Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

I conquer with you mkuu, kila mtu ashinde za kwake safari hii hakuna kubebana! Nakumbuka sana mwaka Jana tulivyowategemea Chealsick na Manure watusaidie kumsimamisha Manshit hapo kwa mechi moja tu, jamaa wakaachia! Safari hii huo msaada hatuutaki tena!
Kabisa ndugu mwaka jana angalau Leicester kidogo nakumbuka ile mechi walimkazia kweli City kabla Kompany hajapiga ile thunderbolt strike... Hivyo Kwa Kwa sasa hatuhitaji msaada Kwa wengine tunakomaa wenyewe...
 
kwani mpira ngono kwamba wanafanyia chumbani?.........


hendo ana misimu zaid ya 6 pale liverpool...... nimemtazama sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiishie kutazama tu. Jaribu kuwa "technical analyst" Vilevile jaribu upate angalau epistemological certificate of football ili uwe na legitimacy ya kusema wachezaji wa ngazi ya UEFA
 
Kabisa ndugu mwaka jana angalau Leicester kidogo nakumbuka ile mechi walimkazia kweli City kabla Kompany hajapiga ile thunderbolt strike... Hivyo Kwa Kwa sasa hatuhitaji msaada Kwa wengine tunakomaa wenyewe...
Yaani Manure na Chealsick waliachia wazi kabisa kuikomoa Liverpool! Zile game hazikuwa za wao kufungwa kabisa! Mwaka huu tumewakomesha!
 
unapenda sana kuyafanya maisha yawe magumu..........


kwako wewe hata traore alikua bora simply kwa sababu alitupatia kombe pale instabul siyo?
Usiishie kutazama tu. Jaribu kuwa "technical analyst" Vilevile jaribu upate angalau epistemological certificate of football ili uwe na legitimacy ya kusema wachezaji wa ngazi ya UEFA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unapenda sana kuyafanya maisha yawe magumu..........


kwako wewe hata traore alikua bora simply kwa sababu alitupatia kombe pale instabul siyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Jordan Henderson ni miungoni mwa wachezaji wachache duniani ambao ni wapambanaji ili timu ipate matokeo. Liverpool tunajivunia huyu mtu! Tunaenda kutwaa EPL 2019/2020 stay in touch!
 
Alex Oxlade-Chamberlain to miss Liverpool's final games of 2019 due to ankle injury. Oxlade-Chamberlain will miss Liverpool's trip to Leicester on Boxing Day as well as the Sky Live visit of Wolves three days later, and Klopp is unsure when the England international will be ready to return to action.
 
mkuu ukisema kabla ya Klop unakua hujamtendea haki benitez...........

huyu mzee akina hicks na gillet walimsumbua sana lkn alijitahidi....... hata ile 2009 tulikosa kombe kwa sababu ya udogo wa kikosi!

yeye anamtaka ribery wao wanamletea keane, anamtaka barry wakasumbua mpk tukadondokea kwa aquilan....... aiseee that time ilikua very complicated sana!....

cover ya torres anakua Ngog kweli.....? Klop ana bahat yupo chini ya watu wanaojitambua

Sent using Jamii Forums mobile app

Hapo nadhani sikutumia njia sahihi tu ya kufikisha ujumbe.

Point yangu inaanza baada ya Benitez ndiyo tulikuwa laughing stock mpaka Klopp ndiyo akatutoa mashimoni.
 
Ni sahihi kabisa ndugu aisee enzi hizo tuliwafunga Chelsea ama timu yoyote ya Big four tulikua mtaani hatukamatika aafu tunakuja kuzimwa na Sunderland, Portsmouth, Birmingham nk huku ma super start wetu ni akina Insua, Glen Johnson, Downing, Nabil, Gonzalez, Palleta, Balotelli, Moreno, Zenden nk...

Ki ukweli ujio Wa Fenway Sports Group na akina Lebron James ulituokoa na wametutoa parefu japo mwanzoni hawakueleweka vyema wanavyofanya uwekezaji kiasi kuna mashabiki walisema hawatakiwi waondoke lakini baada ya kumpata Klopp na ku stabilise account za Klabu sasa tume waona na kuwaelewa zaidi na tunahitaji waedelee kuwepo klabuni wanatufaa mnoo..

