Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Hiyo 85% kwa research ipi?

Pitia Official Page ya Liverpool ya Twitter
Pitia Official Page ya Liverpool ya Insta
Pitia Official Page ya Liverpool ya Facebook
Pitia ukurasa wa LiverpoolEcho

Ukimaliza hapo

Pitia unofficial Pages zote za Liverpool kwenye mitandao ukiwemo Uzi huu.

The do simple Research kupitia reaction za Mashabiki.
Sisi tayari tumeshapita humo ndiyomana tunayasema haya.

Hapa hakuna uliyemuekea Bajeti ya kukufanyia Research.
 
Duu Manchester United wamekua kama Liverpool enzi hizo tunakamia gemu kubwa aafu tunakutana na QPR, Wigan nk tunachezea balaa..

Ile ilikuwa ni Small Team Mentality.

Kawaida ya Mentality ya Timu Ndogo atafungwa 5 - 0 uwanjani kwake na Kibonde mwenzake, Lakini atataka atoe japo Sare ugenini kwa Man city au Liverpool.

Sasa kipindi hicho tunamfunga Chelsea au Arsenal lakini tunapigwa Nje - Ndani na Stoke City.
Hiyo ilikuwa ndiyo Mentality yetu ya Small Team huku tukijilazimisha tuonekane eti sisi ni Miamba ya Ulaya.
Kiukweli kabla ya kuja Klopp tulikuwa ni Timu ndogo.
Sasa na Manure nawao rayari wameshakuwa na Small team Mentality ya kukamia Big Matches huku wakiliwa na Vibonde.
Karibu wataanza kujivunia Historia kama tulivokuwa sisi.

Kipindi hicho tulikuwa tukijitapa na usajili wa Wachezaji kama Maxi Rodriquez, Fabio Borini, Arbeloa, Balotelli, Kolo Toure, Mignolet, Lallana, Lovren, Voronini, Dosena, Coates, Lambart, Origi, Henderson, Adam, Riera, na Midocre wengi tu huku tukijipongeza kwa sajili hizo mbovu kabisa. Hii tulikuwa na Small Team Mentality.

Sasahivi tunatakiwa tuondoke kwenye Mentality hii ya kukumbatia Hawa Mediocre players ambao wanafaidi Matunda kupitia Jasho la Wengine.

But you'll see someone anasema Ameshaitumikia Timu, So tusisajili tena wachezaji wapya Bali tuwarudiahe kina Aggar, Carra, Gerrard, Skirtel, Alonso, Barros, Fowler, Owen waendelee kucheza kwasababu tu walishaitumikia Timu??
 
Watu waliwapinga na kuwachukia mitume na manabii sasa hao wachezaji ni akinanani labda wasipingwe. Afuu usichokijua ni kwamba 85%ya washabiki wenye fahamu zilizotulia wa LFC wanajua kua hendo ni shit tu anapokua kwenye pitch
Nb:akifanya mazur twamsifu akizingua tunamsema maana anakiwango kikubwa cha shit kuliko mazur anayofanya
Ova

Kila mtu ana msaada wake uwanjan
Kila mtu ana mazr yake na mabaya yake
Ilhali kocha anamwamini kwann nyie mashabiki mkae mnamponda kila siku
Kutoa opinion kuwa sio mzr its okay, ila kumtukana kuwa ni shit hajui chochote na ata akiperform bado mnamtukana mnadhan kwake kama binadam inamuuma ovious, lkn najua Klop kama kocha mzr anampa moyo

Liverpool ni football Club, haina haja ya kumponda mtu kulingana na historia ya wewe kutompenda, ila kwa obvious mistakes kama zipo
Kuna mengi ya mpiran, ila sisi tunaona moja tu wakiwa uwanjan,

Kuna mchezaj flan nimesahau timu, ila south amerika alikuwa anapondwa sana kutokana na mistake flan moja ilioyowacost sana timu washabiki wakawa wanamponda sana na kumtukana kana kwamba hana maisha, ikatokea fainali msimu huo akapita mabeki wote akabaki na kipa badala ya kufunga akampa kipa mpira akavua shati akatoka nje, alikuwa amalize mechi wachukue kombe ila hawakulipata though jamaa alipewa adhabu kali na shirikisho na piakusitishiwa mkataba wake
Sometimes ni vizuri kuwapa moyo or else kukaa kimya kuriko kumponda mchezaji wako
Hii ndo sifa kuu makocha wanayoipa Anfield tangu enzi wakiwa wabaya

Malafyale navyomuona sidhan ka anamuona Henderson kama ni mtu wa maana sana kwenye timu, ila anajua maana ya ushabiki na anafanya hivyo kumpa moyo, sometimes ni hora kusoma akili ya mtu na kujiuliza kwann anafanya afanyavyo kuriko kuja juu na kuanzisha vita

Mi sio mshabiki ila ilitokea tu nikaanza ushabiki kwa kuiangalia hii timu sana enzi izo wanaonesha mipira channel ya PULSE

Sitaki kuwaingilia ila nataman ili litimu lishinde hii League niache ushabiki, nisiwe na deni nisijione mkosaji


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Jingaaaaa
Wachezaji wenzake wanamkubali 95% na wanajua mashabiki hawamkubali Sana.
Wanasema ni kiongozi mzuri kuwatia moyo.
Hata juzi kwenye semi alipocheza centre back hawakutia Shaka.
So Apewe support
 
Oxlade-Chamberlain will not be in contention for the fixtures with Leicester City and Wolverhampton Wanderers – and further assessment is required to determine when he can return.

