Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Jumapili tunaenda kushinda goli za kutosha tu, manure ni timu dhaifu sana haiwezi kupambana na Majogoo

Sent using Jamii Forums mobile app

Naona umeshajiwekea Matokeo yako Mfukoni.

Mkuu usijekuambulia malalamiko ya kuililia VAR tu

Unapofanya tathimi vitu kama VAR, Makosa ya Kibinadamu ya Referee yote unatakiwa yawe considered.
 
Kuna watu watakuwa wamenuna sana taarifa hizi nzuri sana za kunenepesha mifupa, Yani kuna watu katika dunia hii wao wamezoea shida shida tu, vitu vizuri kwao hawataki kabisa kuviona vinatendeka katika maisha yao

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa napata majibu kwanini Mashabiki wa Timu nyengine wanaomba WWIII itokee

Yani Mashabiki wa Liverpool munajeuri

Mwaka mmoja tu wa Mafanikio umetufanya tuone tumeyasahau Mateso ya Miaka 30 ya kudharauliwa na kila Mtu.

Kibanda umiza cha hapa Home tulikuwa tunaangalia game ya Liverpool watu 3 tu.

Kulipia ilikuwa ni Jero, lakini ilibidi tuwe tunachanga Buku 2 kila Mtu ili zitimie angalau Buku 6 tumlipe mwenye DStv atuoneshe game yetu! Vinginevyo jamaa anatukomalia kuwa haoneshi game yetu kwa Buku Jero ya Watu 3

Dah! Mwaka tumepata Plastic Fans wa Liverpool from nowhere yani tunajaza Banda Umiza Nyomi

Halafu sisi Watu 3 wa zamani tokea enzi za shida tumekuwa MALEGEND ata hatulipi tena tunaingia bure.

Mbona tutazidi kupokea New Fans hapa mpaka uzi utacorrupt huu.

Lakini DullyJr anawapasulia Live kuwa Hawatambui kama wao ni Mashabiki wa Liverpool coz wakati tunapigwa 5 - 0 na Macity, na 6 - 3 na Arsenal , 6 - 1 na Stoke, 4 -1 na Spurs, Tunaliwa Nje ndani na West Ham alikuwa hawaoni
 
Sasa napata majibu kwanini Mashabiki wa Timu nyengine wanaomba WWIII itokee

Yani Mashabiki wa Liverpool munajeuri

Mwaka mmoja tu wa Mafanikio umetufanya tuone tumeyasahau Mateso ya Miaka 30 ya kudharauliwa na kila Mtu.

Kibanda umiza cha hapa Home tulikuwa tunaangalia game ya Liverpool watu 3 tu.

Kulipia ilikuwa ni Jero, lakini ilibidi tuwe tunachanga Buku 2 kila Mtu ili zitimie angalau Buku 6 tumlipe mwenye DStv atuoneshe game yetu! Vinginevyo jamaa anatukomalia kuwa haoneshi game yetu kwa Buku Jero ya Watu 3

Dah! Mwaka tumepata Plastic Fans wa Liverpool from nowhere yani tunajaza Banda Umiza Nyomi

Halafu sisi Watu 3 wa zamani tokea enzi za shida tumekuwa MALEGEND ata hatulipi tena tunaingia bure.

Mbona tutazidi kupokea New Fans hapa mpaka uzi utacorrupt huu.

Lakini DullyJr anawapasulia Live kuwa Hawatambui kama wao ni Mashabiki wa Liverpool coz wakati tunapigwa 5 - 0 na Macity, na 6 - 3 na Arsenal , 6 - 1 na Stoke, 4 -1 na Spurs, Tunaliwa Nje ndani na West Ham alikuwa hawaoni

Dah! Hizi mambo za kuonesha game tofauti na za Liverpool kwenye vibanda zimetuumiza sana, unakuta Man Utd anacheza muda sawa na wetu eti wanaonesha game ya Man Utd.

Siku hizi hata Man Utd wenyewe hawataki kuangalia game zao, wanakimbilia tuangalie ya Liverpool!

Tena case ilikuwa mbaya zaidi kwenye UEFA, sasa hivi hata tupangiwe muda sawa na Barca au Madrid, game ya Liverpool itaoneshwa tu.
 
Nakubali matokeo Mkuu

Eti washindani wake ni Harry Kane (Alieusindikiza msimu Wodi ya Wagonjwa) na Raheem Sterling anayepigana na wachezaji wenzake Mazoezini

Ila kwa Uingereza nadhani anastahili, ndiyo maana timu ya Taifa Uingereza haikai ikafikiriwa kuwa mshindani WC wala European Cup, imagine kama best wao ndo huyu!
 
Mwanzo nilishituka nilidhani Mchezaji bora wa EPL

Lakini kumbe ni Mchezaji bora kwa Wachezaji wa Kiengereza tu! Haina shida as long as washindani wake ni Lingard, Chilwell, Rashford, Madison, Mount, Lallana and c.o.

But namuonea huruma Ndugu yangu Scouser TAA ambaye yupo kwenye kikosi cha Dunia na Ulaya lakini kwenye kijitunzo cha Brexit kaonekana hastahili.

