Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,534
- 81,267
Fabinho: “My ankle is better, I trained alone this week. I am touching the ball again, I feel good and I feel confident.” 🤩
Kabisa ndugu sio jambo rahisi kubakia unashabikia timu miaka 30 bila kombe la EPL...Hiyo sentensi ya mwisho mkuu umenikosha sana kwamba once a red at heart.... Na kweli hata mashabiki wa kule ukiwasikiliza wakiimba Mwanzo mwisho!
Hahah Kuna hawa majamaa kelele zimeanza upyaa ..tuwataarifu kitakachotokea wiki ijayo au tuwaache kwanza wamalizie kuishi kwa matumaini..Noma sana ndugu mmangO....
Klopp breaking records week after week..
Some called him specialist in failure oyeee they should have known better... Now he is a specialist to record breaking and guy don't boast nor shout Hahaha nomaa ametulia tuliii maji ya mtungi...
Fabinho: “My ankle is better, I trained alone this week. I am touching the ball again, I feel good and I feel confident.” 🤩
Hiyo mechi naamini tutashinda mkuu kwa sababu kwenye hiyo mechi wachezaji wote waliokuwa majeruhi watakuwa wamerudi,klopp atakuwa na machaguo acheze nani.city watakutana na ukuta wa gomez sio lovren wa miaka yote.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ngoja kwanza wakutane na baunsa Traore jumatano FA awatoe upepo aafu wakija kwetu wanazimwa mapema...Hahah Kuna hawa majamaa kelele zimeanza upyaa ..tuwataarifu kitakachotokea wiki ijayo au tuwaache kwanza wamalizie kuishi kwa matumaini..View attachment 1321006
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah as long as we are not struggling, there is no need to rush him backWe need him back at 100% fit, I am so sure that he want be rushed into a game.
We need him ready for UCL vs Simone...Hata Man city kina Laporte na wengine watakuwa wamesharudi
We ain't 'struggling' as boys are working as a unit hata jana Hendo and Gini lost some balls and stray passes here and there but other players were quick to react...Yeah as long as we are not struggling, there is no need to rush him back
Pep was hired to deliver Champions of Europe at Ethad and man has failed dearly..."champions of europe, you will never sing that".......
mashabiki wa villa wanawaimbia wale wa city
Sent using Jamii Forums mobile app
Liver katufanya mashabiki wa timu pinzani tunaonekana kama UKAWA, kiukweli huu msimu upite tu ili mambo yaanze upya, kwani naamini haya hayatajirudia msimu ujao.
Nimefurahi City walivyoikosa clean sheet..."champions of europe, you will never sing that".......
mashabiki wa villa wanawaimbia wale wa city
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1321088
14 years ago today. It’s been a journey of dreams.
most of the times wachezaji ambao huwa tunasajili January huwa hawa disappoint. Mme observe hilo?
It is the beginning of the 'beginning' jiandaeni tu...Liver katufanya mashabiki wa timu pinzani tunaonekana kama UKAWA, kiukweli huu msimu upite tu ili mambo yaanze upya, kwani naamini haya hayatajirudia msimu ujao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuandika pumba wewe alafu asubuhi unasalimiwa shikamoo baba unaitika..pumbavuAaaah, sawa mkuu kuna mdau pia alinifafanulia hivyo hivyo! Maana sisi wengine tunaweza watu wa kuwapa kipigo tu sio wa kuwazidi vikombe! Sasa hivi hata tuna jeuri wa kuwaambia Manure waungane na Chealsick waunde timu moja tuwapige!!

