Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,152
- 10,682
Because he's EnglishKuna watu sijui wanaangalia mpira kwa angle ipi unakutana na pundit anakwambia Grealish ni bora kuliko Keita na Gini, asee
Hana cha ziada
Because he's EnglishKuna watu sijui wanaangalia mpira kwa angle ipi unakutana na pundit anakwambia Grealish ni bora kuliko Keita na Gini, asee
Bora hata Buendia wa Norwich, ana kitu yule jamaa.Kuna watu sijui wanaangalia mpira kwa angle ipi unakutana na pundit anakwambia Grealish ni bora kuliko Keita na Gini, asee
Klopp ametega aisee wakishuka daraja anamfuata na $7m to $10m.. Yule anatua Liverpool hatumkosi...Bora hata Buendia wa Norwich, ana kitu yule jamaa.
Yeah, Buendia, Cantwell, Grealish na McGinn, tukipata mmoja au wawili baada ya ku off load Lallana itakua good addition kwenyw kikosi chetu.Klopp ametega aisee wakishuka daraja anamfuata na $7m to $10m.. Yule anatua Liverpool hatumkosi...
Pia yule beki wao nadhani anaitwa Arons japo timu nyingi zinamtolea macho sana...Bora hata Buendia wa Norwich, ana kitu yule jamaa.
Cantwell mashini mkuu aaa shinda sana yule ndogo...Yeah, Buendia, Cantwell, Grealish na McGinn, tukipata mmoja au wawili baada ya ku off load Lallana itakua good addition kwenyw kikosi chetu.
Hahahaha Mkuu yule hana shinda hata kidogo...Jamaa ukisoma comments zake unagundua tu ana shida mahali fulani kwa kichwa yake
Sent using Jamii Forums mobile app
guardola kasema mrithi wa silva ni foden...labda waongeze depth ya kikos...Pia yule beki wao nadhani anaitwa Arons japo timu nyingi zinamtolea macho sana...
Grealish anapaishwa na magazeti sasa na Manchester City eti nao wanamtaka kuridhi nafasi ya Silva akistaafu mwisho wa msimu..
YNWA
Hahahaha Mkuu yule hana shinda hata kidogo...
Mpira bila kua na watani humu humu wanaokumbeza kile ama hiki nk unakua haunogi hata kidogo..
Hata majuu wakati mechi zinaendelea unaweza kusikia mashabiki wanatania Kwa nyimbo ama mabango...
Usije shangaa Chelsea wakija kwetu ukasikia ama kuona mabango wakisema Henderson atateleza kama Steve haha
Ama wakija Manchester United home ukasikia mashabiki wetu Anfield wakimwimbia Ole you are getting sacked in the morning..
Nao mashabiki Wa Manchester United wajibu VAR was brought to give Liverpool the EPL trophy nk...
Ollachuga Oc, Pain Killer, DullyJr, Aaron Arsenal, kurlzawa, Radika, Honnestly nk kututembelea humu kwenye uzi wetu ni sawa kabisa hata wakiandika mambo fulani binafsi nachukulie powa maana ndio ushabiki ulivyo...
YNWA
Tuweni Wakweli, Kumkosa Ollachuga Oc kwenye huu uzi huwa tunakosa uchangamfu flani hivi
Ollachuga Oc usiwe unatukimbia bwanaaMimi binafsi sitamani kumkosa jamaa, ni changamsha genge mzuri tu.
Sema ubaya wake yeye akifungwa ukamtafuta humpati, maana anapotea kwa muda, akirudi radha ya kumtania unakuta imeisha.



Morning is good Mkuu..Well narrated.
Good morning to all Kops.
Foden bado sana kufika level zile..guardola kasema mrithi wa silva ni foden...labda waongeze depth ya kikos...
Mimi binafsi sitamani kumkosa jamaa, ni changamsha genge mzuri tu.
Sema ubaya wake yeye akifungwa ukamtafuta humpati, maana anapotea kwa muda, akirudi radha ya kumtania unakuta imeisha.
Yani ollachuga ni sawa na Kenge haamini mpaka aone damu!
Unawezakuta Dakika ya 89' Liverpool inaongoza 4 kwa 0 na still akacomment mechi inaisha Draw ya 4 - 4
Lakini dakika ya 93' Chelsea imeshapigwa 4 - 0 na Bournemouth but still akakwambia game itaisha kwa Chelsea itashinda 4 - 5