Ni bora asingekuwa Mweusi bali angelizaliwa Mzungu.

Enewey ni Mchezaji wa BT SPORT
Walikuwepo akina sterling na kane pia. Punguzeni hasira....Kapteni Jembe piga kazi achana na hawa wenye wivu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa napata majibu kwanini Mashabiki wa Timu nyengine wanaomba WWIII itokee

Yani Mashabiki wa Liverpool munajeuri

Mwaka mmoja tu wa Mafanikio umetufanya tuone tumeyasahau Mateso ya Miaka 30 ya kudharauliwa na kila Mtu.

Kibanda umiza cha hapa Home tulikuwa tunaangalia game ya Liverpool watu 3 tu.

Kulipia ilikuwa ni Jero, lakini ilibidi tuwe tunachanga Buku 2 kila Mtu ili zitimie angalau Buku 6 tumlipe mwenye DStv atuoneshe game yetu! Vinginevyo jamaa anatukomalia kuwa haoneshi game yetu kwa Buku Jero ya Watu 3

Dah! Mwaka tumepata Plastic Fans wa Liverpool from nowhere yani tunajaza Banda Umiza Nyomi

Halafu sisi Watu 3 wa zamani tokea enzi za shida tumekuwa MALEGEND ata hatulipi tena tunaingia bure.

Mbona tutazidi kupokea New Fans hapa mpaka uzi utacorrupt huu.

Lakini DullyJr anawapasulia Live kuwa Hawatambui kama wao ni Mashabiki wa Liverpool coz wakati tunapigwa 5 - 0 na Macity, na 6 - 3 na Arsenal , 6 - 1 na Stoke, 4 -1 na Spurs, Tunaliwa Nje ndani na West Ham alikuwa hawaoni
man city alikaa miaka 44 akachukua kwa mara ya kwanza...nasema hivi sisi liverpool tutaomba kibali cha maandamano huru ya kusheherekea ubingwa pamoja na ulinzi wa polisi wa kutusindikiza..
 
Ntafutieni yule mchezaji bora wa Ingland hapo siini vyema

Nnaona tu kuna katoto ka myaka 20 apo sijui kameingiaje

Khatar sana
Screenshot_2020-01-15-17-10-25.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mashabiki wa liverpool tupo toka enzi enzi, uenda enzi hizo uzisemazo ww wengine hatukuwepo Jamiiforums, hiki ni kipindi chetu acha tunenepe mkuu wangu
Sasa napata majibu kwanini Mashabiki wa Timu nyengine wanaomba WWIII itokee

Yani Mashabiki wa Liverpool munajeuri

Mwaka mmoja tu wa Mafanikio umetufanya tuone tumeyasahau Mateso ya Miaka 30 ya kudharauliwa na kila Mtu.

Kibanda umiza cha hapa Home tulikuwa tunaangalia game ya Liverpool watu 3 tu.

Kulipia ilikuwa ni Jero, lakini ilibidi tuwe tunachanga Buku 2 kila Mtu ili zitimie angalau Buku 6 tumlipe mwenye DStv atuoneshe game yetu! Vinginevyo jamaa anatukomalia kuwa haoneshi game yetu kwa Buku Jero ya Watu 3

Dah! Mwaka tumepata Plastic Fans wa Liverpool from nowhere yani tunajaza Banda Umiza Nyomi

Halafu sisi Watu 3 wa zamani tokea enzi za shida tumekuwa MALEGEND ata hatulipi tena tunaingia bure.

Mbona tutazidi kupokea New Fans hapa mpaka uzi utacorrupt huu.

Lakini DullyJr anawapasulia Live kuwa Hawatambui kama wao ni Mashabiki wa Liverpool coz wakati tunapigwa 5 - 0 na Macity, na 6 - 3 na Arsenal , 6 - 1 na Stoke, 4 -1 na Spurs, Tunaliwa Nje ndani na West Ham alikuwa hawaoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo maana mm niliamua kununua dstv ya kwangu maana sitaki buguza kabisa linapokuja suala la liverpool, siwezi acha kupata burudani kutoka kwa akina Firmino eti nikaangalie upuuzi wa akina Rashford makame
Dah! Hizi mambo za kuonesha game tofauti na za Liverpool kwenye vibanda zimetuumiza sana, unakuta Man Utd anacheza muda sawa na wetu eti wanaonesha game ya Man Utd.

Siku hizi hata Man Utd wenyewe hawataki kuangalia game zao, wanakimbilia tuangalie ya Liverpool!

Tena case ilikuwa mbaya zaidi kwenye UEFA, sasa hivi hata tupangiwe muda sawa na Barca au Madrid, game ya Liverpool itaoneshwa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siyo lazima waje kuna mwaka matip aliwagomea Cameron, ratiba za caf sometimes ni za kishenzi sana, kwann wasipeleke June na July

Sent using Jamii Forums mobile app
Kukataa kuitikia wito wa national team bila sababu ya msingi ni kosa kwa sheria za FIFA. Klabu au mchezaji wanaweza kufungiwa na kupigwa fines pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom