Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Tushabiki twa Liverpool tuna midomo ni hatareee! Tumewaziba midomo wapinzani! Ha ha haaaaa
 
Ivi leo kuna swali lolote kuhusu VAR? Coz kuna Ndorobo zinaletwa na VAR tu Hapa.

Hawana cha kusema sasa maana walisema heti mnamechi ngumu hizo mechi ngumu zao sisi ni mwendo wa clean sheet tu,wanakimbilia kwenye VAR sio tena mechi ngumu. .sasa hivi sijui watajificha wapi hao vinabo?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hawana cha kusema sasa maana walisema heti mnamechi ngumu hizo mechi ngumu zao sisi ni mwendo wa clean sheet tu,wanakimbilia kwenye VAR sio tena mechi ngumu. .sasa hivi sijui watajificha wapi hao vinabo?


Sent from my iPhone using JamiiForums
Wamepoteana tangu Jana baada ya kuona lile game lilivyopigwa hiyo Jana! Kila timu inajipima na kuwaza tungekuwa sisi tungehimili ule mchakamchaka?
 
I am very happy with our team/squad

Keita is not seriously injured, he felt something

Mwaka huu klopp has done wonders ya kumanage players

A couple of games Hendo was subbed because he felt a knock

Just FYI, matip, shaqiri, fabinho na maybe lovren can play if asked to do so

Chambo injury was bad...

Kuchukia MTU anayeumia wakati hajapanga kuumia ni sawa na kumchukia Askari aliyeuwawa vitani

They put their bodies on the line

Lallana, shaq and origi have done wonders when called to action. Lovren the same

Huwezi ukawa na squad ya starters Tu.... Hawatakaa wakaelewa a and the team spirit will die

We are good

Labda nikujibu kihuni... NACHUKIA MIJITU INAYOCHUKIA PLAYERS WETU WANAOUMIA IN THR LINE OF DUTY

STOP BRINGING NEGATIVITY EHILE WR ROLL
Kiongozi hujakosea tunaeleweshanaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamepoteana tangu Jana baada ya kuona lile game lilivyopigwa hiyo Jana! Kila timu inajipima na kuwaza tungekuwa sisi tungehimili ule mchakamchaka?
Tatizo hawa watoto wanawajazaga upepo, kila mmoja anataka awe ndio shujaa wa kumfunga liver...

walimjaza leicester , wolves then sheffield...sheffield wagumu ila sio kwa liverpool

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watangazie ubingwa rasmi,timu ya kuifunga Liverpool hapo epl labda itoke sayari ya mars.

Mkuu sasa hivi nikushangilia tu ushindi na kuwasifia tu wachezaji wetu hakuna kingine.


Sent from my iPhone using JamiiForums

Challenge tulizobaki Nazo;

1) Spurs Away
2) Wolves Away
3) Everton Away
4) Mancity Away

Tukifanikiwa kuzipita hizo peacefully basi tutamaliza League unbeaten
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom