Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

22 points lol even under the great Fergie such difference was a dream...

Even us under Paisley we never had this hype with winning points and records every other day...

Now my target is Guard of Honor at Ethad can't wait to see Sterling face, Walker and Pep lol...

YNWA
Hongereni Mabingwa wa EPL baada ya miaka 30

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bro, mimi binafsi nampenda Salah kwa alichokifanya na anachokifanya Liverpool.

Swali rahisi ni moja, kwamba kama ukimwondoa Salah na usinunue mchezaji mwingine kumreplace, utumie waliopo, je tutaikosa top 4?

Lazima tuwemo mkuu
Kabla ya salah tulikuwa na shida ya mabeki na sio striker, salah is world class because of liverpool, vice versa is equal or not true

But kwa jins tulivyo sahv hatutegemei mchezaji moja, tunategemea system, ni kama Enz Ronaldo anaondoka Man U, Man U haikuyumba kwasababu ilikuwa ni system na sii mchezaji, bali mchezaji mzri akikaa kwenye system nzuri ataonekana ni mzri maradufu
 
IMG_7619.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hata Big 6 hatumo kaka hilo I bet big time...

Magoli ya Salah sio tu anafunga mbali magoli yake yanaongoza kwenye EPL kushinda pointi ndugu...

Bila Salah I predict our downfall in a very high rate...

Kumwondoa Salah kwa kipi haswa wakati Klopp tells the boys go and express your self.. That why they relish playing for Klopp..Salah play the way he goes sababu that his way of playing and the manager is okay with that sijamsikia wala kusoma mahala akilalamika...

YNWA

Sio mkuu, kumbuka salah kaja kakuta tumo champions ligi bila ya vvd nusu msimu, lalana, lovren beki, mignolet golini, na akina moreno
System ndo inayotubeba na kila mchezaji kuwa mkali kwa upande wake


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
When I look at this Pharaoh doing what's he does week in week out I definitely agree Klopp is a soccer genius..

Not really sure in his absence who will step up and bring 20goals+ per season in the current squad...

VVD man he is the engine of this club.. He has played every minutes of the EPL this season and the man rarely get lost.. Been superb..

Have seen Juventus aiming to get him for £150m come June..

YNWA

Kipindi cha akina mane coutinho hakukuwa na top scorer, kila mtu alikuwa mfungaji


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Imagine having Steve and Surez in today's line up..

Surez as our 9 and either wing we have Mane and Salah in there..

Firmino as our 10...

Lol if wishes were horses man...

YNWA

Yawezekana tungekuwa nao wasingekuwa wakali, au gerrad asingekuwa mkali to be clear
System ya Klop ni kupitia pemben na kuplace, ndo maana enz za Lodgers kwa mpira wa kupress SG alikuwa normal
But suarez 85% angefit


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
22 points lol even under the great Fergie such difference was a dream...

Even us under Paisley we never had this hype with winning points and records every other day...

Now my target is Guard of Honor at Ethad can't wait to see Sterling face, Walker and Pep lol...

YNWA
Its just impossible if you think about it


Lol

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yawezekana tungekuwa nao wasingekuwa wakali, au gerrad asingekuwa mkali to be clear
System ya Klop ni kupitia pemben na kuplace, ndo maana enz za Lodgers kwa mpira wa kupress SG alikuwa normal
But suarez 85% angefit


Sent from my iPhone using JamiiForums

Enzi za Rodgers (2013/14) SG alikuwa na umri gani ili turelate na hiyo kauli ya kuwa alikuwa normal.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom