OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
EPL ya 19 em acha utani bwana, nikumbusheni kama muna EPL ata moja..Hahahaha Mkuu Kwa sasa kuingia humu kunahitaji ukomavu wa Ollachuga Oc maana yeye mpaka sasa haamini barabara jiji la Anfield zinawekwa sawa kupokea mashabiki na watalii wa michezo lukuki kushuhudia Klopp na vijana wake wakiwa Lori za wazi kutembeza mtaa Kwa mtaa kombe letu la 19 EPL...
Nyie muna yale makombe yanaitwa league division one cjui two uko ..kipind io kipa akidaka mpira unamunyang'anya afu unafunga..
#CFC


Sent using Jamii Forums mobile app