LFC fans, its okay to be worried na team selections za Manager, especially katika msimu ambao tunaitafuta league title kwa hali na mali.
pia, itabidi tupunguze ule unafiki kidogo, naamini hakuna LFC fan duniani ambaye hakushitushwa na Line up ya Jana dhidi ya Everton, no matter how you spin it, ile Line Up lazima ilikupa shida kidogo, Everton are shit, but derby is a derby, na sidhani kama kuna mtu hakupata tabu kidogo kuona ile front 3 au Midfield ya Lallana na Milner, but as always kwa mashabiki wa LFC, tutajifanya hatukushtuka kwa ile Line up kwasababu tumeshinda goals 5, but kama tungefungwa/draw lawama zote zingeenda kwa Klopp, na huu ndiyo unafiki unaozidi kutafuna baadhi ya mashabiki wa LFC.
we just need to congratulate Klopp kwa kuamua ku-gamble, especially against Everton.
Tunaingia kwenye busy fixtures, so kwa Klopp kuamua kufanya 5 changes jana, kumeonesha ukomavu wa team na his in-game management, rotation ni muhimu sana kwasasa ili kuepuka injuries na kikubwa zaidi fatigue ya January-feb.
kubadilisha first team, always ni risky, but sometimes ni muhimu kuzingatia plans za muda mrefu zaidi, msingi mkuu ukiwa ni kuepusha long-term injuries kwa important players, changes are innevitable kwa kipindi hiki, tunachotakiwa ni kuombea ushindi & good results, na hata kama tutapata matokeo mabaya (Lose or draw), hatutakiwi kulalamika, kwasababu rotation kwenye first team huwa ina faida na hasara zake pia, na kwenye busy schedules kama hii ya december ni suala la kawaida sana ku-drop points.
But, again, under Jurgen, imeonekana huwa tuna-strive sana kwenye chaos, hatujawahi kuwa na december mbovu chini yake, hiki ni kipindi ambacho huwa ana-switch kwenye 4231, ili ku-compansate a legit rotation, na ndiyo kipindi ambacho huwa tunacheza a very good football (Yesterday's game should be an example)..and i'd say we need to do rotation kubwa sana kipindi hiki, ili kuepuka fatigue ya January, Mane/Salah/Firmino should be rested mara kwa mara, Trent/Andy should be rested mara kwa mara, Gomez/Milner should be covering for them for the time being, then kama budget itaruhusu tuingie sokoni January kutafuta a decent full-back (LB/RB), its not good, but i'm glad Fabinho is out for a month, because atarudi January akiwa flesh kabisa because we all know angekuwa fit, Klopp asingem-drop kwenye mechi hata moja this december, player ambaye hatuwezi kum-pumzisha kwasasa ni VVD tu, especially Matip akiwa hayupo.
I'm not worried about this month's busy schedule, i think we'll be just fine, our defining title moment ni january-feb.
But, we're in very good shape now, pound for pound best team in the world right now, and i'd say with my chest open, this is the best LFC team in history.