Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,152
- 10,682
Angalia point gaps na asses halafu jiulize wanapata wapi courage ya kuja humu?Nd0 mlivy wa2 wa arsenal 👎👎👎
Wao ni level ya Watford na Aston villa
Tutoto twa kudekezwa ni majasho sana
Angalia point gaps na asses halafu jiulize wanapata wapi courage ya kuja humu?Nd0 mlivy wa2 wa arsenal 👎👎👎
Una uhakika mzee?katika game za jana hii ndo ilikuwa game kubwa sasa naachaje kuangalia?au unanijua sana mzee????
Hii game nimeichake mwanzo mwisho....na kwa kifupi kukataliwa magoli ya mane isiwe sababu ya kufumbia makosa mengine inabidi uache ushabiki....enjoy soccer.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulivyoweka still picture peke yake unaweza mislead watu ambao hawakuangalia mechi.
Kwa tulioangalia mechi, mpira ulikua 50 50 baada ya Robbo kuutanguliza mpira mbele zaidi, ila Robbo ndio alianza kuucheza mpira kwanza halafu akatua kwenye mguu wa huyo dogo Tanga Tanga sijui Tanganga.
Hii ni tofauti na case ya Auba, Auba hakugusa mpira, alitua moja kwa moja kwenye ankle ya jamaa.
Just sit back and cry
Noma sana ndugu mmangO....
We the Reds are patient and that one of our core values...Just sit back and cry
We are Liverpool and our patience is paying handsomely
Hating won't win you nothing...
Acha tunyooshe ligi Kwanza
One more record in the bag.... 61 points out of possible 63, that is 97% points percentage
Never before
Aaaah, sawa mkuu kuna mdau pia alinifafanulia hivyo hivyo! Maana sisi wengine tunaweza watu wa kuwapa kipigo tu sio wa kuwazidi vikombe! Sasa hivi hata tuna jeuri wa kuwaambia Manure waungane na Chealsick waunde timu moja tuwapige!!Mkuu wangu nilimaanisha idadi ya ubebaji wa Kombe la Champions League.
Mkuu ni wewe ama akaunti yako imedukuliwa....
Huyu Robbo sijui mdadi ukampanda sana kuna mahala zinazimaga.. Ana bahati mno hua haonekanagi...Katika mechi za Liver VAR haitumiki nadhani tusubiri kamati ya masaa 72 ije na majibu.View attachment 1320414
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha wewe ni mtu wetu tunakukaribisha sana..Kwa Liverpool hii Unatakiwa uwe na moyo mgumu kama wangu mimi wa kuingia hapa na kukoment negatives hahahaha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha kwenye upendeleo wa VAR hatupo hata 3 bora mkuu...Hahahahah hiyo kauli nimeitumia tu kusherehesha ila kiukweli VAR imekuwa mwiba mchungu na msaada kwa baadhi ya timu...na nyinyi muna upepo nayo hilo halina ubishi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha duh zile gonga gonga ni noma sana hata mpira ukipotea vijana walikua chap sana ku recover...
Human is to mistakes just don't let em derail you...Kwa upande wangu jana Gini kapiga mpira mkubwa sana pale kati licha ya vimistake kidogo alivyofanya
Sent using Jamii Forums mobile app