Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

Mane Kaassit goli, baada ya kupokea pasi ya Hendo

Hata Hendo nayeye amepokea Pasi kutoka kwa Mtu mwengine ambaye utahitaji kumpa sifa! Na ndiyomana kwenye Stats tunaangalia watu wawili tu, aliye assist na aliyefunga tu. Ukisema uangalie build up ya goli basi unaweza kuta wachezaji wote 11 wamehusika while Golikipa ndiye muhusika namba 1 kwani ndiye aliyeanza mpira.
 

Sikuzote Wabrazil uwauwe kupitia Mbrazil mwenzake.
Waulaya wanapata shida kuwamaliza Wabrazil.

Mwaka 1981 tulipofungwa na Flamengo hatukuwa na Mbrazil mwenye Akili.

Mwaka 2005 tulipofungwa na Sao Paulo hatukuwa na Mbrazil mwenye Akili.

But mwaka 2019 tumepata Wabrazil wenye Akili ndiyomana Bobby akawamaliza Wabrazil.
 
Huyu Chamberlain ni Mzuri lakini bora auzwe tu arudi japo Arsenal coz injuries zake zimeshakua kero.
Haya siyo maneno mazuri kwa mshabiki unayeheshimika hapa jukwaani. OX ameumia akiwa anaipambania team. Na ile foul ulitaka aikwepeje? Ni kumuombea arudi mapema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata Hendo nayeye amepokea Pasi kutoka kwa Mtu mwengine ambaye utahitaji kumpa sifa! Na ndiyomana kwenye Stats tunaangalia watu wawili tu, aliye assist na aliyefunga tu. Ukisema uangalie build up ya goli basi unaweza kuta wachezaji wote 11 wamehusika while Golikipa ndiye muhusika namba 1 kwani ndiye aliyeanza mpira.

Kuna shuti moja Hendo alipiga golikipa akaliona, nilishukuru sana maana lingeingia humu ndani tungekoma.
 
Haya siyo maneno mazuri kwa mshabiki unayeheshimika hapa jukwaani. OX ameumia akiwa anaipambania team. Na ile foul ulitaka aikwepeje? Ni kumuombea arudi mapema

Sent using Jamii Forums mobile app

You quoted me wrong

Kumbuka mpira ni kazi no excuse

Haijalishi kaumia akipambania nini bali mchezaji asiyetimiza mechi 10 kwa Msimu in all competitions kwa tunavyohitaji rotations ni hasra kuwa naye.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom