Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,591
Lol, huwezi kwenda likizo from here hasa ukiwa hauko busy..
I have tried this before, but its hard, but when life gets busy, unapotea kweli kweli..
Sahiv kupotea humu itakuwa ngumu, because i need to teach these JF's top reds jinsi ya ku-embrace Anfield stadium.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaweza akagomea olympics..Yajayo yanatisha...
Mohamed Salah could miss the start of the next Premier League season with a potential call-up to the 2020 Olympics in Tokyo.
The coach of Egypt's U23s has made it clear he intends to include Salah as one of the team's three overage players.
If Salah was join the National team he would miss the preseason and start of the EPL.
Skysport
Kwa msimamo wa Klopp, FA 90% tushalipoteza
Top reds wa humu hawajawahi kugusa hata kuta za Anfield zaidi ya kuziona kwenye screens..Yaani naona kabisa leave yangu inavyopata wakati mgumu.
Kuna posts zinaniuma kuzijibu ila naamua kukausha tu.
Mane/Salah/Keita, will potentially miss up to SIX weeks..Halafu january kuna mataifa ya Africa si ndiyo?
Sasa kama kabadilika mnataka aendelee kumponda ili iweje? Hendo asaiv walau kila gemu either ana assist au anascore wakati before alikuwa ni mtu wa kurudisha mipira kwa kipa na mabeki na anamaliza mechi kumi bila hata assist. Kuna ligi humu ya hendo na salah mnaiendekeza bila sababu, tukubaliane tu mchezaji akizingua lazima tukusoe na akipiga kazi tutampongeza pia
Lazima tukubali uhalisia mkuu,na huo ndio ushabiki mzuri,kama nilivyomuona King Ngwaba alivyomkubali Le capitain mchana kweupeeeeeeeeee...soka ni mchezo wa hadharani....ukiboronga tunakandia ,ukifanya vizuri sifa zitakuhusu tu.Bro niko likizo kukoment JF mpaka Liverpool avunje record ya 49 unbeaten ya Arsenal au afungwe kabla ya kuvunja hiyo record.
Ila hizi salamu zako imebidi nizipokee.
Top reds wa humu hawajawahi kugusa hata kuta za Anfield zaidi ya kuziona kwenye screens..
Makelele yao wala yasikusumbue, they're just passengers.
Sifa kuu ya Top red ni kwenda Anfield, kama hajawahi kwenda/kufika uwanjani huyo ni mpiga makelele tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Keita was so sharp jana..
If he stays injury free, he'll surpass Faby as our best MF in the club.
I mean it.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hendo is enjoying his best spell at the club, tangu aje 2011, it took him almost a decade to finally hit this kind of form..Nilichobaini ni kuwa kumbe siku zote walikuwa hawajui tulichokuwa tunakilalamikia kwa Henderson.
Sisi tulilalamikia uwezo wake kuwa alikuwa akicheza kwa kiwango kibovu,
Sasa kaboresha kiwango chake tunamsifia imekuwa ugomvi.
Mchezaji nyota yeyote kwa sasa lazima atatamani kuchezea hii timu...
Huu ndio uhalisia wa mambo,huwezi sikia Mbappe,Neymar n.k wakachagua Man utd,Arsenal,au chelsea.....
Kwa hili nawapa kongole ndugu zangu,mliwekeza kwa muda na mnakula mbivu sasa kwa uvumilivu wa kutosha.
hizi kongole ni kwa wale washabiki wa liverpool sio washangiliaji wa livapuli.
Amani kwenu King Ngwaba , MosDef , Captain Marvelous , zumbemkuu , Don Clericuzio na mhalisia mwenzangu [USER=11602]Malafyale na wengine wengi waliokuwa hapa kipindi cha dhiki......
COYG.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Zumbe unajiitaje LFC fan kama hujafika Anfield au hata Melwood.
Man, jana kaingia tu, kaweka bonge la pass kwa Bobby..He is the most talented player kwenye kikosi chetu.
Majeruhi yanatukosesha kuuona ubora wake.
Wanaomroga wamwache hata msimu mmoja tu angalau atuoneshe kiwango chake.
Sasa Zumbe unajiitaje LFC fan kama hujafika Anfield au hata Melwood.
Lol.
Eeeeh?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha haaaaMkuu
Tusilazimishane kuwaza sawa
I like the analysis
Hendo is a good player, but never our best player
Lakini kutwa mnahangaika kulazimisha tumuone Bora kuliko anavyostahili
And never call others opinions bs because you are full of it
Pumbaff
Lol..[emoji3] zumbe unanipopoa makofi kiasi hicho? Anfield ni sawa na wafuasi wa Yesu au Mtume M'hmed ambao hawajawahi kufika hata miji waliozaliwa, (kidding).
Ngoja nisake nauli ntafika mkuu kama tutakuwa hatujapigwa ban ya kusafiri kama Daud Bashite [emoji120][emoji120][emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
Man, jana kaingia tu, kaweka bonge la pass kwa Bobby..
Hakuna MF pale LFC anaweza piga pass kama ile, even Faby.
Yule short ni mtu kaka, basi tu injuries hizi..
Sent using Jamii Forums mobile app