Una mashaka gani Mkuu?
Mbona tumeshaimaliza hii game mapema tu
Yan Leo uzuri wenu wote umefutika Dunia nzima imeona ni jinsi gani mnavobebwa du! Very shameful yani!!
Haya, pole mkuu kwa maumivu.Yan Leo uzuri wenu wote umefutika Dunia nzima imeona ni jinsi gani mnavobebwa du! Very shameful yani!!
Sent using Jamii Forums mobile app
VAR inaona hata ukitanguliza ukucha! Unacheza na technolojia? Inakata kotekote!V.A.R imewadhulumu goli Wolves.
Mtalalamika sanaaaaaaaaaaaaYan Leo uzuri wenu wote umefutika Dunia nzima imeona ni jinsi gani mnavobebwa du! Very shameful yani!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Arsenal wanahitaji dirisha kama Tatu za usajili kuji weka sawa tatizo sio Arteta mbali hana wachezaji sahihi levo ya juu..Arteta naye anakufa huku! Safari hii hizi timu tunazipiga nje ndani! Sioni timu ya kuwakabili REDS