Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Ndo maana mm niliamua kununua dstv ya kwangu maana sitaki buguza kabisa linapokuja suala la liverpool, siwezi acha kupata burudani kutoka kwa akina Firmino eti nikaangalie upuuzi wa akina Rashford makame

Sent using Jamii Forums mobile app

Toka DSTV waondoe ESPN channels niliachana nao, ila kwa anayoyafanya Liverpool naona sasa hivi naenda kuwaunga mkono.

Uzuri pia sasa hivi 203 inapatikana kwenye Compact Package, so it is a bit cheaper.
 
IMG_7435.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Fanya hivyo mkuu kwa sasa ni raha tu ni matusi kabisa eti kugawana dak kati ya mechi ya liverpool halafu pembeni kuna manure au aseno
Toka DSTV waondoe ESPN channels niliachana nao, ila kwa anayoyafanya Liverpool naona sasa hivi naenda kuwaunga mkono.

Uzuri pia sasa hivi 203 inapatikana kwenye Compact Package, so it is a bit cheaper.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo ndo dawa tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Bado Taifa inabidi ulitumikie, na kwa kujua kwamba watu watatega ilibidi FIFA waweke sheria kali mtu akikataa bila sababu.

Kulikuwa na discussion ya kufanya mashindano ya CAN yawe yanafanyika June/July ili kutoathiri ligi, lakini hali ya hewa ikazingua, maana June ni kipindi cha joto kwa Africa.

Na kuna coaches wanaogopa kuwa na wachezaji wengi kutoka Africa kwa sababu hii.
 
Fanya hivyo mkuu kwa sasa ni raha tu ni matusi kabisa eti kugawana dak kati ya mechi ya liverpool halafu pembeni kuna manure au aseno

Sent using Jamii Forums mobile app

Kabisa, maana kwa kuiweka 203 kwenye Compact maumivu siyo. Nilikuwa naumia unalipa Compact Plus au Premium kipindi hiko halafu muda mwingi huangalii, na ESPN nilikuwa naangalia sana NBA.
 
Sema siku hizi uhuni UEFA wamepeleka supersport 5 na 6 ambapo kwenye compact hakuna kabisa, mm siku wadau wanakuja nyumbani kwangu mechi za liverpool natoa ofa kuangalia bure, maana liverpool wananilipa kwa burudani wanayotoa, ila mechi nachukua kiingilio
Kabisa, maana kwa kuiweka 203 kwenye Compact maumivu siyo. Nilikuwa naumia unalipa Compact Plus au Premium kipindi hiko halafu muda mwingi huangalii, na ESPN nilikuwa naangalia sana NBA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema siku hizi uhuni UEFA wamepeleka supersport 5 na 6 ambapo kwenye compact hakuna kabisa, mm siku wadau wanakuja nyumbani kwangu mechi za liverpool natoa ofa kuangalia bure, maana liverpool wananilipa kwa burudani wanayotoa, ila mechi nachukua kiingilio

Sent using Jamii Forums mobile app

Liverpool ni burudani sana, maana hata ukisema uangalie banda umiza unaona kama unawapunja jamaa.
 
Toka DSTV waondoe ESPN channels niliachana nao, ila kwa anayoyafanya Liverpool naona sasa hivi naenda kuwaunga mkono.

Uzuri pia sasa hivi 203 inapatikana kwenye Compact Package, so it is a bit cheaper.
Hawa jamaa DSTV ujue kuna muda siwaelewi. Huwa nalipa kile kifurushi cha 19,000 na 203 naipata ila wana i block kabla hata kifurushi hakijaisha?
 
Hahahahhah, umeona eeeeeh, Kuna siku nilikuwa safarini, kuingia banda umiza jamaa wakaniambia buku, mwanzo nilitoa kwa kumind lakini kadiri game ilivyosonga Kuna jero ilikuwa mfukoni ikabidi nimpe tu mdau maana niliona kana kwamba nimemdhurumu buku tu kwa burudani ile
Liverpool ni burudani sana, maana hata ukisema uangalie banda umiza unaona kama unawapunja jamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahhah, umeona eeeeeh, Kuna siku nilikuwa safarini, kuingia banda umiza jamaa wakaniambia buku, mwanzo nilitoa kwa kumind lakini kadiri game ilivyosonga Kuna jero ilikuwa mfukoni ikabidi nimpe tu mdau maana niliona kana kwamba nimemdhurumu buku tu kwa burudani ile

Sent using Jamii Forums mobile app

Nimecheka sana, maana kuna game ya Leicester niliongeza kiingilio siku hiyo.

Sasa hivi burudani sana, yaani game ya Liverpool unawatafuta wadau wa timu pinzani muangalie pamoja hawaji, hata uwaahidi bia.
 
Hawa jamaa DSTV ujue kuna muda siwaelewi. Huwa nalipa kile kifurushi cha 19,000 na 203 naipata ila wana i block kabla hata kifurushi hakijaisha?
Wamesema kwa wanaotumia kifurushi cha elf 19 ukilipia kabla ya cha awali kwisha wanakupa offer ya kutazama 203 kwa wiki moja kama sikosei ila sharti ni ulipe kabla hakijakata

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom