Ni wakati wa kuipa Liverpool heshima nyingi wanazostahiki kwa uwezo wao wa msimu huu, huku tukisubiri kuona rekodi zinazovunjwa na kuweka rekodi zao kila wikiendi.
Wana Liverpool tanzania nzima tumeamua kufanya sherehe shangwe na nderemo kusherehekea ubingwa huu wa kihistoria hasa pale tutakapo vunja vunja record zote zawapinzani Wetu
Shime wana Liverpool kuazimia kwa pamoja kufanya sherehe hizi kilele chake zitakua sanjari na Siku ya kukabidhiwa kombe LA, EPL
Sherehe hiz kilele chake zitafanyika jijini dar resalam
Wilaya ya kinondoni Kijitonyama kwenye uwanja wa wazi
Sehemu ambayo itapambwa na mabendera na mapicha ya Liverpool pamoja na kuwapandisha stejini wasanii kadha wakadha ambao ni makop wenzetu Tanzania nzima
kula na kunywa kwapamoja
Tukio ambalo litatanguliwa uchangiaji wa damu salama
Kutembelea magereza kwandugu zetu
Kutoa misaada kwa vituo vya watoto mayatima
Kufanya kazi zakijamii nakadhalika
Hakika itakua nisiku ya shamra shamra kwa wana Liverpool wote
Tupo tunapambana kujua na kufanya mikoa yote ya Tanzania
Lengo nikuboresha udugu mshikamano na kuitangaza TANZANIA NA LIVERPOOL KWA UJUMLA
YNWA
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Kop ambaye yupo tayari kuunga na Sisi katika kuadhimisha tukio hili la Kihistoria. Anicheki PM ili nimpe link ya group la Whatsapp ili tukashirikieni namna ya kuweza kufanikisha hili tukio.
NB: Week end hii tutaendelea na kikao na vile vile kuna Kop mwenzetu anaanda Proposal ataiwasilisha week end hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikua nawaona ila nilikua siwazingatii ila baada ya kutajwa tajwa humu nikawazingatia hizi mechi za jana na juzi.Kiongozi nikuulize kaswali flani hivi! Maelezo yako ya performance ya Timo Werner yanatokana na kumuona kwenye game ya Jana tu?
Coz hata Messi kama kama utamfanyia tathmini kwenye game ya Anfield tuliyowalamba Barca goli 4 unaweza sema ni Molinga aliyekosa Kimo. Lakini uhalisia ni kwamba hata Shetani wanamuogopa awapo uwanjani.
Ha ha haaa mara nyingi ukipata cha kushiba unatamani na cha kubakisha.
Mtakaribisha mamlukiMkuu mimi nimeshindwa ku copy ile link ningeweka hapa kwa jukwaa watu waione hapa na ku join
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtakaribisha mamluki
Upongeze na tutakapochukua kwa mara ya 7 tena
Ubingwa wa kihistoria.Ni wakati wa kuipa Liverpool heshima nyingi wanazostahiki kwa uwezo wao wa msimu huu, huku tukisubiri kuona rekodi zinazovunjwa na kuweka rekodi zao kila wikiendi.
Wana Liverpool tanzania nzima tumeamua kufanya sherehe shangwe na nderemo kusherehekea ubingwa huu wa kihistoria hasa pale tutakapo vunja vunja record zote zawapinzani Wetu
Shime wana Liverpool kuazimia kwa pamoja kufanya sherehe hizi kilele chake zitakua sanjari na Siku ya kukabidhiwa kombe LA, EPL
Sherehe hiz kilele chake zitafanyika jijini dar resalam
Wilaya ya kinondoni Kijitonyama kwenye uwanja wa wazi
Sehemu ambayo itapambwa na mabendera na mapicha ya Liverpool pamoja na kuwapandisha stejini wasanii kadha wakadha ambao ni makop wenzetu Tanzania nzima
kula na kunywa kwapamoja
Tukio ambalo litatanguliwa uchangiaji wa damu salama
Kutembelea magereza kwandugu zetu
Kutoa misaada kwa vituo vya watoto mayatima
Kufanya kazi zakijamii nakadhalika
Hakika itakua nisiku ya shamra shamra kwa wana Liverpool wote
Tupo tunapambana kujua na kufanya mikoa yote ya Tanzania
Lengo nikuboresha udugu mshikamano na kuitangaza TANZANIA NA LIVERPOOL KWA UJUMLA
YNWA
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tusubiri atue June 2020 aisee baada ya hapo utamuona zaidi kipi anatuletea klabuni...Kuhusu Timo hamzidi yeyote pale Liverpool labda kukaa kwenye njia za magoli anamzidi Salah lakini kupambania mpira Salah yupo juu sana kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa Mkuu kukosa single shot on target sio jambo rahisi lazima wajiulize maswali...Yaani ukiwaangalia after game ya Atletico unawaona kabisa hata wao hawakuridhika kabisa, ukiachana na mpira kuwa ni game of mistakes bado sijaona kama Atletico ni tishio
Ngoja tuone hii game ya ligi jumatatu hali za wachezaji wetu zitakuaje
Kinachotubeba Liverpool ni mfumo sio wachezaji ki vile hivyo Halland naona Kwa mfumo wetu angelost kabisaaa...Mimi naamini Sancho akisimama nafasi ya Salah Liverpool anapata matokeo mazuri zaidi ya anayo pata Salah.
Ukimuweka Salah kule angepata pungufu ya alichopata Sancho pale kwa mtazamo wangu.
Unaonaje kama tungekua na Haland magoli ya yangeongezeka au la
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtakaribisha mamluki
Jibu ni you can't join via this link because it was revokedWakuu kwa wale watakaopenda kujiunga na Kops wengine akina Manyanza Kule Kinondoni link hiyo hapo [emoji116]
Sent using Jamii Forums mobile app
Cylinder zote watazing'oa pale AnfieldNilijua mechi ya tketico itakuwa ngumu sana kwa Klopp
Imekuja kuwa mechi rahisi mno zaidi hata nilivyo fikiri
1-0 kwako huwezi fuzu ukimpiga Liverpool huyu
1-0 wkt cylinders zote 3 za mbele zilikuwa hazichomi na hawana uwezo wa kuzuia zisichomi Anfield
Prediction:Liverpool 4 Atletic1
Hilo ni wazo zuri , hasa kusaidia jamii kwa kutoa damu,Mungu awabarikiMamluki watafanya nini? Wakaribie Kinondoni tukashiriki na kutoa Damu hakuna shida, [emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikua nawaona ila nilikua siwazingatii ila baada ya kutajwa tajwa humu nikawazingatia hizi mechi za jana na juzi.
Mchezaji akiwa na kipaji hata mpira ukimkataa siku hiyo utajua tu kama huyu kunakitu anakusudia ila kinagoma.
Kwa mimi nilivyo muona ni mtu anaejua mpira unatakaje na kuufanyia kazi ila kipaji hana.
Kwa pale Liver hamuweki benchi yoyote labda kwenye sub ata anaza yeye kabla ya Origi
Sent using Jamii Forums mobile app