Kuanzia msimu wa 2010 mpaka tunakuja kupata UCL 2019 ki ukweli tumepondwa, tumedharaulika, tumekejeliwa eti ni ma specialist in failure nk ndio sasa Tunatembea kifua mbele tupo kwenye laiti track na hatuyumbishwi na timu yoyote, wao wacheze mpira wao sisi tucheze wetu na kwa vile tumekomaa nafasi za ushindi zitapatikana tu.. Hakika najivunia kushabikia Majogoo kipindi hiki huliko kipindi chote kile nasema asante Klopp asante vijana Kwa kazi nzuri na kuwazima wapinzani wetu kabisaaa na ole wao tukichukua kubwa lao EPL hapo sasa wataibuka na maneno mengi mengi mara VAR na kadhalika...

Liverpool Kwa sasa sio tena stepping stone ya wachezaji kuja hapa kusudi wapate kutambulika na kwenda kwingineko kama akina Surez, Torres, Sterling, Owen nk,.. Kwa sasa tuna uwezo wa kushindana mashindano yoyote yale Kwa kikosi alichokijenga Klopp, pia tuna uwezo wa kuwavutia wachezaji bora kabisa kuja kijiunga na timu ya ushindi..

Klopp kuongeza mkataba ni mshale Kwa wapinzani japo nimesoma na Pep nae yupo tayari kuongeza endapo Uongozi Wa Citizens ukiona anafaa kuedelea kuwafundisha....

Tuna uhakika wa kuedelea na hii furaha kwa kazi nzuri sana ya Edwards kuzidi kum support Klopp na bila shaka Klopp hajawaangusha Kwa vile sasa value ya Klabu imeongezeka mara dufu na lengo ni miaka mitano ijayo tuwe 3 bora duniani kifedha Kwa timu za mpira...Takumi kaja pia kimkakati zaidi huku nako fursa zitakua nyingi...

Adidas walitutema mwaka 2012 Kwa kusema we are to risky.. Haha they wish..New Balance wakaingia ndani through their subsidiary Worrior, upande wa jezi na washirika wengine kama Carlsberg, Nivea, XAX nk bado wapo na sisi na wanaamini kibiashara wamewekeza mahala sahihi hii imewavuta na Titan waitwo Nike kuja kuwekeza na kua mshirika wetu Kwa kutoa ofa HATAREE, haya yote ni Klopp, wasaidizi wake, wachezaji na never dying passion ya mashabiki Wa Liverpool..

Together we have come far and now we are harvesting higherly believing in this drankard master who told us he will make us Great again and he has kept his word..

Bye bye mediocre players na wale tulionao siku zao zinahesabika klabuni... So far kashawatoa Sakho, Benteke, Ings, Balotelli, Aspas, Moreno, Kolo, Skertel nk

Yani ninapokumbuka tunampiga Chelsea Nje-Ndani akiwa na Diego Costa na Hazard then tukuja kuliwa Nje-Ndani na West Bromwich Albion.

Mpaka tukaitwa ROBIN HOOD "steal from the rich, give to the poor"
 
Oxlade-Chamberlain will not be in contention for the fixtures with Leicester City and Wolverhampton Wanderers – and further assessment is required to determine when he can return.

Klopp told his pre-match press conference: “The ankle [is] what we probably expected; you have three ligaments on the outside of the ankle, one of them is damaged.

“Now we have to see how quickly we can fix that. I don’t know exactly. I had that injury myself, but it was years ago and it can take a while or can be quick, we have to see.

“No chance for Thursday and no chance for this year; Oxlade will not play anymore [in 2019] that’s clear.

“Then we have to see how quickly it can settle.”

Elsewhere, Klopp reported no fresh injury concerns ahead of the journey to the King Power Stadium.

He added: “There is no news on anyone else, which is good news. Both [Lovren and Matip] and Fabinho are in a really good way, but of course not ready for these games.”

C&P

Huyu Chamberlain ni mchezaji ninayempenda sana lakini ananidisappoint kwakweli.

Kila msimu hatimizi mechi 10 za EPL anaishia kuumia.

Tunahitaji replacement kwakweli.
 
Kwahiyo hapa ulipokubali umeletewa research au?

Huenda wewe ni Polepole au Yeriko Nyerere bali umeficha ID yako tu.
Unapozungumzia research lazima ulete takwimu kupitia reliable sources. Hao uliowataja, inaashiria una ukame wa hoja!
 
Yani ninapokumbuka tunampiga Chelsea Nje-Ndani akiwa na Diego Costa na Hazard then tukuja kuliwa Nje-Ndani na West Bromwich Albion.

Mpaka tukaitwa ROBIN HOOD "steal from the rich, give to the poor"
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Naikumbuka sanaaa ndugu..

