivi GINI anajuta why alishangilia goal lake!We gave away the game cheaply
Leading 2-0, and keeper making hush decisions
Maybe we deserve to be out
Hofu kuu ipo kwa kipa huyu jamaa simwamini kabisa basi tu kwa vile hakuna namna.
mngefunga Goals 5 asingekuwa na lawama mkaka wa watuNimeielewa ile kauli ya Ngwaba kwamba Karius ni bora kuliko adrian
kumbe mlichuku Europa ?Nilisema mara nyingi sana maneno haya lakini nilipingwa kwa kigezo cha kuwa Adrian katupatia Uropa.
Yani hii Criteria ya kupima uwezo wa mchezaji kwasababu tu Timu imeshinda Kombe utadhani huyo mchezaji hilo kombe alikwenda pekeyake uwanjani na kulileta Klabuni imewamislead wengi sana.