Klopp told his pre-match press conference: “The ankle [is] what we probably expected; you have three ligaments on the outside of the ankle, one of them is damaged.

“Now we have to see how quickly we can fix that. I don’t know exactly. I had that injury myself, but it was years ago and it can take a while or can be quick, we have to see.

“No chance for Thursday and no chance for this year; Oxlade will not play anymore [in 2019] that’s clear.

“Then we have to see how quickly it can settle.”

Elsewhere, Klopp reported no fresh injury concerns ahead of the journey to the King Power Stadium.

He added: “There is no news on anyone else, which is good news. Both [Lovren and Matip] and Fabinho are in a really good way, but of course not ready for these games.”

C&P
 
Unatembelea social network??je huwa unasoma comment?? Kama huwa hufanyi hivyo bas jaribu kuanzia kufanya uchunguzi humu jf kwenye hii thread
Ninachokihitaji mimi ni kuletwa kwa research iliyofanywa ili kuhararisha hiyo 85% kwamaba wameona Hendo ni shit. Vinginevyo ni makosa sana kufata mikumbo isiyo ya lazima
 
Wachezaji wenzake wanamkubali 95% na wanajua mashabiki hawamkubali Sana.
Wanasema ni kiongozi mzuri kuwatia moyo.
Hata juzi kwenye semi alipocheza centre back hawakutia Shaka.
So Apewe support
Nakubaliana na maelezo haya!
 
Pitia Official Page ya Liverpool ya Twitter
Pitia Official Page ya Liverpool ya Insta
Pitia Official Page ya Liverpool ya Facebook
Pitia ukurasa wa LiverpoolEcho

Ukimaliza hapo

Pitia unofficial Pages zote za Liverpool kwenye mitandao ukiwemo Uzi huu.

The do simple Research kupitia reaction za Mashabiki.
Sisi tayari tumeshapita humo ndiyomana tunayasema haya.

Hapa hakuna uliyemuekea Bajeti ya kukufanyia Research.
Madai yangu ni kuwa hii 85% imetoka chanzo kipi cha habari na ambacho ni more reliable?
 
Ninachokihitaji mimi ni kuletwa kwa research iliyofanywa ili kuhararisha hiyo 85% kwamaba wameona Hendo ni shit. Vinginevyo ni makosa sana kufata mikumbo isiyo ya lazima
Sio kuhararishwa ni kuhalalishwa acha upuuzi usibishebishe tu bila sababu upate umaarufu humu . sasa mtu hata kuandika lugha yako ya taifa kazi afu unataka uje usumbue humu
 
Pitia Official Page ya Liverpool ya Twitter
Pitia Official Page ya Liverpool ya Insta
Pitia Official Page ya Liverpool ya Facebook
Pitia ukurasa wa LiverpoolEcho

Ukimaliza hapo

Pitia unofficial Pages zote za Liverpool kwenye mitandao ukiwemo Uzi huu.

The do simple Research kupitia reaction za Mashabiki.
Sisi tayari tumeshapita humo ndiyomana tunayasema haya.

Hapa hakuna uliyemuekea Bajeti ya kukufanyia Research.
Mkuu huyu jamaa anatafuta umaarufu nadhani
 
Wameshindwa maana tulikuwa tupo vibaya miaka mingi wameshindwa, sasa hivi hawata weza hata wakinunua wachezaji wa gharama,na wachezaji wetu wa timu itakayoshuka daraja tunajichukulia mchezaji na wengine walioachwa tunajichukulia bure wanakuja kuwa world class player.klopp mtu mbaya sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hakika klop ni kocha bora sana. Anachukua average player anatengeeza best team
 
Sio kuhararishwa ni kuhalalishwa acha upuuzi usibishebishe tu bila sababu upate umaarufu humu . sasa mtu hata kuandika lugha yako ya taifa kazi afu unataka uje usumbue humu
Acha chuki kwa mwandamu mwenzako na jitafakali
 
Sio kuhararishwa ni kuhalalishwa acha upuuzi usibishebishe tu bila sababu upate umaarufu humu . sasa mtu hata kuandika lugha yako ya taifa kazi afu unataka uje usumbue humu
Hebu na wewe tazama hapo nilipoweka rangi nyekundu. Baada ya nukta unatakiwa uanze na herufi kubwa badala yake umeanza na herufi ndogo. Ni makosa makubwa.
 
Shabiki wa nyumbu elewa hili humu sio kwa baba paloko ukija ovyo unakula za uso

Unakurupuka unakuja kutetea shudu humu ulitegemea nn labda?
Mimi ni Liverpool pure tena shabiki kindakindaki wa Henderson. Achana na hiyo avater
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom