wolves wana pesa kuliko dortmound........
kwaio klop pale dort alikua kilaza? kuwa na akili mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama yalivyo matakataka yenu ya Arsenal?
tatizo lako huna akili.........Unazungumzia data za sasa au wakati Klop akifundisha Dortmund? Acha kutumia viungo vya kukalia katika kufikiri!
Sent using Jamii Forums mobile app
Maisha hayapo hivyo ndugu, mpe huyo Nuno timu kubwa uone atafanya nini. Wangapi walifanya makubwa kwenye mid table teams wakapewa timu kubwa na kushindwa?Nadhani pesa zinaficha uwezo halisi wa makocha, najaribu kuwaza Nuno angekuwa ndio ana wachezaji kama wa liver na Klop awe na hawa wachezaji wa buku jero wa Wolves, je Klop angesikika popote?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole. Kalale maana unachokitaka hakiwezi kutokea.Leo aibu kubwa sana mmeipata ,kwanza beki wenu kanawa Mpira kabla ajatoa pasi bado hajaonekana!!mmebeeeeebwa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie kunguni mnabebwa mpaka mnaboa