Ha ha ha ha mjadala wa Salah umepamba Moto! japo tuagree kudisagree ukweli usiofichika juu ya kuwa Salah ana weakness zake uwanjani, still ni undropable.
Tukiangali interm of advantage v/s disadvantage basi Salah ana advantage nyingi anazo-offer kuliko disadvantage.
Mtu hawezi kunishawishi Mimi wa Klopp kuwa eti Salah aanzie Bench ili aanze Origi au Xhaqiri.
Fu.ck! Origi and Xhaqiri ahead of Salah??? Tuweni serious jamani!!!!
Hakuna Timu isiyotamani kuwa na Salah huo ndiyo ukweli.
Kuna wachezaji tuweni wakweli tu hata tukiwachukia vipi lazima wataanza tu coz hatuna upgrade wao.
1) Wa kwanza ni Salah! Kwasasa hatuna mbadala wa Salah, kwahiyo hata iweje lazima ataanza tu! Huwezi sema kuwa eti aanze Origi au Xhaqiri mbele ya Salah! Stats za Salah za kufunga, kuassist na kucreate nafasi zinaongea.
2) Wa pili ni Henderson! Huyu haiwezekani kuekwa benchi coz hatuna mbadala wake.
Nilihisi OX atakuja kuwa mbadala wake lakini ukweli usiofichikia OX ni failed project (Due to injury).
Narudia tena OX ni failed project.
That's Why unanikuta namkosoa sana Henderson lakini mimi mwenyewe sikubali aekwe Benchi, Naamini FXI yetu haiwezi kutimia mpaka awemo Hendo. Sio kwamba ni Bonge la mchezaji! Bali ni kwamba hatuna mbadala wake.