Tumebatizwa na moto ndugu maana hapo mashabiki wengi wenye mioyo miepesi walitukimbia na kuhamia Chelsea na kwingineko tubaki wenye roho ya ngumu tukiamini kuna siku tutacheka.. Na sasa tunacheka HAHAHAHAHA tena Kwa herufi kubwa...

Hakuna cha Robin wala nani sasa we have reclaimed out status tena kibishi...

Unleash the the cocks come 26/12/19 at Kings Power and we finish 2019 in style...
 
Yaani Manure na Chealsick waliachia wazi kabisa kuikomoa Liverpool! Zile game hazikuwa za wao kufungwa kabisa! Mwaka huu tumewakomesha!
Hahaha Manchester United, Everton, Chelsea haha yaaani hao wapo tayari washuke Daraja lakini sio eti wakaze huku wakijua Jogoo mbishi anachukua ndoo..

Tuna pambana kivyetu vyetu..

We are smarter now..

We are ready..

One game to go Kwa awamu ya kwanza vs Wolves tuwe tayari Kwa mzunguko wa pili ambao tayari tunaanza mapema na Foxes..

Klopp is a soccer genius.. From a a master in failure to King of Kings..
 
Hahaha Manchester United, Everton, Chelsea haha yaaani hao wapo tayari washuke Daraja lakini sio eti wakaze huku wakijua Jogoo mbishi anachukua ndoo..

Tuna pambana kivyetu vyetu..

We are smarter now..

We are ready..

One game to go Kwa awamu ya kwanza vs Wolves tuwe tayari Kwa mzunguko wa pili ambao tayari tunaanza mapema na Foxes..

Klopp is a soccer genius.. From a a master in failure to King of Kings..
Haki ya nani Captain hizi comment zenu mkikutana na shabiki wa Manure anaweza kuwapiga ngumi! Mwaka huu wanalo!
 
-20191224-0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haki ya nani Captain hizi comment zenu mkikutana na shabiki wa Manure anaweza kuwapiga ngumi! Mwaka huu wanalo!
Hahahaha hao Kwa sasa ni 'small team' kwanza wapambane wapate hata nafasi ya kushiriki Europa msimu ujao..

Kwa hali waliyonayo hata kukatiza huku ni ngumu aisee na baada ya kupata taji baba lao bingwa Wa vilabu duniani tumezidi kuwachefua...

Fergie Class of 92 baadhi wanaanza kuingia wasiwasi na kupiga ramli eti Lecister kama anautaka ubingwa msimu lazima kesho kutwa achomoze na ubingwa, sasa kuna mmoja amewashauri Foxes wajipange kama alivyoo fanya Ole gemu dhidi ya Liverpool..eti BILA FABBY pale kati Maddison will cut us open and create chances Kwa Vardy lol.. Liverpool kuzidi kuimarika kunawaumiza sana Manchester United kuliko timu nyingine...

It's our turn now we have conquered EUROPE, we have conquered THE World and we are conquering EPL 2020 is ours to lose..

VViva Reds

YNWA
 
Hahahaha hao Kwa sasa ni 'small team' kwanza wapambane wapate hata nafasi ya kushiriki Europa msimu ujao..

Kwa hali waliyonayo hata kukatiza huku ni ngumu aisee na baada ya kupata taji baba lao bingwa Wa vilabu duniani tumezidi kuwachefua...

Fergie Class of 92 baadhi wanaanza kuingia wasiwasi na kupiga ramli eti Lecister kama anautaka ubingwa msimu lazima kesho kutwa achomoze na ubingwa, sasa kuna mmoja amewashauri Foxes wajipange kama alivyoo fanya Ole gemu dhidi ya Liverpool..eti BILA FABBY pale kati Maddison will cut us open and create chances Kwa Vardy lol.. Liverpool kuzidi kuimarika kunawaumiza sana Manchester United kuliko timu nyingine...

It's our turn now we have conquered EUROPE, we have conquered THE World and we are conquering EPL 2020 is ours to lose..

VViva Reds

YNWA
Salute to you man! Let them continue betting, we are the conqurer of the world from North to South, East to West!
 
Salute to you man! Let them continue betting, we are the conqurer of the world from North to South, East to West!
Hahaha indeed we are man..

2019 alone we have 3 major TROPHIES aiiiiiii what's more can we ask for 2019 ain't we just toooo lucky and damn happy, when Manchester United were planning to beat bottom of the EPL Watford which they shameless lost, us the real Reds were competing with the big guys and later we were celebrating being top of the world after mission accomplished at Doha

so you can see how the wheels has been turned bro..

YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom